Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Hutakiwi kujuta maana kilichopita huwezi kukirekebisha lakini kijacho hukijui pia unatakiwa ukomae na wakati uliopo hapo ndo kwenye maisha halisi.
 
Hivi Hawa polisi wanajikuta Nani?
 
Hutakiwi kujuta maana kilichopita huwezi kukirekebisha lakini kijacho hukijui pia unatakiwa ukomae na wakati uliopo hapo ndo kwenye maisha halisi.
Ni vyema tuwe realistic, hakuna anayeishi asiye na regrets.

Unaweza ukasema hauna regrets ila kuna vitu vilivyopita unatamani ungevifanya vizuri zaidi, au kuna watu ambao haupo nao tena ila unawish wakati walikua karibu yako maybe unge care a little more, au kuna vitu vichache ulikosea wakati unalea watoto wako na unawish muda ungerudi nyuma uvirekebishe, au kuna fursa kubwa ulizikosa/zilikupita kwa sababu hukuweka jitihada fulani ambazo zilikua ndani ya uwezo wako, au kuna vitu ulivikubali kwenye maisha yako ambavyo unawish usingevikubali, au kuna matukio ulishayafanya huko nyuma, and you are not proud of kwa sababu yameweka doa katika historia yako.

Kuna mengi yanayofanana na hayo ambayo kila anayeishi anayapitia. Regrets are there, kikubwa tujifunze kupitia hayo. Tunaposema "No Rear View Mirrors in Life" hatumaanishi kutokuangalia nyuma kabisa, bali kutokuangalia nyuma muda wote i.e. kutokuendesha usukani wa Maisha tukitegemea yaliyopita pekee.

All Love [emoji1479]
 
Asee pole sana. Bila shaka ulikuwa mwanafunzi wa KIU
 
Aya bhana ngoja na mm niseme langu.
Najutia kuzaa mapema na kushindwa kumlea mtoto wetu kwa pamoja.
 
kipindi Iko keko hukatizi kimama....Kuna wahuni wa kuitwa wasumbufu ao noma....!nashangaa hao Wana eti kiwanja Chao cha kutambia kilikuwa king palace dah....umeacha inferno au uku JJ amani ya kutosha
 
kipindi Iko keko hukatizi kimama....Kuna wahuni wa kuitwa wasumbufu ao noma....!nashangaa hao Wana eti kiwanja Chao cha kutambia kilikuwa king palace dah....umeacha inferno au uku JJ amani ya kutosha
Noma sana kweupe unatemeshwa simu na makofi na mitama juu
 
Yamenikuta km yako mi ni mwaka mmoja nyuma tena mke wangu na nina watoto nae tumegombana kwa kisa kdgo tu nikamludisha kwao amekaa km mwaka kwao lkn tunaendelea na mausiano yetu km kawaida siku ya tarehe 1 mwenzi wa 10 saa kumi 11 nampigia cm anapokea mtoto analia ananiambia baba njoo kanisani mama kaanguka nampigia mkubwa wao ananiambi njoo anaendelea vzr yupo hospital nafika naambiwa amefariki njiani.HAWA POPOTE ULIPO JUA BADO NAKUPENDA JAPO NINA MKE MWINGINE NA MTOTO WA KIUME AMBAE MI NAWEWE HATUKUBAHATOKA KUMPATA ILA MAISHA YA WOTOTO NI MAZURI SN MKUBWA YUPO CHANG'OMBE ANAINGIA KIDATO CHA SITA MWINGINE YUPO KIDATO CHA KWANZA NA G YUPO DARASA LA PILA ILA YULE MWANAMKE ULIEMCHUKIA NDO AMEKUWA MKE WANGU NA ANALEA WATOTO VZR PAKA NDUGU ZAKO WANAMWONA KM NDUGU YAO
 
Noma sana kweupe unatemeshwa simu na makofi na mitama juu
hio mitaa Kuna wazawa vichochoroni flani wanakwambia usipite....wahuni wanaruka na wewe hata kama wanakujua....!!


Kuna mwanangu nilikuwa namtembelea pande hizo ni namba nae kashafariki kwa ukishandu alikuwa ananiambia Kuna mitaa na bar flani usilewe sana watu wapo kazini hata kama wanakujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…