Davooo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 506
- 776
Huyo Sio Mama ni kijana tena mtanashati tuu ila wanamzibua mtaroKijiweni huonekani mama mizagamuo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Sio Mama ni kijana tena mtanashati tuu ila wanamzibua mtaroKijiweni huonekani mama mizagamuo
Dunia hii uwanja wa vita hiki kitu mimi siwezi kabisa
Alikuwa mchepuko hii ndo faida ya kuwa na mchepuko pindi inapotokea km hivi huwa wanasaidia sn huyu mchepuko alikuwa anajua wanangu kitambo hata watoto nilikuwa nawatuma kwake
Aaah kwa hiyo ulitegemea mkeo aupende mchepuko wako? Yaani ni kama unamsimanga marehemu mkeo kwamba mwanamke aliyemchukia ndiyo amekuwa mwema kwa watoto wake leo; una-justify kila ujinga na unyama ulioufanya kwa marehemu mkeo na ndoa yenu. Yaani ulikuwa na mkeo wa ndoa; ila hadi watoto ulikuwa unawatuma kwa mchepuko??? Huyo mkeo wa sasa hivi; hata awe mwema kiasi gani haibadili ukweli kwamba wakati mkeo yupo hai; wewe na huyo mchepuko wako ndiyo mlivunja ndoa yenu kwa uzinzi, na mlimsababishia marehemu mkeo mateso, maumivu na stress. Na usikute yeye ndiyo alichangia hata kumrudisha marehemu mkeo kwao. Mtubu, yasiye yakawarudi na ninyi
So na sasa hivi una faida nyingine pembeni (mchepuko?). UMENISHANGAZA, UMENISIKITISHA....... Anyway, to each his own.
Shangaa na wewe nkamu. Kuna watu sijui conscience zao zimekufa!!!Mwanzo nilimuonea huruma nilivyosoma chini nimejikuta nakwazika.
Yaani kuna wanaume hawana huruma hivi mtu unaanzaje kumpenda mchepuko wa Mr.?
Pole sana , usisahau binti akipenda basi kapenda kweli.Nilikua na mpenzi wangu tulipendana sana ila aliniboa siku 1 tukazinguana sana hasa mimi nilikasirka kupita maelezo,nikakaa baadae halmashauri yangu ya kichwa ikaniambia "huyu demu ni malaya muache"
basi nikawa namtafutia sababu nimuache,kuna siku nimekaa mahali nikaona anapita na mwanaume wanatembea mdogo mdogo kuelekea kwao,mimi nikainuka nikaunga tela kwanyuma nione wanaelekea wapi na watapitia wapi.
Basi wakaingia uchochoro flani kagiza kalikua kameingia wakasimama wakawa wanaagana kwa kuongea tu ila maongezi hayaishi,mimi uvumilivu wakufata nyuma kwa kujificha ficha ili wasinione kama bodyguard ukanishinda,Nikatokea Paap kama mzimu.
nikamwambia kwanza yule jamaa,Oya sepaaa Jamaa akaniogopa kweli akasepaa,nikabaki na dem,kwakua tulikua tumegombana akawa ananijibu shit,namuuliza huyu NANI ananiambia "haikuhusu" asee nilimzabua zabua,pga makofi.
Nikampokonya simu ili niende ikagua,nikamwambia leo kila mwanaume wako humu naenda kumuua,ngoja nikawatafute. Hapo nishampiga sanaaa.Huyoo nikasepa na simu yake.
Kufika home simu haikua na password, (haya ma pattern ma password yameanza kutumika hivi karbuni tu) zamani watu wengi simu hazkua na password.
Nikaanza kupekua, kweli mtoto wa kike kutongozwa n kawaida sana, basi nikakuta chatting za wanaume wakimtongoza,ila na yeye alikua akiwakataa tena kwa kuwambia ana mpenzi wake anampenda sana na akawa anawatajia jina kabisa.
Jina ni langu Movies Store convo ya kwanza,nikatoka nikaingia ya pili nikakuta mwingine dem msimamo n ule ule hata atokeee mwanaume gani chni ya jua hawezi muachanisha na Movies Store.
nikaingia na nyingine na nyingine,kuna moja ikanimaliza kabisa n msg ya Asubuhi tu,ya siku hyo nlompokonya simu, Alikua anachat na dada ake sijui rafiki anamwambia leo inaenda wiki Movies Store hatuongei tumegombana,nateseka mwenzako sijui nafanyaje jaman, Rafki ake huyo anamwambia usijali mtakua sawa Tu kesho nitakusaidia kuongea nae, Dem akamshukuru sio kawaida.
