Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Namba uliisahau then ukaenda kurenew hii chai walai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
tulivyofungua Shule shida zote zikawa zimeisha nikafanikiwa kupunguza madeni na pia ile hela iliyokuwa kwenye laini voda waliirudisha kwani nilienda kurenew laini, kuna bro yule wa shulen alikuwa na namba yangu, hivyo kurenew ikawa simple sana, nikawa don sasa shulen hadi wanafunzi wakashangaa.
 
Sitasahau hiki kisa kwa mshkaj wangu..baada ya kumaliza A level nikapata tempo ya kuandikisha sensa..sasa nilikua na mshkaj wangu mmoja ikawa nikija kutoka ma bush natoka nae tunakula gambe sana kisha tunaenda zetu disco kipimd hicho..tulikua na utaratibu wetu kuwa we party with no bitchez kwahyo ilikua ni kivyetu vyetu ..siku moja nimerud na mpunga wa maana tukaenda na mwana kama kawaida kula gambe..kdgo ikaja pisi kali sana..jamaa yangu akaielewa nikamwambia kama vp sema nayo..pisi ilikua inasoma chuo cha uhazil
Tbr bas baada ya jamaa kusema na mtoto kumbe mtoto alikua anajiandaa walikua wefunga chuo na kesho yake alikua anapanda treni kwenda dar..so wakakubaliana aende chuo kuchukua begi lake then waende guest then gambe na mambo mengine then kesho amuwahishe stesheni awah tren..jama akaniambia mtoto kaeleweka nikaona mshkaj nisimbanie..nikampa mpunga wanku spendi daah hapo ndo ilikua mistake..basi kwel jamaa akaenda nae chuo wakachukua mizgo then wakapanga guest na wakaja sehem nilipokuwepo tukaendeleza gambe kama kawa..mida mida jamaa akasema ngoja aende akale mzgo basi tukaagana..next day mshkaj akaniambia alikamua kama kawa na demu kesha sepa kwenda dar..basi ikapita hyo sasa siku moja tumekaa sehem mshkaj mmoja akatuona wkt yule mshkaj wangu ametoka basi yule jamaa akaniambia huyu ni jamaa yako nikamwabia yes akaniambia anakumbuka alimuona sehem flan na dem wa chuo ila dem
Mwenyewe kaungua na miwaya nikashtuka kinyama..nikapotezea ila ile kitu ilikua inasumbua sana kichwa siku moja nikamwambia mwana eebwana twende tukachek afya maana maisha mafup haya..aisee sitasahau ile siku baada ya mshkaj wangu kukutwa na ngoma na nikajiona nahusika kwa 80% na issue ile..kpndi hicho hakuna ARV wala nn..mshkaj alipata shock akaanza kuumwa kwa hofu ikawa ndo kuumwa mpk kifo..SITASAHAU AISEE
Ilichukua muda gani tangu kulala na huyo mrembooo hadi kifo chake? 🤔
 
Siti ya mbele kabisa nasubir mwendlezo
....wakanipa elfu15 na card ambazo nilikuwa nimeshinda, nikaambiwa niendelee kucheza baada ya kuzifunua card nikakuta moja kati ya zile card nmejishindia generator, kimbembe kikaja kwenye kupewa ilo generator nikapewa option mbili niendenalo au niwauzie wanipe hela cash

Kutokana na changamoto za usafiri na influence toka kwa walionizungua pale ikabidi niseme nawauzia, wakasema bei ya lile generator ni laki8 na lakini ili nipewe hiyo hela inatakiwa nichangie % flan kama laki 1 hivi, nikawambia mm sina laki, jamaa wa pembeni yangu akanambia we toa ulichonacho uwaombe wakusaidie kwa hiyo hiyo hela uliyonayo

Bwana nikatoa elfu 50 cash nikawapa wakasema kwa kuwa hela yako ni punguvu tutakusaidia kitu kimoja, akachukua ile card yangu ya zawadi akamix na zingine mbili akanambia nichague ipi ni ya zawadi na nikipata watanipa laki8, mtoto wa kiume nilikuwa makini sana wakati anachanganya zile card baada ya kuchanganya nikachagua moja kati ya zile card tatu nikawa na uhakika ndio ya zawadi.... Rahaula! Alivyofunua nikakuta sio ya zawadi

