Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Kuna wale wajinga wanachezesha bahati nasibu utakuta wamefunga jukwaa wamejaza tv, redio, pasi nk, washenzi saana, naleta kisa soon
Hahahaha Mbwa kabisa na Mimi sitokuja kuwa sahau hao mahayawani

Nilikuwa Mwanza kipindi hicho katika pitapita zangu nikawakuta maeneo, kosa nililofanya ni kusimama kuangalia nafsini mwangu nilikuwa nimejiapiza siwezi cheza michezo yeyote ya kamali wala bahati nasibu, nikajisemea sifa ya macho kuona ngoja nione mchezo unaendaje

Hili likawa kosa kubwa ninalo jutia hadi kesho, sikupanga kucheza nilitaka tu nione then niendelee na issue zangu, sasa wakati bado naangalia kuusoma vizur mchezo si akaja Mama hivi wa makamo akanunua ticket zao zile akacheza akashinda hela na tickets (card), akaambiwa Mama umshinda ticket kadhaa na hela, akapewa hela na ticket aendelee kucheza tena Mama akagoma wakati huo Mimi nilikuwa pembeni yake na jamaa mwingine hivi ambaye pia tulikutana hapo

Yule Mama akachukua hela halafu ananipa Mimi na yule jamaa ticket (card) kwa kuwa card tulipewa bure na Yule Mama ikabidi nikubali kucheza kwa msisitizo toka kwa jamaa ambaye tulipewa wote card na yule Mama, nikaona sio issue as long as sichez kwa hela yangu ni card za offer ngoja nicheze

Mchezo wenyewe huko hivi, unanunua card ambazo ukigeuza kuna kuwa na number kwa hiyo unaangalia card yako inafanana na number gani kati ya number zilizowekwa juu ya vitu (generator, TV, pikipiki, hela n.k)

Sasa nilipoichukua ile card nikaingia kwenye mchezo, kuoanisha ile number na vile vitu vyao nikawa nmeshinda kama elfu 15 hv na nikawa nmeshinda pia card nyingine 3, kweli wakanipa elfu 15 niliyoshinda na
 
Ziwani siwezi kudhubutu. Maana sikua vizuri kwenye kuogelea halafu kulikua na story kuwa lile ziwa lina Mamba!
Tunezama sana huko ziwani sema ukijulikana ndo utajua hujui yaani [emoji58][emoji58][emoji58][emoji58]
 
Hiyo mitaa itaku2a Kashai mafumbo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] pole sana jamaa! Na hukawii kukuta ulikuwa waangalia na mimi pale Kashai Centre au pale kwenye ukumbi wenye kaghorofa kwa juu [emoji52][emoji52][emoji52][emoji52][emoji52]
 
Inasikitisha sana , kosa siyo lako ila ukapewa adhabau wewe. Ila msamehe mama wanapitia mambo mengi sana magumu.

Kutoka moyoni kabisa nimemsamehe.. kabsa kabsa wamama wanapitia mengi sana pamoja na utemi wa wababa; pengine alikuwa na mgao kwenye pesa ilee na wao hawakutaka kumpa chochote.. wakaona wanipe msala mimi.. daah
 
Tubu aisee..
 
Kutoka moyoni kabisa nimemsamehe.. kabsa kabsa wamama wanapitia mengi sana pamoja na utemi wa wababa; pengine alikuwa na mgao kwenye pesa ilee na wao hawakutaka kumpa chochote.. wakaona wanipe msala mimi.. daah
Ni kweli.Inauma sana ndio mana mpaka sasa mama bado kinamuuma hicho kitendo.
 
Anhaaa umenisoma vizuri baharia.
 
Qmmke
 
Huyo mama Lao moja
 
Daaah [emoji24][emoji24][emoji24]
 
[emoji23][emoji23]..wee jamaa nmecheka kifala yani , mpaka tumbo na mbavu zinabana
 
Siti ya mbele kabisa nasubir mwendlezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…