Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

JKT

Katika harakati za kutafuta Ugali nilijikuta nimeomba kujiunga na jeshi la JKT. Nikatupiwa Kigoma, kule Bulombora 821KJ.

Nikapigishwa jaramba na kulishwa vumbi huku nikitazama ziwa Tanganyika kwa ukaribu kabisa lililozungukwa na mawese ya kutosha. Ruka Juu, Kanyaga Chini kwa nguvu mpaka mguu utoke nje ya kiatu.


Mikesha ilivyozidi nikaona hapa nitakufa. Nikaanza harakati za kutafuta nafasi ya kulala vizuri maana zile Dakika 5 unazopewa za kulala hazitoshi kabisa. Nikaanza kutafuta machimbo. Wenzangu wakienda mkesha, mimi najipeleka porini. Siku nyingine nakutana na ma afande na wao wamedoji kwenda lindo wananitimua najikuta nimerudi kulala uvunguni.

Tabia yangu ya kujizoesha kulala ikaanza kunigharimu. Ikafika mahali nikawa siwezi kabisa kwenda kukesha hata siku moja. Nikaanza kuona hadi uvivu wa kwenda kulala mbali na anga letu. Nakumbuka nilikua Eagle Coy.

Siku hiyo nimelala uvunguni nakoroma kabisa, saa ngapi afande asiingie ndani kutafuta watoro. Si akaniskia navyokoroma kule chini ya kitanda. Dah sitasahau hiyo kipigo niliyopewa. Nakumbuka al manusura nipoteze jicho. Maana vile vitanda vimechomelewa kwaiyo kuna kama vichuma flani hivi kama nondo vimejitokeza kwa juu, alinibamiza kichwa kwenye kile kitanda ile nondo ikachubua kidogo pembeni ya jicho.

Sijui nilipata wapi ujasiri nikamsukuma pembeni nikasogeza kioo cha dirisha nikarukia nje nikaanza kukimbia huku nachechemea machozi yananitoka ya kutosha. Jamaa nadhani aliniangalia navyokimbia kwa tabu akanionea huruma akaamua kuachana na mimi huku akisema "Nitakuua Mbwa Wewe".

Nilivyofika walipo wenzangu kwenye mkesha nikapokelewa tena na adhabu za kubiringita na kukwepa ndege za kivita. Dah.. nilihisi mwisho wangu umefika, nikasema kwa sauti "Nakufa" huku machozi yanatoka ili hata jamaa anionee huruma lakini wapi. Yeye kakazana kunioshea na kunifanya mfano kwa wengine. Saiyo pumzi imekata, maumivu kila mahali, machozi yameshatoka mpaka yamekauka, siwezi kuongea tena. Ni kwa Neema za Allah pekee nilifanikiwa kuona tena Jua siku iliyofuata maana nilikua nahisi kabisa nakufa. Hali yangu ilikua mbaya sana!

Sikuwahi kujuta kwenye maisha yangu kama hiyo siku. Nililaani uamuzi wangu wa kwenda huko. Kile kitu kilinikaa sana moyoni kwa muda mrefu. Niliona kabisa huku sio kwangu. Course ilivyoisha, wakati wengine wanasikilizia kwenda JWTZ na Polisi, mimi nikaandaa nauli yangu, nikavizia ule muda tunaotumwa kwenda town...nikatorokea huko mazima na nikaapa sitarudi tena. Ikawa imeisha hiyo!

Kwa kweli mambo ya Jeshi yana watu wake. I was not one of them!
Koplo ambari angekuua wewe najua hawezi kua mteule Ngutanyi

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Usiku mmoja nikiwa katika harakati za kutafuta elimu nipo mikoa ya watu shuleni kwetu dinning Hall ilikua pia inakodishwa kwa ajili ya shughuli nyingine za kijamii kama harusi na send off.
Hio siku prepo haikuepo kwa kua kulkua na shereh dinning mimi na wanangu wachache wahuni tukapanga tuvamie sherehe Ile ilosifika kua ya watoto wa matajiri wa mji ule.
Nikatoka general wa vita kwenda kutazama ulinzi na usalama na kuandaa plan ya kuzamia..kufika eneo la tukio nkascan haraka nkaona dress code suti nyeus na tai kwa wanaume uzur na shuleni ni maeneo ya baridi tulkua tunavaa suti pia.
Wanaume tukabadilika tukafika eneo la tukio mimi nkatokea kwenye parking kulkua na discovery imepaki nafika getini mlinzi wa getini ni jamaa wa mtaani ambae ananijuaga mm ni dent miyeyusho spend shule (huyu jamaa alkua anauza viatu raba nlkua naenda kuchukua za kwendea club usiku) wenzngu walifanikiwa kupenya mm ikashindikana
Kufika mishale ya saa 4 kwendea 5 akatoka dada mmoja mrembo tu akawa anaongea na simu (nafikiri alipigiwa na mmewe akitakiwa nyumban) nkamfata akanpa kadi akawasha gari yake akaondoka

Nkarudi getini tena yule jamaa anataka kunsukumizia mabaunsa nkatoa kadi akawa ananiangalia kwa kuntaman. Mwanaume nikazama ndani na kukuta wenzngu washapata na wachumba nkachagua angle moja nzuri ya nkatulia muda ukakatika mziki tukacheza na misosi tukala sana