Hela elfu 50 yangu niliyopata kwa tabu ikawa umeenda hivyo baadae nikaja kujua kumbe wote waliokuwa pale walikuwa team moja kwanzia yule mama hadi wale wapambe nuksi wote walishilikiana kuniingiza mkenge

Kimsingi Mimi ni mtoto wa Mara nilitaka niwawashie moto pale ila nikaona niache tu nichukulie lile tukio kama lesson

NB: Tuwe makini sana na hela zinazopatikana kirahisi
 
....wakanipa elfu15 na card ambazo nilikuwa nimeshinda, nikaambiwa niendelee kucheza baada ya kuzifunua card nikakuta moja kati ya zile card nmejishindia generator, kimbembe kikaja kwenye kupewa ilo generator nikapewa option mbili niendenalo au niwauzie wanipe hela cash

Kutokana na changamoto za usafiri na influence toka kwa walionizungua pale ikabidi niseme nawauzia, wakasema bei ya lile generator ni laki8 na lakini ili nipewe hiyo hela inatakiwa nichangie % flan kama laki 1 hivi, nikawambia mm sina laki, jamaa wa pembeni yangu akanambia we toa ulichonacho uwaombe wakusaidie kwa hiyo hiyo hela uliyonayo

Bwana nikatoa elfu 50 cash nikawapa wakasema kwa kuwa hela yako ni punguvu tutakusaidia kitu kimoja, akachukua ile card yangu ya zawadi akamix na zingine mbili akanambia nichague ipi ni ya zawadi na nikipata watanipa laki8, mtoto wa kiume nilikuwa makini sana wakati anachanganya zile card baada ya kuchanganya nikachagua moja kati ya zile card tatu nikawa na uhakika ndio ya zawadi.... Rahaula! Alivyofunua nikakuta sio ya zawadi

Hela elfu 50 yangu niliyopata kwa tabu ikawa umeenda hivyo baadae nikaja kujua kumbe wote waliokuwa pale walikuwa team moja kwanzia yule mama hadi wale wapambe nuksi wote walishilikiana kuniingiza mkenge

Kimsingi Mimi ni mtoto wa Mara nilitaka niwawashie moto pale ila nikaona niache tu nichukulie lile tukio kama lesson

NB: Tuwe makini sana na hela zinazopatikana kirahisi
Nashangaa haya mambo kuwepo na Polisi wanajua
 
Nakumbuka nikiwa bado nasoma NYEGEZI SEMINARY miaka ile ilitokeaga msala flani hivi wa kutazama TAMTHILIA YA JUMONG ya kikorea , sasa siku moja wajuba tukaibuka kutazama eboooooooo ilikuwa after. Night player kanisani wajuba tukaibuka. Mida ya saa 5 hukoooo. Usikuuu. Dining hall maana ndo tv iliko , ikawashwa , tukacheki. ,,, Dah siku hiyo mlinzi alitushtukia akaenda kumuita.GAMBELA (rekta) Yaani mkuu wa shule (walo soma seminary wanajua nini maana AKE )

Inaendelea.........

Msala ulitokea hapa. Mara ghafla mlango. Ukafunguliwa hai paaaahhhj!!!!! Mlinzi na gambela hapooo mlangoni aseeee siku hiyo tulivunja viooo vya madirisha Ili kupita maana ilikuwa usiku,,,ikasaidia kutokukamatwa ....

Asubui yake baada ya Misa. Tukabaki kanisani ....halooooooooó matumbo jotoooooo TV Leader akaitwa akaambiwa ataje wote


hahhhhhh. Dah


Almanusura tulinusuria maana ilikuwa ni kufukuzwa ,,,sema walo tajwa wakapewa adhabu tuuu ,,, maisha. Yakaenda.....





I remember those days at. NYEGEZI SEMINARY mwanza...
 
Msala. Mwingine. Ni ........