Nikaanza kujutia kwann nilimpga mtoto wa watu kumbe ananipenda hvyo,Basi nikaendelea ku search nikaingia sehemu ya NOTEBOOK ya simu nikakuta malengo yake kwangu,jamani dada alinipenda yule sio kwa niliyoyakuta. Plan zake za kuja nifanyia kitu kwenye birthday yangu ya huo mwaka,mambo ni mengi mengi.
Nilijiona mkosaji mkubwa nikifkiria kpgo nlichomshushia yule mpenzi wangu,wakati naendelea pekua pekua simu yake ikaita nikapokea kumbe ni yeye kapga, akaniambia Movies Store baki na hiyo simu milele siitaki tena wala sitaki kukuona na wewe.
Niliomba msamaha wa kila aina ila ndio tayari nilimpoteza yule dada kwao n mwanza nataman siku 1 nirudi mwanza nikamtafute walau nimsalimie nimuone tena. Nikikuta kaolewa sawa tuu ila kama n urofa maishani niliowahi ufanya ni kumpoteza yule binti kwa sababu zangu za kijinga jingaaaa.
Tangu na hiyo siku nikiwa na mpenzi wangu Hata asimame na mwanaume nitakaa pembeni waongee wamalize,sishiki simu yake,naheshimu watu anao wasiliana nao ki ufupi mpenzi wangu hata nikute kabebwa mgongoni na mwanaume mwingine mimi sitosema kitu,nitanyamaza ntamwambia "baby naomba twende nyumbani muda wa kucheza umeisha"
"Baby naomba twende nyumbani muda wa kucheza umeisha"[emoji23][emoji23][emoji23]Nilikua na mpenzi wangu tulipendana sana ila aliniboa siku 1 tukazinguana sana hasa mimi nilikasirka kupita maelezo,nikakaa baadae halmashauri yangu ya kichwa ikaniambia "huyu demu ni malaya muache"
basi nikawa namtafutia sababu nimuache,kuna siku nimekaa mahali nikaona anapita na mwanaume wanatembea mdogo mdogo kuelekea kwao,mimi nikainuka nikaunga tela kwanyuma nione wanaelekea wapi na watapitia wapi.
Basi wakaingia uchochoro flani kagiza kalikua kameingia wakasimama wakawa wanaagana kwa kuongea tu ila maongezi hayaishi,mimi uvumilivu wakufata nyuma kwa kujificha ficha ili wasinione kama bodyguard ukanishinda,Nikatokea Paap kama mzimu.
nikamwambia kwanza yule jamaa,Oya sepaaa Jamaa akaniogopa kweli akasepaa,nikabaki na dem,kwakua tulikua tumegombana akawa ananijibu shit,namuuliza huyu NANI ananiambia "haikuhusu" asee nilimzabua zabua,pga makofi.
Nikampokonya simu ili niende ikagua,nikamwambia leo kila mwanaume wako humu naenda kumuua,ngoja nikawatafute. Hapo nishampiga sanaaa.Huyoo nikasepa na simu yake.
Kufika home simu haikua na password, (haya ma pattern ma password yameanza kutumika hivi karbuni tu) zamani watu wengi simu hazkua na password.
Nikaanza kupekua, kweli mtoto wa kike kutongozwa n kawaida sana, basi nikakuta chatting za wanaume wakimtongoza,ila na yeye alikua akiwakataa tena kwa kuwambia ana mpenzi wake anampenda sana na akawa anawatajia jina kabisa.
Jina ni langu Movies Store convo ya kwanza,nikatoka nikaingia ya pili nikakuta mwingine dem msimamo n ule ule hata atokeee mwanaume gani chni ya jua hawezi muachanisha na Movies Store.
nikaingia na nyingine na nyingine,kuna moja ikanimaliza kabisa n msg ya Asubuhi tu,ya siku hyo nlompokonya simu, Alikua anachat na dada ake sijui rafiki anamwambia leo inaenda wiki Movies Store hatuongei tumegombana,nateseka mwenzako sijui nafanyaje jaman, Rafki ake huyo anamwambia usijali mtakua sawa Tu kesho nitakusaidia kuongea nae, Dem akamshukuru sio kawaida.
Nikaanza kujutia kwann nilimpga mtoto wa watu kumbe ananipenda hvyo,Basi nikaendelea ku search nikaingia sehemu ya NOTEBOOK ya simu nikakuta malengo yake kwangu,jamani dada alinipenda yule sio kwa niliyoyakuta. Plan zake za kuja nifanyia kitu kwenye birthday yangu ya huo mwaka,mambo ni mengi mengi.