Sasa kuna ule utaratb wa watu kukusanya vinywaji na makulaji na kufunga ili kwenda navyo majumban basi mwshon kabisa mwa shughul nikaona package kubwa ipo inazagaa zagaaa (sjui roho gan ikaniingia inanambia unaacha vinono ivo kesho utakinga ugal maharage nikajikuta nasogelea ule mzgo) katika malez yangu mm kitu sijawezaga ni kuchukua cha mtu basi nikachukua kile kifurushi aisee Ile nageuka nilipigwa mibanzi (yule mzee hatar anapiga mibanz kama sokwe) nkabak nimekua mdgo kusema nmuanzshie vagi yule mzee ningeweza ila ningezua soo kubwa ukizingatia nlizamia so yule mzee alinzaba mikofi kama 6 ivi na wala hakuongea na mm wala sikusema nikageuka kutazama wenzngu naona wanaparty na kina mama nkatoka nje nkaenda kulala uku nikiomba Ile mibanzi kusiwe na mtu ameiona na ndo ikawa ivo

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Usiku mmoja nikiwa katika harakati za kutafuta elimu nipo mikoa ya watu shuleni kwetu dinning Hall ilikua pia inakodishwa kwa ajili ya shughuli nyingine za kijamii kama harusi na send off.
Hio siku prepo haikuepo kwa kua kulkua na shereh dinning mimi na wanangu wachache wahuni tukapanga tuvamie sherehe Ile ilosifika kua ya watoto wa matajiri wa mji ule.
Nikatoka general wa vita kwenda kutazama ulinzi na usalama na kuandaa plan ya kuzamia..kufika eneo la tukio nkascan haraka nkaona dress code suti nyeus na tai kwa wanaume uzur na shuleni ni maeneo ya baridi tulkua tunavaa suti pia.
Wanaume tukabadilika tukafika eneo la tukio mimi nkatokea kwenye parking kulkua na discovery imepaki nafika getini mlinzi wa getini ni jamaa wa mtaani ambae ananijuaga mm ni dent miyeyusho spend shule (huyu jamaa alkua anauza viatu raba nlkua naenda kuchukua za kwendea club usiku) wenzngu walifanikiwa kupenya mm ikashindikana
Kufika mishale ya saa 4 kwendea 5 akatoka dada mmoja mrembo tu akawa anaongea na simu (nafikiri alipigiwa na mmewe akitakiwa nyumban) nkamfata akanpa kadi akawasha gari yake akaondoka

Nkarudi getini tena yule jamaa anataka kunsukumizia mabaunsa nkatoa kadi akawa ananiangalia kwa kuntaman. Mwanaume nikazama ndani na kukuta wenzngu washapata na wachumba nkachagua angle moja nzuri ya nkatulia muda ukakatika mziki tukacheza na misosi tukala sana

Sasa kuna ule utaratb wa watu kukusanya vinywaji na makulaji na kufunga ili kwenda navyo majumban basi mwshon kabisa mwa shughul nikaona package kubwa ipo inazagaa zagaaa (sjui roho gan ikaniingia inanambia unaacha vinono ivo kesho utakinga ugal maharage nikajikuta nasogelea ule mzgo) katika malez yangu mm kitu sijawezaga ni kuchukua cha mtu basi nikachukua kile kifurushi aisee Ile nageuka nilipigwa mibanzi (yule mzee hatar anapiga mibanz kama sokwe) nkabak nimekua mdgo kusema nmuanzshie vagi yule mzee ningeweza ila ningezua soo kubwa ukizingatia nlizamia so yule mzee alinzaba mikofi kama 6 ivi na wala hakuongea na mm wala sikusema nikageuka kutazama wenzngu naona wanaparty na kina mama nkatoka nje nkaenda kulala uku nikiomba Ile mibanzi kusiwe na mtu ameiona na ndo ikawa ivo

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Kama sokwe[emoji1787][emoji1787]
 
Usiku mmoja nikiwa katika harakati za kutafuta elimu nipo mikoa ya watu shuleni kwetu dinning Hall ilikua pia inakodishwa kwa ajili ya shughuli nyingine za kijamii kama harusi na send off.
Hio siku prepo haikuepo kwa kua kulkua na shereh dinning mimi na wanangu wachache wahuni tukapanga tuvamie sherehe Ile ilosifika kua ya watoto wa matajiri wa mji ule.
Nikatoka general wa vita kwenda kutazama ulinzi na usalama na kuandaa plan ya kuzamia..kufika eneo la tukio nkascan haraka nkaona dress code suti nyeus na tai kwa wanaume uzur na shuleni ni maeneo ya baridi tulkua tunavaa suti pia.
Wanaume tukabadilika tukafika eneo la tukio mimi nkatokea kwenye parking kulkua na discovery imepaki nafika getini mlinzi wa getini ni jamaa wa mtaani ambae ananijuaga mm ni dent miyeyusho spend shule (huyu jamaa alkua anauza viatu raba nlkua naenda kuchukua za kwendea club usiku) wenzngu walifanikiwa kupenya mm ikashindikana
Kufika mishale ya saa 4 kwendea 5 akatoka dada mmoja mrembo tu akawa anaongea na simu (nafikiri alipigiwa na mmewe akitakiwa nyumban) nkamfata akanpa kadi akawasha gari yake akaondoka

