Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Dah nimejisikia uchungu sana sababu kisa chako kinafanana na changu nilipigwa bila kosa nimesingiziwa nimeiba na mmoja wa wapangaji kwenye nyumba tulikua tumepanga siku hiyo nilichezea kichapo kama mbwa koko. Na kwakua ilikua kawaida yao kunisingizia nilionekana mwizi wa familia wakati sikuwahi kuiba asilani niliumiaaa sana nikaweka kinyongo moyoni ilikua mwaka 94 nilikuja samehe 2001 nikiwa kanisani mchungaji alihubiri kuhusu msamaha nilimkalisha Kitako mzee nilimsema akaomba msamaha.Nilichojifunza usimtende mabaya mtoto hata wa miaka 3 ata kumbuka daima
 
We ni f#ller nini?!
 
So sad!![emoji24][emoji24][emoji24]
 
Mbna uliwaza kitendo hicho tyuuh na sie vingne? Mmmh
 
Kwa uandishi wako haiwezekani ukawa umesoma Seminary, kiufupi haujiwezi na haujitambui.
 
[emoji1][emoji1] jamaa hawanaga huruma wale,washenz sn
 
Kwa uandishi wako haiwezekani ukawa umesoma Seminary, kiufupi haujiwezi na haujitambui.
Unazijua smartphone. Keyboard typing ?? Una type hiki kinakuja kile , kile pale hiki au una taka kingine ?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo siku nahisi nilikukosakosa fimbo ya kichwa aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Siku nikikaa vyema ntaleta hapa msala ulionikuta. Pindi nakula Bata ya usiku was manane, maeneo ya la Cairo hotel kule kwetu mwanza miaka ileeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Dah aseeeeee. Kumbe mpaka wanawake wanakaba kooo tenaanakufinya kabisa kwenye dushe mzee utatoka tuuu ??
 
Sasa kwa nini anakufinya? Ukifinywa ujue wewe ni phaller na hutakiwi kujiita mwanaume since that day.
 
Kuna siku nmetoka zangu skuli niende nikale chakula cha mchana mtaani(chaugingi) sasa nmetoka maeneo ya shule nafika nje kidgo ya shule naona kwa mbele kuna kundi flani la watu wamesimama, mim nikahisi labda kuna walimu kati yao so ngoja nipite uku kulia nikatokee mbele(hili lilikua ni kosa namba moja nililofanya)
Kumbe pale kuna Wizi ulikua umetokea mchana ule so wakawa wanajadili sasa waliponiona mim nachungulia kwa mbali afu nasita kwenda wakahisi labda ndo Mwizi mwenyew. Ile njia nlopitia jamaa wawili wakanifuata wakanisimamisha, wakaanza kuniuliza natoka wapi naenda wapi. Nikawadanganya kua natoka uko narud hom chaugingi(kosa namba mbili nlilofanya) mara ghafla naona jamaa wameongezeka wamenizunguka wakanambia kaa chini ghafla nikapigwa mtama nikajikuta nmekaa chini. Wakaanza kusema mim ndo mwizi nmepita kuja kusikilizia nin nikaendelea.
Ili kujiokoa na kufanya mambo yasiwe mengi ikabidi niseme mim ni mwanafunzi apa napita naenda kula nifikiri kuna mwalimu pale ndo mana nlikua nawakwepa. Ilibidi adi nimtaje rafiki yang wa chaugingi ambaye hua naenda kula jirani apo na hua namsalimiaga, nikaongozana na wale manyambizi (walikua mob la watu) hadi chaugingi njiani watu wanashangaa tu na wakanichimba mkwara nikikimbia tu wananiita "Mwizi"! Baada ya kutoka chaugingi tukarud tena pale waliponikamata mara kidogo akapita Mwalimu wakamuita "mwalimu akanihoji maswali weee akagundua kua mim ni Innocent sema tu nlifanya WRONG TURN. Badae jama wakaniachia lakin ndo ukaja msala mwingine kwa Ticha kua nlikua natoroka nikiwa Civil tena bila ruhusa. Kosa moja lakin Walimu wanatengeneza makosa 8 apo. Kushukuru msala uliisha sikupewa Sunspaa wala kufukuzwa shule. Kesho yake kama balaa tu Dingi alikua amekuja kunitembelea ndo akakuta kijana wake nina msala huo. Sipati picha kama wale Manyambizi wangechukua maamuzi ya haraka, dingi angekuta maiti ya kijana wake
Utoto ni utoto tu Sikukoma na sikuacha kutoroka
 
Elezea..utakuwa huru..

Hapa hatujuani na zaidi itakuwa funzo kwa wengine..

Utapata ahuweni..huna kosa maana hukudhamiria..
 
Mkuu ulituangusha wanajeshi wa mpakani.
Mimi walinibembeleza wanishikisha hizo cards, nikashinda vocha ya buku 8 wakaniambia niwape simu waniwekee nikawapa.

Badae nikashinda redio bas wakasema nichangie hako ka percentage, nikasema sina hela, wakanishawishi nikagoma, wakasema nilipe fine ndo wanirudishie simu yangu.

Tukazozana kidogo pale, yule mgawa card anakaaga ndani ya zile kamba zilizungushwa pale akasogea kidogo usawa wangu nikamtia kabali mithili ya jon cena. Akamwambia yule muweka vocha kwenye kile kigari chao alete simu yangu.

Wakanipa simu pamoja na furushi la matusi, me nkatokomea zangu na kumwacha yule mpumbavu akikohoa kwa lilo roba nililomkwida.
 
[emoji28][emoji28][emoji28] nimecheka sana haya majuto ya watu.,,hasa la mjita
 
Denial is not a river in africa.

Tatizo ya binadamu wengi tunafanya uzinzi alafu tukipata tunachokitafuta huko unaanza kutaka huruma ya watu.

Unakubaliana na matokeo ya matendo yako yawe hasi au chanya
Nani alikwambia kwenye uzinzi huwa tunatafuta UKIMWI

Hakuna mtu amewahi tafuta UKIMWI na haita tokea
 
Hahaaahahahaaaa!![emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…