NILIITWA , Na demu wangu. Mtoto wa police , ( jina Kapuni) nikale mzigo Baada ya babake kwenda kazini , Siku ya jmosi flani hivi mwaka 2012 , maana mtoto. Alimiss. Kupampiwa. Nyuchi.........,..


Koo nkakaa pale Toka asubui mida ya saa 3 mpaka. Saa 7 , ...............



Endelea.....



Ilibaki. Kidogo nikamatwe na baba mwenye mtoto ambae ni. Askari police. Maana. Aliingia ndani. Kimya kimya KUPITIA mlango wa nje...........
Sema. Mrembo alini save balaaaaaa aliniambia niingie chini ya uvungu wa kitanda mpaka mzee atakapo Toka maana Huwa akija , mchana anatoka tena jioni. Kwenda Kwa wazee wenzie KUPIGA bia 2 tatu hivi........aseeeeee siku hiyo. Niliona. Kif🙃r🥶 hichoooo.




Sema. Alini save sana mtoto ,

So nka kaa pale chini ya kitanda mpka saa 11 jioni. Ndo akanistua mzee katoka. Mie nkachomoka. Ndukiiiiiiiiii ......hivoooooo








Ilibaki kidogo tu nitolewe marinda aseeeeee
 
Nakumbuka nikiwa bado nasoma NYEGEZI SEMINARY miaka ile ilitokeaga msala flani hivi wa kutazama TAMTHILIA YA JUMONG ya kikorea , sasa siku moja wajuba tukaibuka kutazama eboooooooo ilikuwa after. Night player kanisani wajuba tukaibuka. Mida ya saa 5 hukoooo. Usikuuu. Dining hall maana ndo tv iliko , ikawashwa , tukacheki. ,,, Dah siku hiyo mlinzi alitushtukia akaenda kumuita.GAMBELA (rekta) Yaani mkuu wa shule (walo soma seminary wanajua nini maana AKE )

Inaendelea.........

Msala ulitokea hapa. Mara ghafla mlango. Ukafunguliwa hai paaaahhhj!!!!! Mlinzi na gambela hapooo mlangoni aseeee siku hiyo tulivunja viooo vya madirisha Ili kupita maana ilikuwa usiku,,,ikasaidia kutokukamatwa ....

Asubui yake baada ya Misa. Tukabaki kanisani ....halooooooooó matumbo jotoooooo TV Leader akaitwa akaambiwa ataje wote


hahhhhhh. Dah


Almanusura tulinusuria maana ilikuwa ni kufukuzwa ,,,sema walo tajwa wakapewa adhabu tuuu ,,, maisha. Yakaenda.....





I remember those days at. NYEGEZI SEMINARY mwanza...
Umenikumbusha mbali mkuu
 
Mmasai aliniuzia unga wa muhogo kachanganya na pilipili akasema ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume[emoji27][emoji27]

Basi bhana story yetu inaanza miaka fulani uko nyuma nilikuwa mwanachama wa chaputa sana, ikafika hatua mimi sina mda na mademu kabisa yaani chaputa mnajua hili[emoji23]

Miaka ikaenda enzi hizo kupata demu mpaka akupe utelezi ni kipengele, sio Saivi river side mademu kibao chaputa utake wewe tu. Haya bhana maisha yakaenda weee nikaja nikapata demu mmoja hivi.

Si unajua umechukua namba ya demu usiku mnachati naye alafu katika kuchat unaonyesha wewe ni master kwa bed mikunjo yote unaijua hata ule wa TEKE LA NYAU unaona bwana kwo ki aina fulani demu akaona ni fundi kinyama yaaani

Basi bhana Naye yule demu anasema mimi mwanaume anaenda dakika kumi na tano wa nini nataka nusu saa mimi nasema kheee mimi hadi saa moja nalima wewe mimi ni munoma sana [emoji23][emoji23]

Demu akaelewa tukapanga siku ya kukutana ili aweze kushuhudia maunyama yangu. Basi bhana siku hiyo nikashinda nakunywa maji na vitunguu swahumu utafikiri mbuzi, mara nile tangawizi yaani nilikunywa maji kama lita 20 hivi kumbe ng'ombe hanenepi siku ya mnada bhana.