Nkarudi getini tena yule jamaa anataka kunsukumizia mabaunsa nkatoa kadi akawa ananiangalia kwa kuntaman. Mwanaume nikazama ndani na kukuta wenzngu washapata na wachumba nkachagua angle moja nzuri ya nkatulia muda ukakatika mziki tukacheza na misosi tukala sana

Sasa kuna ule utaratb wa watu kukusanya vinywaji na makulaji na kufunga ili kwenda navyo majumban basi mwshon kabisa mwa shughul nikaona package kubwa ipo inazagaa zagaaa (sjui roho gan ikaniingia inanambia unaacha vinono ivo kesho utakinga ugal maharage nikajikuta nasogelea ule mzgo) katika malez yangu mm kitu sijawezaga ni kuchukua cha mtu basi nikachukua kile kifurushi aisee Ile nageuka nilipigwa mibanzi (yule mzee hatar anapiga mibanz kama sokwe) nkabak nimekua mdgo kusema nmuanzshie vagi yule mzee ningeweza ila ningezua soo kubwa ukizingatia nlizamia so yule mzee alinzaba mikofi kama 6 ivi na wala hakuongea na mm wala sikusema nikageuka kutazama wenzngu naona wanaparty na kina mama nkatoka nje nkaenda kulala uku nikiomba Ile mibanzi kusiwe na mtu ameiona na ndo ikawa ivo

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Kawawa jkt mafinga
 
Enhe! Em tusimulie,ilikuaje na Regina?
Dah Regina bana, sijui alishaolewa? Sijui hajaolewa? Sijui alisharudi India ? Dah haya maswali yanaishi kichwani mwangu kila siku japo alikuwa tomboy ila nilimkubali kiasi chake .

Turudi nyuma kipindi cha advance pale skuli nilipoleta kisa cha kuhangaikia haki ya wanafunzi wenzangu kwa siri ,mission ikafanikiwa ila niliowahangaikia wakanitenga kwa kudhani mimi ni snitch kwa kujazwa maneno na walimu , huku na walimu wakinigwaya sana .

Basi ni katika mwaka wa kidato cha sita mwanzoni , ndipo napata kumjua Regina akiwa kahamia toka shule ya Saint Anne Marie, alihamia shuleni kwetu baada ya tetesi kuwa alifukuzwa na baadhi ya wenzake, sababu ya utovu wa nidhamu.

Baada ya kufika shuleni zile fununu zilizagaa sasa kutokana na watoto wengi wa o_level kuwa (maspy) wapelelezi wa walimu kutokana na hizo fununu basi wanafunzi wengi walikuwa wanamtenga Regina, back in the story of mine sijawahi kukubali kuona mtu anatengwa au kunyanyapaliwa nivumilie lazima nimcofort.

Kupitia faraja na kheri zangu kwa Regina tukawa marafiki japo kwa siri sana maana mimi si wanafunzi wala walimu wananipenda sababu ya negative perception hivyo pale shuleni ilifika mahali kama ningekufa basi Regina ni mmoja wa watu pale shule angelia labda.

Ukaribu wetu ulichangiwa na kuwa kidato kimoja , maisha yaliendelea kwa kupiga story siku moja moja pale nafasi ikiwepo ya upenyo ila zaidi akiwa na jambo linalomtatiza aliendelea kuniandikia memo hivyo nilijibu kwa memo japo hatukuwahi kuwa wapenzi that time ila ni rafiki wa karibu.

Regina alikuwa ni mtu wa Morocco _AIRTEL, hivyo baada ya kuhitimu kidato cha sita nilifanikiwa kufika kwao na yeye kufika kwetu , by that time aliweza kunitambulisha kwa dada yake mimi kama mpenzi wake , kitu kilichonifanya nikubaliane naye pasipo kubisha japo sikuwahi kuwa na hisia naye .

Sikuwa na hisia naye sababu alikuwa kama vile ana homoni za kiume yaani mjini tunasema , ni tomboy , basi since siku ile charting manner ilibadilika kutoka rafiki wa karibu mpaka mpenzi ,sometimes nilipokuwa naenda kumpitia kwao twende beach basi dada yake alipenda kunitania kuwa ataandika story yetu kwenye gazeti , hii ilikuwa sababu ya yeye kuwa anafanya kazi gazeti la mwananchi kipindi hiko.

Kwa haraka baada ya kufika kwao Regina kwa mtu mwenye akili timamu isingekupa shida kujua kuwa Regina kwao ni wa kishua so akawa anapenda sana kunipa vizawadi zawadi mwisho na mimi nikajikuta nampa zawadi pia , mwisho hisia kati yangu na yeye zikawa zimefana na mwisho nikamla mara kibao sehemu tofauti tofauti za kujistiri (nyumba za wageni) .