Nilijiona mkosaji mkubwa nikifkiria kpgo nlichomshushia yule mpenzi wangu,wakati naendelea pekua pekua simu yake ikaita nikapokea kumbe ni yeye kapga, akaniambia Movies Store baki na hiyo simu milele siitaki tena wala sitaki kukuona na wewe.
Niliomba msamaha wa kila aina ila ndio tayari nilimpoteza yule dada kwao n mwanza nataman siku 1 nirudi mwanza nikamtafute walau nimsalimie nimuone tena. Nikikuta kaolewa sawa tuu ila kama n urofa maishani niliowahi ufanya ni kumpoteza yule binti kwa sababu zangu za kijinga jingaaaa.
Tangu na hiyo siku nikiwa na mpenzi wangu Hata asimame na mwanaume nitakaa pembeni waongee wamalize,sishiki simu yake,naheshimu watu anao wasiliana nao ki ufupi mpenzi wangu hata nikute kabebwa mgongoni na mwanaume mwingine mimi sitosema kitu,nitanyamaza ntamwambia "baby naomba twende nyumbani muda wa kucheza umeisha"
Watu mna visa aisee. Baby muda wa kucheza umeisha twende nyumbani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikua na mpenzi wangu tulipendana sana ila aliniboa siku 1 tukazinguana sana hasa mimi nilikasirka kupita maelezo,nikakaa baadae halmashauri yangu ya kichwa ikaniambia "huyu demu ni malaya muache"
basi nikawa namtafutia sababu nimuache,kuna siku nimekaa mahali nikaona anapita na mwanaume wanatembea mdogo mdogo kuelekea kwao,mimi nikainuka nikaunga tela kwanyuma nione wanaelekea wapi na watapitia wapi.
Basi wakaingia uchochoro flani kagiza kalikua kameingia wakasimama wakawa wanaagana kwa kuongea tu ila maongezi hayaishi,mimi uvumilivu wakufata nyuma kwa kujificha ficha ili wasinione kama bodyguard ukanishinda,Nikatokea Paap kama mzimu.
nikamwambia kwanza yule jamaa,Oya sepaaa Jamaa akaniogopa kweli akasepaa,nikabaki na dem,kwakua tulikua tumegombana akawa ananijibu shit,namuuliza huyu NANI ananiambia "haikuhusu" asee nilimzabua zabua,pga makofi.
Nikampokonya simu ili niende ikagua,nikamwambia leo kila mwanaume wako humu naenda kumuua,ngoja nikawatafute. Hapo nishampiga sanaaa.Huyoo nikasepa na simu yake.
Kufika home simu haikua na password, (haya ma pattern ma password yameanza kutumika hivi karbuni tu) zamani watu wengi simu hazkua na password.
Nikaanza kupekua, kweli mtoto wa kike kutongozwa n kawaida sana, basi nikakuta chatting za wanaume wakimtongoza,ila na yeye alikua akiwakataa tena kwa kuwambia ana mpenzi wake anampenda sana na akawa anawatajia jina kabisa.
Jina ni langu Movies Store convo ya kwanza,nikatoka nikaingia ya pili nikakuta mwingine dem msimamo n ule ule hata atokeee mwanaume gani chni ya jua hawezi muachanisha na Movies Store.
nikaingia na nyingine na nyingine,kuna moja ikanimaliza kabisa n msg ya Asubuhi tu,ya siku hyo nlompokonya simu, Alikua anachat na dada ake sijui rafiki anamwambia leo inaenda wiki Movies Store hatuongei tumegombana,nateseka mwenzako sijui nafanyaje jaman, Rafki ake huyo anamwambia usijali mtakua sawa Tu kesho nitakusaidia kuongea nae, Dem akamshukuru sio kawaida.
Nikaanza kujutia kwann nilimpga mtoto wa watu kumbe ananipenda hvyo,Basi nikaendelea ku search nikaingia sehemu ya NOTEBOOK ya simu nikakuta malengo yake kwangu,jamani dada alinipenda yule sio kwa niliyoyakuta. Plan zake za kuja nifanyia kitu kwenye birthday yangu ya huo mwaka,mambo ni mengi mengi.
Nilijiona mkosaji mkubwa nikifkiria kpgo nlichomshushia yule mpenzi wangu,wakati naendelea pekua pekua simu yake ikaita nikapokea kumbe ni yeye kapga, akaniambia Movies Store baki na hiyo simu milele siitaki tena wala sitaki kukuona na wewe.