Haya siku husika ikafika bhana tukafanya maandalizi nini uhakika nikaandaa kiwanja nikafanya home up, nikaenda bafuni nikafanya sub kuwaondoa wale wachezaji wa mapema[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eeh vita ni vita muraah nauwa mtu leo

Basi bhana deni akaja mpira kati anza kuruka ruka pale kheee dakika tano tu wajomba hao wanakuja mbio mbio nyie nyie nyie kheeeeeee walifika wakaruka na mimi nakaruka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eeh mchezo ukaisha hapo.

Nikaona hii aibu kubwa sana, yule demu akaondoka kinyonge sana, ilibidi nimpange nimelogwa bhana[emoji23][emoji23][emoji23] Mungu si athumani ikapangwa mechi ya marudio.

Hivi na hivi katika pita pita zangu nikakutana na mkombozi wa vijana YELLOW MASAI[emoji23], eeh nikasema nipe ile kitu nikienda kwa vita napiga kama nauwa nynipe

Nyie nyie Wamasai wafukuzwe mjini mara moja ni matapeli sana bora wakaishi na simba tu uko maporini. Basi mmasai hakuwa mchoyo akanipa dawa pale akasema hii ni kunyorosha tuu.

Basi nikaichukua ile dawa tena alisema kama huna demu hii sikupi aiseeeeee nikasema leo ni leo aiseeeeee naenda kujenga heshima. Basi siku ya mechi nikapiga ile kitu hapo fresh nikaenda eneo la mechi.

Ruka ruka pale ruka ruka wee ikafika muda mahususi sasa, kheeeeeee nalima jembe la kwanza tu wajomba hao wanakuja nikasema leo leo hata sekunde 30 hazikuisha nishamaliza mchezo

Nyieeeeeeeeeeee hii ilikuwa aibu kubwa sana, kumbe masai alichukua unga wa muhogo akachanganya na pilipili mimi nakunywa vinaniwasha najua dawa ndio inafanya kazi kumbe uhuni tu[emoji25][emoji25][emoji25] Nasikia uchungu

Yule mdada akanitukana sana lakini cha MUHIMU MJOMBAAA WENU NILICHACHUA[emoji23][emoji23][emoji23].
We ni fala sana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mmasai aliniuzia unga wa muhogo kachanganya na pilipili akasema ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume[emoji27][emoji27]

Basi bhana story yetu inaanza miaka fulani uko nyuma nilikuwa mwanachama wa chaputa sana, ikafika hatua mimi sina mda na mademu kabisa yaani chaputa mnajua hili[emoji23]

Miaka ikaenda enzi hizo kupata demu mpaka akupe utelezi ni kipengele, sio Saivi river side mademu kibao chaputa utake wewe tu. Haya bhana maisha yakaenda weee nikaja nikapata demu mmoja hivi.

Si unajua umechukua namba ya demu usiku mnachati naye alafu katika kuchat unaonyesha wewe ni master kwa bed mikunjo yote unaijua hata ule wa TEKE LA NYAU unaona bwana kwo ki aina fulani demu akaona ni fundi kinyama yaaani

Basi bhana Naye yule demu anasema mimi mwanaume anaenda dakika kumi na tano wa nini nataka nusu saa mimi nasema kheee mimi hadi saa moja nalima wewe mimi ni munoma sana [emoji23][emoji23]

Demu akaelewa tukapanga siku ya kukutana ili aweze kushuhudia maunyama yangu. Basi bhana siku hiyo nikashinda nakunywa maji na vitunguu swahumu utafikiri mbuzi, mara nile tangawizi yaani nilikunywa maji kama lita 20 hivi kumbe ng'ombe hanenepi siku ya mnada bhana.

Haya siku husika ikafika bhana tukafanya maandalizi nini uhakika nikaandaa kiwanja nikafanya home up, nikaenda bafuni nikafanya sub kuwaondoa wale wachezaji wa mapema[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eeh vita ni vita muraah nauwa mtu leo

Basi bhana deni akaja mpira kati anza kuruka ruka pale kheee dakika tano tu wajomba hao wanakuja mbio mbio nyie nyie nyie kheeeeeee walifika wakaruka na mimi nakaruka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eeh mchezo ukaisha hapo.