Back in my story nilipomjulisha Regina habari ya mimi kwenda bukoba kumuona bibi yangu, na yeye alisema si mda ataenda njombe kumuona mama yake sababu kipindi hiko alikuwa kule na project zake .so ikawa yeye anajiaanda kwenda njombe na mimi najiandaa kwenda bukoba .

One week kabla ya mimi kuondoka nilimsindikiza uwanja wa mwalimu nyerere kwa ajiri ya safari yake kwenda njombe then few day na mimi nikaenda bukoba , mawasiliano yaliendelea sana na ni ukweli masikini Regina alinipenda sana mpaka akawa ananipa mipango kibao ya mimi kufanya na yeye pindi tukienda chuo ila ndiyo hivyo mwenzake , ndiyo ujana umewasha moto nakubali ila akili haiko pale .

Back in my story , baada ya kufika bukoba na kuanzisha penzi na yule mpangaji wa bibi , basi biashara na Regina iliishia pale sikuwahi mpigia wala kumtafuta akawa anapiga napokea ila ni mpaka nijisikie basi masikini Regina wa watu akaona isiwe tabu , akajikataa mazima .

Mwanzo sikuwaza hata kidogo yeye kuniacha maana nilikuwa na mpangaji wa bibi na mda huo penzi limenoga ila baada ya kurudi dar , hisia zilinibana sana nikaanza kuzikumbuka moment zote nilikuwa na Regina ila sasa sina tena namba yake , nikajitosa kwenda kwao morroco _AIRTEL ila nikaambiwa walishahama mda si mrefu ila wako masaki.

Nitafanya jitihada kumpata huko masaki nikagonga mwamba , mwisho nikapata namba yake toka kwa rafiki yake wa mtaani pale morroco, maana classmates wote nikiwaulizia kila mtu namba yake hana .

Baada ya kupata namba nikamtafuta ila bado sikumpata , na maisha yangu yakaendelea kama kawaida, siku nishaingia chuo , Regina alinitafuta kwa namba yenye code za India , akidai ananisalimia tu , nikajibaruguza pale kumuomba msamaha na kutaka kujua anarudi lini bongo ?

Haikuwa rahisi kunipa majibu na akadai mimi ni rafiki yake tu , haitakaa itokee tena mimi kuwa naye , hivyo hata ratiba zake si lazima mimi kuzijua mpka apende yeye, niliumia ila nikajipa moyo maana "TRUE LOVE NEVER DIE" ila ilikuwa ndoto ya mchana kwa Regina maana sikuacha kujibaraguza kwake ila hakuwa hata kuonesha dalili kurudisha moyo nyuma .

Nikasema acha nikamtafuta dada yake pale ofisi za mwananchi , nimpange ni vipi nahangaika na penzi butu la mdogo wake , dah dada mtu mwenye akanichana makavu kuwa nilimzingua mwenyewe mdogo wake hivyo , kama nililianza mwenyewe nilinywe.

Baada ya ile safari kwa dada mtu, nikasema huu upuuzi sitarudi tena na wala sitamtafuta tena , nikaendelea na maisha yangu na vidada Poa vyangu .
Ila siku moja moja uwa namkumbuka hasa zile moment na yeye, mara beach, mara shuleni akijakuvistiwa basi mikuku naifaidi sana ,mara twende club japo wana walikuwa wanashangaa hasa mtaani kwao kuwa napenda nini pale ila dogo alikuwa na true love and true care kwangu .

Regina ulikuwa mtu wa social networks sana , yamkini huko hapa , iam sorry bwana , utoto ule sasa nimekuwa sikutafuti uwe mpenzi tena ila turudishe hata roho ya urafiki wetu ule maana ulikuwa unanifurahisha sana .

Kwako Remigal.
 
Dah Regina bana, sijui alishaolewa? Sijui hajaolewa? Sijui alisharudi India ? Dah haya maswali yanaishi kichwani mwangu kila siku japo alikuwa tomboy ila nilimkubali kiasi chake .

Turudi nyuma kipindi cha advance pale skuli nilipoleta kisa cha kuhangaikia haki ya wanafunzi wenzangu kwa siri ,mission ikafanikiwa ila niliowahangaikia wakanitenga kwa kudhani mimi ni snitch kwa kujazwa maneno na walimu , huku na walimu wakinigwaya sana .

Basi ni katika mwaka wa kidato cha sita mwanzoni , ndipo napata kumjua Regina akiwa kahamia toka shule ya Saint Anne Marie, alihamia shuleni kwetu baada ya tetesi kuwa alifukuzwa na baadhi ya wenzake, sababu ya utovu wa nidhamu.

Baada ya kufika shuleni zile fununu zilizagaa sasa kutokana na watoto wengi wa o_level kuwa (maspy) wapelelezi wa walimu kutokana na hizo fununu basi wanafunzi wengi walikuwa wanamtenga Regina, back in the story of mine sijawahi kukubali kuona mtu anatengwa au kunyanyapaliwa nivumilie lazima nimcofort.

Kupitia faraja na kheri zangu kwa Regina tukawa marafiki japo kwa siri sana maana mimi si wanafunzi wala walimu wananipenda sababu ya negative perception hivyo pale shuleni ilifika mahali kama ningekufa basi Regina ni mmoja wa watu pale shule angelia labda.

