Kisa kipi kilikufanya ujute sana?


Wewe jamaa utakuwa na tabia ya kutusi watu usiowajua...

Ushawahi nitolea lugha chafu hapa jukwaa, vile mimi ni mtu wa kupuuzia tu...

Nimesoma visa vyako viwili humu, nimepata picha...
 
Nilipambana kuipata kuipata pic moja kali sana kwa mwonekano, siku imekubali nikajikaza kumpeleka hotel ya nyota tatu.
Muda ulivowadia nilijuta, papuchi kuubwa kama kopo halafu ina harufu mbaya za kila aina. Nilijutia pesa yangu, nikajutia na muda. Kuanzia hapo nachukua wenye sura mbaya sana ni watamu sana ila usiwaangalie sana usoni
 
dah😀😀😀😀
 
Wewe jamaa utakuwa na tabia ya kutusi watu usiowajua...

Ushawahi nitolea lugha chafu hapa jukwaa, vile mimi ni mtu wa kupuuzia tu...

Nimesoma visa vyako viwili humu, nimepata picha...
Mkuu, wapi hapo nishakutolea lugha chafu? utakua umenifananisha mkuu au unless ilikua masihara ukachukulia serious ila lugha chafu sina, na hata kwenye story yangu hakuna mahala nimesema nilitoa lugha chafu, kuongea maneno mengi sio kwamba nilikua naongea lugha chafu, unaweza kumblame mtu bila hata kutoa maneno machafu ndugu.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa nawee chuo bado uko domo zege? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poleeeeh sanaaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 

Mkuu mimi ni mtu wa kupuuzia lugha kali za JF, just relax...

Uzi nishausahau ila ID yako naikumbuka kwa sababu nimeshawahi kuishi Ipinda Kyela kando kando na njia ya kwenda Kasumulu border...
 
[emoji1787][emoji1787] nimecheka sana.
 
Napamban ila wap.saiv Sina confidence Kwa wadada nikiwa alone Ngoma inasimama kama ukuni ila nikiwa Dem Ngoma inagoma *****
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km chizi, sababu sio hiyo, ila wee tyuuh hujawa concentration na wadada husika unao kuwa nao.
 
Ngoja leo na mm nisimlie kwa ufupi ujinga niliowai kuufanya.
Nilipomaliza o-level nilienda kujifunza mitambo baada ya kuhitimu nikarudi kitaa. Baada ya kama mwaka hiv nikapata nafas kwenye kampuni moja la ujenzi nikatinga nao kwa mda nikaondoka nikaenda kutafta chaka jingne. Sasa ndugu baadhi wakaanza kunishawishi kwann nisitafte chuo nikasomee mambo mengi (zile job za kukaa ofisini) utoto na stress nikaachana na mashine nikaenda kuchukua diploma cha maendeleo ya jamii. Nakumbuka nilipokuwa chuo niliwai zaid ya mara 3 na mwenye ile kampeni niliokuwa natinga nayo mwanzo na jamaa angu mmoja alikuwa yupo na nyanza road (kuna operator alikuwa anatka mtu wa kumshikia mashine yeye alikuwa amepata dharura) nikashike mashine ila nikawa napotezea. Sasa balaa likaja baada ya kuhitim hio diploma yao mambo yakawa hayasomi connection zote za mashine nimeisha poteza imenilazimu kuanza upya kutengeneza connection na maop wenzangu.
Yan had leo uwa najilaum kwenda chuo tena kusoma maana had leo sioni faida ya nilichokisomea
 
Siku niliyodhurumiwa 100,000.

Baada ya kumaliza chuo jijini mwnza mwaka 2016 nkaamua nibaki mwanza nijichanganye mtaani coz nyumbani hakuna dili na ukichek ajira hakuna kabisaa.

Nilikua na dogo langu moja linafanya kazi geita aliniagiza nimnunulie betri ya laptop yake, dogo alinipa laki moja, betri 70 na 25 ya usumbufu na nauli. Siku hyo nkatoka magetoni na sh laki moja na elf moja sikutaka kuchenji ile laki aliyonipa.

Nimefika zangu mitaa ya lumumba niasema ngoja Nile kwanza misele naweza kupata dili koz kwa kipindi kile life lilikua gumu full kujichanganya. Nkapita mitaa ya soko kuu kwa nyuma huku nkaona watu wanejazana nkasema ngoja namim nisogee naweza pata hata dili hapa. Kufika pale nkakuta wamejaza mavitu ndani ya jukwaa yana namba juu yake nkasema ngoja nisome mchezo hapa wanafanyaje

Kulikua na mdada pale alitoa sh 2000 akanunua tiket 2 akawapa pale wakachanganya changanya akashinda moja, moja akakosa. Alishinda begi, haya yenye magurudumu. Akataka kuondoka nalo wakamuuliza tukupe hela sh elf 60 au uende na bagi? akasema naomba hela, baada ya kupewa ile hela akatoa sh elf 5 akanunua tiket 5 akatugawia tuliokuwepo pale nakumbuka maneno yake "nanyie mmbahatishe". Baada ya kupewe ile ticket ya bure, sikuwa na mpango wa kucheza ila kwakuwa ni bure nkasema ngoja nicheze naweza pata hata hela hpa ikanisogeza kimtindo.

Baada ya muhusika kuchanganya changanya pale nilishinda tv kubwa. Moyoni nkasema afadhari naweza iuza nkapata kamtaji hapa. Yule muhusika alisema tv ina thamani ya laki 8 sasa unatakiwa utoe laki na nusu ili uchangie garama kidogo, nkasita kidogo pembeni kulikuwa na mdada umri kama miaka 35 hiv kwa mwonekano, yule dada alijifanya mwema saana kumbe ni walewale na alikua kajifunga ushungi.

Nkawambia hela hyo mmi sina, yule dada akadakia, " usiiache huyo tv kama hela haitoshi nikuchangie halafu mm tutajua tunafanyaje. Akasema kama una laki hapo toa mm ntatoa 50, nkajikuta nmezama mfukoni nkatoa laki nkawapa yule mama akajisachi pale akasema nna elf 30 ishirini sina. Nkasema sasa inakuwaje ungesema mapema nisitoe hela nkaanza kumaind, wale wanaochezesha wakasema ilete hyo 30 tutawasaidia. Baada ya kuwapa ile 30 wakaweka tket 3 mezani wakasema mnatakiwa mchague tkt 2 kati ya hzo tatu mkipatia namba sawa na za kwenye tv nawakabidhi mnaondoka nayo. Wakazchanganya zile tket 3 wakaweka mezani akaanza yule mdada akachagua moja kufunua kakosa, nikaja mm kufunua nmekosa. Wakasema basi mmeliwa, daaaaah nilipata mshtuko kinoma na ukichek hela sio yangu ni ya dogo mfukoni nimebaki sina kitu kabisa kale kachenji kwenye buku ya nauli nmekunywa soda nmebaki na 100. Nilijilaumu kinoma nkajua hapa nshaingia mkenge tayari,
Sitasahau nilitembea kwa miguu kutoka mjini hadi nyegezi magetoni huku kichwani nina gesi za kutosha za kizurumiwa na isitoshe hela haikuwa yangu.

Part 2 inakuja, nilimwambia nn dogo na nilifanikiwaje kurudi kufanya revange.
 
Siti ya mbele kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…