Niliomba msamaha wa kila aina ila ndio tayari nilimpoteza yule dada kwao n mwanza nataman siku 1 nirudi mwanza nikamtafute walau nimsalimie nimuone tena. Nikikuta kaolewa sawa tuu ila kama n urofa maishani niliowahi ufanya ni kumpoteza yule binti kwa sababu zangu za kijinga jingaaaa.
Tangu na hiyo siku nikiwa na mpenzi wangu Hata asimame na mwanaume nitakaa pembeni waongee wamalize,sishiki simu yake,naheshimu watu anao wasiliana nao ki ufupi mpenzi wangu hata nikute kabebwa mgongoni na mwanaume mwingine mimi sitosema kitu,nitanyamaza ntamwambia "baby naomba twende nyumbani muda wa kucheza umeisha"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitakuwepo tyuuh.Kijiweni huonekani mama mizagamuo
Hujasoma story unakurupuka tu bila aibu [emoji706]Namba uliisahau then ukaenda kurenew hii chai walai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuiamshe tu, ila hatutaki banhii n jamii forum ilio sinzia
duh!Mkuu,yaani kwamba wakati unatafta mchepuko uliweka akilini wazo kuwa huyo mchepuko atakusaidia pindi mkeo atakapofariki,kwahiyo ulikua nae kama akiba ya siku mkeo atapofariki .Kwahiyo hilo wazo lako subconscious mind ikabaki ikilichakata kiroho na hatimae natural power ikatafta sababu ya wewe na marehemu kugombana ili ukamilishiwe kile ulichopanda akilini ktk ulimwengu wa kimwili,na kweli ikatokea.Thats why unaona huyu mchepu eti ni faida,kwahyo hauna maumivu na kilichotokea.Dah!Mkuu uliua kwa natural power,ama nawazaje ati !!!? Nimeshtuka eti 'hii ndio faida ya michepuko.'khaaaa!Alikuwa mchepuko hii ndo faida ya kuwa na mchepuko pindi inapotokea km hivi huwa wanasaidia sn huyu mchepuko alikuwa anajua wanangu kitambo hata watoto nilikuwa nawatuma kwake
karibu hahahahahahahhhahahhahahahahahahahhahahhii n jamii forum ilio sinzia
Na akishakutema anakutema mazimaPole sana , usisahau binti akipenda basi kapenda kweli.
Lazima utemwe mazima dah unankumbusha far away sana , Regina kilumile basi tu utoto huuNa akishakutema anakutema mazima
Pole sanaSio kisa nachojutia, ila ni kisa kilichonifedhehesha kiasi.
Kulikuwa na house warming party moja ya mshkaji tuko naye kazini. Ile party nilifika jioni hivi, so wengine walishachangamka since walianza mapema kidogo. Kwenye party, kuna manzi wawili nilikuwa na ukaribu nao kuanzia kazini mpaka kitaa, na wote walikuwa wananielewa kiaina. Binafsi sikuwa na mpango wowote wa kuendeleza chochote zaidi ya ushkaji tu. Sasa ukijumlisha wale manzi walikuwa washatupia vitu, ilikuwa usumbufu ku-deal nao. Ule usiku nili-manage ukapita bila issue ya kushtua sana. Noma ilikuwa siku iliyofuata kazini. Nilikuta video zimesambaa kutoka kwenye ile party na zilionekana vibaya kichizi upande wangu. One of the chicks was grinding on me kwenye kucheza, na mimi nilikuwa nimeegemea gari tu mkono mmoja umeshika kinywaji na mwingine najaribu kumzuia yule manzi asidondoke since yuko maji kiaina. Ule mkono unaomzuia yule manzi ulikuwa kifuani kwake kulingana na vimo vyetu, so kwenye video inaonekana kama nashika nyonyo (thirsty af). Ilikuwa ngumu sana kujielezea sababu hata mwenyewe zile video zilionekana vibaya. So basically I was violated, but it looked like I was the violator. Ni mimi tu na yule manzi ndio tunajua ukweli wa nini kilitokea, but agenda had to agend.
Kisa kingine ni my homeboy was Will Smith'in on steroids, na kama mshkaji ikabidi nimuonyeshe alipokuwa anazingua. Fala alipewa rimjob sijui na manzi yake, akafunguka yote niliyomwambia achunguze kuhusu huyo manzi. Kilichotokea ni story for another day. Ila short story long, niliapa kutoingilia mahusiano ya mtu yoyote kwa namna yoyote kamwe. I told all my homeboys hata nikiwakuta manzi wao kwenye orgy, I'ma tight grill and mind my own business.
Enhe! Em tusimulie,ilikuaje na Regina?Lazima utemwe mazima dah unankumbusha far away sana , Regina kilumile basi tu utoto huu