Ukaribu wetu ulichangiwa na kuwa kidato kimoja , maisha yaliendelea kwa kupiga story siku moja moja pale nafasi ikiwepo ya upenyo ila zaidi akiwa na jambo linalomtatiza aliendelea kuniandikia memo hivyo nilijibu kwa memo japo hatukuwahi kuwa wapenzi that time ila ni rafiki wa karibu.

Regina alikuwa ni mtu wa Morocco _AIRTEL, hivyo baada ya kuhitimu kidato cha sita nilifanikiwa kufika kwao na yeye kufika kwetu , by that time aliweza kunitambulisha kwa dada yake mimi kama mpenzi wake , kitu kilichonifanya nikubaliane naye pasipo kubisha japo sikuwahi kuwa na hisia naye .

Sikuwa na hisia naye sababu alikuwa kama vile ana homoni za kiume yaani mjini tunasema , ni tomboy , basi since siku ile charting manner ilibadilika kutoka rafiki wa karibu mpaka mpenzi ,sometimes nilipokuwa naenda kumpitia kwao twende beach basi dada yake alipenda kunitania kuwa ataandika story yetu kwenye gazeti , hii ilikuwa sababu ya yeye kuwa anafanya kazi gazeti la mwananchi kipindi hiko.

Kwa haraka baada ya kufika kwao Regina kwa mtu mwenye akili timamu isingekupa shida kujua kuwa Regina kwao ni wa kishua so akawa anapenda sana kunipa vizawadi zawadi mwisho na mimi nikajikuta nampa zawadi pia , mwisho hisia kati yangu na yeye zikawa zimefana na mwisho nikamla mara kibao sehemu tofauti tofauti za kujistiri (nyumba za wageni) .

Back in my story nilipomjulisha Regina habari ya mimi kwenda bukoba kumuona bibi yangu, na yeye alisema si mda ataenda njombe kumuona mama yake sababu kipindi hiko alikuwa kule na project zake .so ikawa yeye anajiaanda kwenda njombe na mimi najiandaa kwenda bukoba .

One week kabla ya mimi kuondoka nilimsindikiza uwanja wa mwalimu nyerere kwa ajiri ya safari yake kwenda njombe then few day na mimi nikaenda bukoba , mawasiliano yaliendelea sana na ni ukweli masikini Regina alinipenda sana mpaka akawa ananipa mipango kibao ya mimi kufanya na yeye pindi tukienda chuo ila ndiyo hivyo mwenzake , ndiyo ujana umewasha moto nakubali ila akili haiko pale .

Back in my story , baada ya kufika bukoba na kuanzisha penzi na yule mpangaji wa bibi , basi biashara na Regina iliishia pale sikuwahi mpigia wala kumtafuta akawa anapiga napokea ila ni mpaka nijisikie basi masikini Regina wa watu akaona isiwe tabu , akajikataa mazima .

Mwanzo sikuwaza hata kidogo yeye kuniacha maana nilikuwa na mpangaji wa bibi na mda huo penzi limenoga ila baada ya kurudi dar , hisia zilinibana sana nikaanza kuzikumbuka moment zote nilikuwa na Regina ila sasa sina tena namba yake , nikajitosa kwenda kwao morroco _AIRTEL ila nikaambiwa walishahama mda si mrefu ila wako masaki.

Nitafanya jitihada kumpata huko masaki nikagonga mwamba , mwisho nikapata namba yake toka kwa rafiki yake wa mtaani pale morroco, maana classmates wote nikiwaulizia kila mtu namba yake hana .

Baada ya kupata namba nikamtafuta ila bado sikumpata , na maisha yangu yakaendelea kama kawaida, siku nishaingia chuo , Regina alinitafuta kwa namba yenye code za India , akidai ananisalimia tu , nikajibaruguza pale kumuomba msamaha na kutaka kujua anarudi lini bongo ?

Haikuwa rahisi kunipa majibu na akadai mimi ni rafiki yake tu , haitakaa itokee tena mimi kuwa naye , hivyo hata ratiba zake si lazima mimi kuzijua mpka apende yeye, niliumia ila nikajipa moyo maana "TRUE LOVE NEVER DIE" ila ilikuwa ndoto ya mchana kwa Regina maana sikuacha kujibaraguza kwake ila hakuwa hata kuonesha dalili kurudisha moyo nyuma .

Nikasema acha nikamtafuta dada yake pale ofisi za mwananchi , nimpange ni vipi nahangaika na penzi butu la mdogo wake , dah dada mtu mwenye akanichana makavu kuwa nilimzingua mwenyewe mdogo wake hivyo , kama nililianza mwenyewe nilinywe.

Baada ya ile safari kwa dada mtu, nikasema huu upuuzi sitarudi tena na wala sitamtafuta tena , nikaendelea na maisha yangu na vidada Poa vyangu .
Ila siku moja moja uwa namkumbuka hasa zile moment na yeye, mara beach, mara shuleni akijakuvistiwa basi mikuku naifaidi sana ,mara twende club japo wana walikuwa wanashangaa hasa mtaani kwao kuwa napenda nini pale ila dogo alikuwa na true love and true care kwangu .