Nikaona hii aibu kubwa sana, yule demu akaondoka kinyonge sana, ilibidi nimpange nimelogwa bhana[emoji23][emoji23][emoji23] Mungu si athumani ikapangwa mechi ya marudio.

Hivi na hivi katika pita pita zangu nikakutana na mkombozi wa vijana YELLOW MASAI[emoji23], eeh nikasema nipe ile kitu nikienda kwa vita napiga kama nauwa nynipe

Nyie nyie Wamasai wafukuzwe mjini mara moja ni matapeli sana bora wakaishi na simba tu uko maporini. Basi mmasai hakuwa mchoyo akanipa dawa pale akasema hii ni kunyorosha tuu.

Basi nikaichukua ile dawa tena alisema kama huna demu hii sikupi aiseeeeee nikasema leo ni leo aiseeeeee naenda kujenga heshima. Basi siku ya mechi nikapiga ile kitu hapo fresh nikaenda eneo la mechi.

Ruka ruka pale ruka ruka wee ikafika muda mahususi sasa, kheeeeeee nalima jembe la kwanza tu wajomba hao wanakuja nikasema leo leo hata sekunde 30 hazikuisha nishamaliza mchezo

Nyieeeeeeeeeeee hii ilikuwa aibu kubwa sana, kumbe masai alichukua unga wa muhogo akachanganya na pilipili mimi nakunywa vinaniwasha najua dawa ndio inafanya kazi kumbe uhuni tu[emoji25][emoji25][emoji25] Nasikia uchungu

Yule mdada akanitukana sana lakini cha MUHIMU MJOMBAAA WENU NILICHACHUA[emoji23][emoji23][emoji23].
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji3][emoji3] jinga sana ww
 
Nilikuwa na rafiki yangu tulishibana sana, tulisoma pamoja, tulisaidiana na kupeana mawazo ya kimaendeleo na maisha.

Baada ya miaka kadhaa kupita, rafiki yangu alipata ugonjwa ambao hauna dawa bado zaidi ya mionzi na kunyoa nywele.

Wakati nikiendelea kumfariji, kulipia baadhi ya gharama, kukaa nae karibu na kumpelekea zawadi pamoja na matunda kila nikitoka ofisini nakwenda kuongea nae alikuwa anafarijika sana.

Alikuwa na stress sana, anahasira za karibu. Siku moja alinipigia simu akaniwashia moto wa maneno makali sana hata wakati nikiendelea na majukumu kazini nilidondoka baada ya kuteleza kwenye meza jinsi maneno makali aliyonipa yalikuwa yanajirudia rudia. Sikuwahi kupewa maneno yanayochoma na kuumiza kama yale katika maisha yangu sikumbuki.

Sikumwambia mtu yoyote wa karibu na hata ndugu zake kuhusu kilichotokea ila nikaamua sitakwenda tena ili kuepusha tafrani zaidi.

Miezi kadhaa imepita, bila mawasiliano tangu siku ile tuliyopishana kauli. Nimekuja kugundua baadae rafiki yangu ameshafariki dunia baada ya siku nyingi zimepita.

"Naumia tu, hata kosa halikuwa langu[emoji24][emoji24]"
Bado naendelea kumuombea dua, Mungu ailaze roho ya marehemu peponi "Amin"
 
Nilimpenda mdada Fulani hivi advance, lakini kutokana na maisha yangu ya UTAWA[emoji1] nikaona nikomae na yangu nisijue ya Leo sio ya Jana.

