Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Nani alikwambia kwenye uzinzi huwa tunatafuta UKIMWI

Hakuna mtu amewahi tafuta UKIMWI na haita tokea
Sie twatafuta utamu wa asali ila ndio hivyo na mdudu nae yupo kwenye asali
 
hyo ilikua mwaka gan
 
Chaugingi njombe moja we lazima ni njoss boy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku ambayo huruma yangu ilitaka kunitokea puani, tuliwapa Askari polis lift aisee jamaa wakataka kutuuzia kesi ya madawa ya kulevya.

Toka siku hiyo niliapa na kuapiza mwanangu siku atakayochagua kuwa polisi ndo siku ambayo nitamkana kama Petro alivyomkana Bwana Yesu.

Bila hatia tulisota sana. Daaaa
 
Daah Nme kumbuka mbali Form 3 MAKUMIRA SEC "Manyigu "
Daah wa Huni sio watu walichoma shule kisa prep wasichana waligomewa ku soma...
Kisa lips nyeusi kidogo waniunge kwenye kundi la waliochoma eeti weusi wa lips ni uvutaji bangi daah kumbe zilikuwa nyeusi sababu ya baridi kali la Mt. Meru
 
[emoji1787]na matokeo yako yalikuwaje?[emoji1787]
 
Hadi mwili umesisimka
Unamatukio 🙌
 
Nashangaa haya mambo kuwepo na Polisi wanajua
Kabisa haya mambo inabidi yakemewe, maana hawa jamaa huwa wanafanya dhulma za wazi kabisa.

Na watu nao wajiweke mbali na hii michezo.
 
 
Uliukwaa ama ni nini mkuu?
 
Siata sahau matokeo yametoka nimeongoza mkoa ,mama wa kambo kazushq eti nimeangalizia dah,nilikuwa stiki kwa ndugu woote yaani.


Sasa kwanini walikuchapa kwani walikuwa na ushahidi.
 
unguja hiyo nimeenda kwa ndugu yangu akanambia huwezi kukaa hapa kizembe unatakiwa upate kazi akanambia kazi kwenye mahoteli zipo nyingi Ila ukiwa na cheti itakua vizuri zaidi akanitafutia chuo kimoja cha serikali jina nimelisahau kipo kama unaenda kiwengwa kuna wanajeshi pale wanalinda
Picha linaanza sasa ndio first time naingia chuon hapo navuka geti wajeda wamekaa pale getin wanavuta ganja nikawakazia sijawasalimia wala nini wakaniacha kidogo mbelembele kidogo wakaniita nikarudi wakaniuliza unaenda wapi nikawaambia chuoni pale wakaniuliza kwa hiyo walimu pale wamekwambia upite bila kusalimia sio,mwingine akadakia unaongea nae vp huku kasimama kaa chini soja mwingine akasema sio akae agalegale dah kula nikiwasomesha hawaelewi Mara ooh kwanza Hutu mtu was bara tukimwachia atajisifu afande mmoja kaja na ndoo ya maji yan nagalagala kwenye vumbi huku wananimwagia maji halafu kule wale tunaaosoma nao wanaangalia wale wasenge walinikata stimu sana na kusoma nikakataa tangu siku hiyo
 
Aise nikimkumbuka yule mwanamke naishia kujuta kwa nini nilimgegeda siku ile....ndio safari yangu ya arv ilipoanza[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Pole sana mkuu.
 
Dah yule demu falansana kaniunganisha kwenye grid ya taifa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]hapa ni kuishi kwa matumaini tuu
Badala ya kusikitika nimejikuta nacheka [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu kuwa serious.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…