Regina ulikuwa mtu wa social networks sana , yamkini huko hapa , iam sorry bwana , utoto ule sasa nimekuwa sikutafuti uwe mpenzi tena ila turudishe hata roho ya urafiki wetu ule maana ulikuwa unanifurahisha sana .

Kwako Remigal.
Oooh!Basi Regina kama yupo hapa ameuona ujumbe na ombi lako la urafiki.
 
Nilimpa demu wangu wa utotoni li baruti fulani lenye muundo wa mshumaa nikamdanganya kuwa ukiwasha kale kautambi zinatokea rangi nzuri aisee si akaenda nalo moja kwa moja hadi kwao akaingia jikoni ambapo wapangaji wote hupikia humo na mama yake yupo humo anapika si akaliwasha bwanaaa weeeee LIKAJIBU PWAAAAA kmmke daa wengine walizimia na kulazwa include mama yake ila mmoja aliruka mripuko uliposikika akatua kwenye maji ya moto.Jamani navyoongea hivi kuna mtu ana jeraha lilosababishwa na ujinga wangu MUNGU NISAMEHE.Mi baruti tuliipata kwa dada yangu ambae alikuwa anafanya kazi kwa WaINDI sio jambo la kujisifia ila kilichonikuta baada ya hilo tukio mixer na mapolisi waliingia mama yangu haelewi kwa nini nimekuja kukamatwa aisee.
Hahaha pole sana Mkuu kwa madhila uliyosababisha ila hii imeniacha hoi
 
Kwenye Maisha tunajifunza kutokana na makosa na makosa yanaleta majuto kabla ya funzo.

Aidha ufanye kosa kwa siri au hadharani, ni lazima likugharimu kwa namna moja au nyingine na hivyo kupelekea majuto.

Kuna vitu huwezi kuzungumza na watu wanaokufahamu vizuri, kuna vitu vinabaki mioyoni mwetu kwa muda mrefu sana.

Lakini sehemu kama JamiiForums ambapo kila mtu ni kama mgeni tusiyemfahamu panafaa kabisa kutoa yale ambayo tunayabeba mioyoni mwetu kama majuto labda huenda yakamsaidia mtu mwingine kwa namna yake.

Unajutia vitu gani kwenye maisha yako?

Binafsi nina vitu fulani ambavyo niliwahi kujutia sana. Nitakuwa nashare kimoja kimoja kadiri navyopata muda.


FAKE BANK SLIPS

Kipindi fulani miaka kadhaa nyuma, wakati nasoma Chuo niliwahi kuingia katika harakati haramu za kuforge receipt za Malipo ya Ada. Ilinigharimu Sana!

Wakati huo maisha ya Chuo yamekuwa magumu sana, mambo ya ujana ni mengi halafu mpunga naotumiwa kutoka nyumbani hautoshi kabisa kumudu gharama zisizo rasmi.

Basi bhana, ilivyotokea hiyo story ya kuwa kuna namna unaweza kutoa pesa kidogo kama robo tu ya Ada unayolipa kisha ukapokea receipt halali ya Bank yenye malipo ya Ada kamili nikajikuta nimeingia mkenge kirahisi.

Tafuta connection mpaka nikakutana na jamaa mmoja ambaye ndio anaratibu huo mchongo. Kazi ikaanza. Wakati huo nipo mwaka wa mwisho ila Sem ya kwanza.

Nikaona maisha si ndio haya. Nakumbuka nilikua nalipa kama Mil 2 kasoro hivi ya Ada ya mwaka mzima. Kwahiyo nikawa nikitumiwa pesa ya Ada natoa kama jiwe 5 tu, receipt ya ada kamili hii hapa. Nikienda kwa mhasibu ni mhuri Twacha! Nishaingia kwenye kundi la walipa Ada naanza kupambana na Modules. Alikuwa wapi huyu Jamaa miaka yote hiyo nasota bure, Dah!

Sem ya kwanza ikaisha ki ulaini sana, Sem ya II ikaanza kama kawaida nikamcheck mzee wa michongo akanifanyia utaratibu chap maisha yakaendelea.

Kipindi hicho mpaka washkaji zangu wakawa kama hawanielewi elewi, si unajua tena zile umetoka na mwana kitaa kimoja anajua uchumi wenu vizuri halafu anashangaa mwana ghafla tu kila kitu huulizi bei na hukaukiwi Mchuzi! Duh, wangejua nilipojiingiza hata wasingekubali kupokea mia yangu.

Muda ukaenda, wiki zikakatika. UEs zikaanza. Kizaazaa kikaja!

Nakumbuka zilikua zimebaki kama paper 2 tu nimalize Chuo, katikati ya mtihani anaingia Dean of Student na maafande.

Heh! Moyo ukafanya Paah, Mkono ukaanza kutetemeka mpaka kalamu ikaanguka chini. Sijamalizia kuokota kalamu nasikia jina langu linaitwa, Mama yangu! Nimekwisha!

Nikasimama nikatoka nje wajomba wakaniambia kijana uko chini ya ulinzi. Kila mtu hapo ndani ya chumba cha mtihani wanashangaa. Laskaboza kafanya nini tena jamani? Mbona hanaga shida na mtu.