Miaka ikaenda, tukamaliza shule bila kumuambia lolote, bila kujua tukaenda college Moja, ilikuwa ni Furaha siku nimeonana nae, hug za kutosha Hadi watu wa pembeni wakawa nashanga, ye alikuwa na mwenzie namie nlikuwa na jamaa angu. Maisha ya college pia sikumwambia lolote but tulikuwa karibu sana kama wapenzi. Room kwake naenda nakaa Hadi night kucheki Korean series etc,

Yule Binti alimaliza mbele yangu, Siku hiyo nipo kwa Mji wa Mkapa nikaona nimtolee uvivu nikamfungukia ukweli wote, Binti akawa anashangaa Kwann sikumuambia mapema had muda ule na alikuwa Hana mtu, akanipea polee lakini akawa tayari na mtu wake. Japo naye alikuwa anahisia namii baada ya ku confess, nikaona sio uungwana kuingilia mahusiano yake na jamaa wake wa sasa, nikaachana nae japo tunaishi kama wapenzi.

Nlichojifunza ukimuelewa mtu usikawie kusema, mwambie akatae mwenyewe na kujifanya unaogopa tongoza kuhofia utapoteza urafiki wenu nimejua ni ujinga.
Huu ulikua ni udomo zege na utoto,pia kujiona ww mtu safi.Umetukumba wengi.
 
Mimi naenda direct najua hata nikitaja shule wengi wamesoma pale, hii ni story ya kwanza.

Nilisoma shule moja inaitwa Shybush au Shinyanga sec, niliingia kidato cha pili msala ukatokea wananzengo wameiba bomba, Hp akakusanya wanafunzi nakwenda sehem inaitwa maganzo ambapo hapohapo na mimi nilikuwa sijui kama wameenda huko maana walikusanyana baadhi wengine tulikuwa hatujui basi sikuiyo namimi nikasema acha niende huko maganzo eeeebwanawee sinikakutana nao alafu huyo Hp alikuwa na misuli balaa si akanilazimisha nijiunge nao.

Basi baada yakujiunga nao na kusaka bomba tukalikosa maana hapo shuleni hatukuoga almost wiki hivi, basi Hp akaanza kupiga sim shule nzima ije ikichafue maganzo maana si unajua wanafunzi walivyo wakorofi? Duh! Hao wanafunzi wakagoma kwenda maganzo aisee Hp alikasirika wakati tunarudi tukaambiwa tuvae kininja tuchume bakora tukawachape waliobaki shuleni [emoji24][emoji24], masikini wengine walikiwa ni walemavu, aisee walichezea kichapo si cha polepole.

Kesho yake ukawa ni msala maana wengine walilazwa, wengine walivunjika vidole vya miguu, tukaitwa parade nakuambiwa tupige kura walioshiriki aisee nilianza kutetemeka huku nikijisemea si nimo kwenye huu msala? Dah! Bahati nzuri sikuwemo aisee niliponea tundu la sindano na walio gundulika wamefanya hivyo walifukuzwa shule aisee.

Nilikuwepo siku hiyo,, hahahaaa! Huyo Hp alikuwa anaitwa Gwamaka,, jamaa kutoka Mbeya. Alikuwa anasoma HGE mimi PCB Aisee umenikumbusha mbali sana yani. Sisi ndiyo tuliosimamia cruel iliyobaki shuleni isiende kuungana na wahuni waliokwenda kutafta bomba huko mtaani ukizingatia ilikuwa usiku.

Vita ikageuka kati ya walioshiriki na wale ambao hawakushiriki, kwakuwa lilikuwa ni tukio la kushtukiza kweli mwanzoni ilibidi tuikimbie shule maana hao vijana waliokuwa wamevaa ninja walikuwa wanapiga balaa na wakaitwaa mess ikawa chini yao.
Ila tulivyokuja kung'amua ni wanafunzi wenzetu tukaretreat kwasababu sisi tulikuwa wengi zaidi yenu,,, tulitumia mawe sasa. Ninja wao wanatumia stick wakawa hawana namna ila nakumbuka yaliisha usiku huo baada ya walimu kusuruhisha ila kesho yake waliohusika wakachukuliwa hatua.

Hii ilipelekea performance yetu mtihani wa mwisho kuwa chini,,, hadi wengine ndoto ya kusoma MD ikayeyuka nikaishia kusoma BBA na baadae kuingia jeshini.

Pale Shinyanga Sec sitapasau tuliishi kama tupo jeshini.
 
Back
Top Bottom