Unajua kuna kitu watu huwa hawajui kuhusu kukamatwa na mapolisi. Siku wanakuchukua huwa wanakuchukua kama utani vile, kama vile wanaenda kukuhoji tu kidogo kesho yake unatoka.

Aaah thubutu, nilikaa Central karibu wiki mbili, mpaka nikahamishiwa Magereza Bulalifuu. Naona kama ni Movie ya kihindi inanitokea lakini ni painful reality. Nimeshakuwa Mfungwa!

Wazee wakafunga safari kutoka mkoani wakaja Chuoni kujua kulikoni. Sitasahau aibu niliyoipata wakati namuona mzee wangu. Laskaboza? Imekuaje Mwanangu? Uliomba nini hukupewa? Pesa zote ulikuwa unapeleka wapi? Uchungu niliokuwa nao jumlisha na uchungu wa mzee, hali ikazidi kuwa Mbaya.

Story zikasambaa Chuo kizima, Laskaboza ni tapeli, ametapeli Chuo. Ubaya wa haya mambo, akikamatwa mwingine anasema wewe ndio ulimwambia kwahiyo mimi ndio nabanwa niseme mashine za kufyatulia Receipt ziko wapi. Niliteseka sana.

Kwa sababu hata yule jamaa aliyeniingiza huko alishamaliza Chuo mwaka mmoja kabla yangu. Kwaiyo alikua mtaani tayari. Alivyosikia nimedakwa, akapotea. Akawa hapatikani tena.

Aisee, hakuna rangi niliacha kuona. Hii story ni ndefu sana, ila ki ufupi nilikuja kuachiwa baada ya miezi 4.. walikuja kugundua hata mimi sijui mahali hizo receipt zinafyatuliwa.

Waliofanya mpango uvuje ni Auditors. Maana Chuo kilikuja kugundua pesa hazionekani Bank lakini zipo kwenye makaratasi.

Kwaiyo wakaguzi wa mahesabu wakishirikiana na Bank ndio wakagundua huo mchongo. Ki ukweli ulinigharimu sana. Nilijuta sana. Watu wa nyumbani kwetu walihisi nimelogwa ili nisimalize Chuo, Duh

Nilikuja kumaliza masomo yangu miaka miwili mbele, maana hapa katikati habari zangu zilikua zimeshasambaa sana.

Kwaiyo hata kurudi ikawa ngumu mnoo. Nilikuja kukubaliwa miaka miwili mbeleni baada ya mabadiliko katika uongozi wa Chuo kufanyika.

Hakika nilijutia sana

Kamwe usije ukaingia kwenye michongo meusi. Maana ina tabia ya kukolea kama sukari halafu ikishakolea unajisahau. Unajikuta umeharibu, maisha yanaanza kuwa Machungu!

Kisa kipi kilikufanya na wewe ujute sana?
KIUT?
 
Kisa cha kununua dada poa.

Miaka kadhaa nyuma kipindi nasoma chuo mwanza nilishikwa na ukame balaa na ukichek nilikua mtu wa aibu kiasi. Nikaamua nimchek mshaji wangu mmoja wapi naweza pata huduma ya kupunguza uzito a.k.a dada poa.

Jamaa akanielekeza chimbo, chimbo lenyewe ni uwanja wa ccm kirumba kwa wenyej wa mwanza wanapafamu vizur usiku kuna dada poa wengi saana na kwa kipindi kile huduma ya fasta ni 2000 tu. So nkapanda gari hadi kirumba majira ya saa moja kwenda saa 2 hv. Kufik pale nilishangaa kinoma kuona ni wanawake wengi wanuza k wamejipanga kama wanasubiri daladala.

Baada ya kusoma upepo pale nkjichagulia mmoja, ubaya ni kwamba hakuna vyumba ni kuingia kwenye nyasi, basi tukaingia polini tayari kwa kazi. Kumbe polisi walikua doria ile naanza tu polisi hawa hapa, yule dada aliruka na kunisukuma na kukimbia kuona vile mwenyew niaanza kukimbia. Sikujua naelekea wapi nkajikuta nipo nyuma ya shule ya msingi ipo jilani na uwanja kumbe maeneo yale kuna bonge la mfereji unpitisha maji na umejaa tope. Nilijikuta nimetumbukia kwenye tope kuanzia kiunoni hadi miguuni na viatu kubaki hukohuko. Baada ya kutoka nkajikuta nimejaa tope mwili mzima na kurudi magetoni mbali siwez kupanda daladala kwa jinsi nilivyochafuka. Nilikaa mahali napoteza muda hadi saa nne nkachukua boda hadi magetoni kufika nakuta washkaji wapo nje. yupe jamaa alicheka kinomaaa akaanza kuwahadithia kuwa huyu alienda kununua dada poa kirumba atakuwa katolewa nduki na polisi sio bure, daaah nilifedheheka kinoma kozi kuna mademu walikuwepo chumba cha jilani walisikia halafu nilikua naheshimika kinoma coz nilikua mwenyekiti wa hostel. Sitasahau vyeo vyangu vyote jamaa alinivua kwa wale mademu na isitoshe nilikuwa nawamezea mate kinoma.
 
Kisa cha kununua dada poa.

Miaka kadhaa nyuma kipindi nasoma chuo mwanza nilishikwa na ukame balaa na ukichek nilikua mtu wa aibu kiasi. Nikaamua nimchek mshaji wangu mmoja wapi naweza pata huduma ya kupunguza uzito a.k.a dada poa.

Jamaa akanielekeza chimbo, chimbo lenyewe ni uwanja wa ccm kirumba kwa wenyej wa mwanza wanapafamu vizur usiku kuna dada poa wengi saana na kwa kipindi kile huduma ya fasta ni 2000 tu. So nkapanda gari hadi kirumba majira ya saa moja kwenda saa 2 hv. Kufik pale nilishangaa kinoma kuona ni wanawake wengi wanuza k wamejipanga kama wanasubiri daladala.

Baada ya kusoma upepo pale nkjichagulia mmoja, ubaya ni kwamba hakuna vyumba ni kuingia kwenye nyasi, basi tukaingia polini tayari kwa kazi. Kumbe polisi walikua doria ile naanza tu polisi hawa hapa, yule dada aliruka na kunisukuma na kukimbia kuona vile mwenyew niaanza kukimbia. Sikujua naelekea wapi nkajikuta nipo nyuma ya shule ya msingi ipo jilani na uwanja kumbe maeneo yale kuna bonge la mfereji unpitisha maji na umejaa tope. Nilijikuta nimetumbukia kwenye tope kuanzia kiunoni hadi miguuni na viatu kubaki hukohuko. Baada ya kutoka nkajikuta nimejaa tope mwili mzima na kurudi magetoni mbali siwez kupanda daladala kwa jinsi nilivyochafuka. Nilikaa mahali napoteza muda hadi saa nne nkachukua boda hadi magetoni kufika nakuta washkaji wapo nje. yupe jamaa alicheka kinomaaa akaanza kuwahadithia kuwa huyu alienda kununua dada poa kirumba atakuwa katolewa nduki na polisi sio bure, daaah nilifedheheka kinoma kozi kuna mademu walikuwepo chumba cha jilani walisikia halafu nilikua naheshimika kinoma coz nilikua mwenyekiti wa hostel. Sitasahau vyeo vyangu vyote jamaa alinivua kwa wale mademu na isitoshe nilikuwa nawamezea mate kinoma.
[emoji1787] pole
 
Ninachojutiaa ni 2016 dem mmoja hv sister aliniombaa niendee kwakee nikamsaidiee kufungaa kitandaa chake alinunuaa ,nikaendaa bhanaa kilichonikutaaa baada ya kufungaa kitandaa nikaanza kupigishwa story za hapa napale wkt nataka kusepaa akaniambia unaondokaje ujanywa hata soda c ndio akaletaa coca na wine bhanaaa tukaanza kunywa hapo ilikuwaa mida ya saa nne asubuh cku ya jpili huku tunapiga story ,maraa akasemaa ngojaa aandaee breakfast bhanaa bhanaa breakfast ikajaa tukaendeleaa na winee nikamtaniaa ,

Wine aipandi bhanaa nifanyie mpng wa safari mbili kubwaa nikampaa ten afate dukani akakataa akasemaa nisijali ataninuliaaa bhanaa akafata safar akaja nazo ,yy nikamwachia wine [emoji485] mm nikaanza kunywa safari mdg mdg tu ,baada safari zikakoleaa na dem wine ishamlegeza macho full kujichekeshaa tu mwishowee nikatakaa kusepaa ndipo dem akaniambia JIONGEZE nikamwambia hapanaaa ww n km sister tu bhanaa ,

Weeee akakimbilia mlango akafungaa na funguo akachomoaaa bhanaa bhanaa akawaa sasaa ananitaka tuduuu wt uku akiongeaaa mambo mengi na jinc anavyonizimiaaa tokaa cku aliponionaaa mtaani kwangu tokaa ameamia akaona mm ndio mwanaume namfaaaa bhanaa ajaongeaa mengi mwishowee ALINIBAKAAA ,,,baada yakubakwaa na yulee dem ckutegemeaa kbs kilichokujaa tokeaa maishan maana nawaambiaaga watu nilibakwa na mwanamkeee hawaamini kbs
Kumchumbia mwanamke anayependa sana dini mpaka kuwa kero.....hata apigiwe simu usiku na mchungaji wake alikuwa tayari kwenda kanisani. Alinipotezea muda sana ila nilimuacha kwa ajili ya upuuzi huu wa kuwa mjinga wa dini bila hata kutumia akili alizopewa na Mungu.
 
Usiku mmoja nikiwa katika harakati za kutafuta elimu nipo mikoa ya watu shuleni kwetu dinning Hall ilikua pia inakodishwa kwa ajili ya shughuli nyingine za kijamii kama harusi na send off.
Hio siku prepo haikuepo kwa kua kulkua na shereh dinning mimi na wanangu wachache wahuni tukapanga tuvamie sherehe Ile ilosifika kua ya watoto wa matajiri wa mji ule.
Nikatoka general wa vita kwenda kutazama ulinzi na usalama na kuandaa plan ya kuzamia..kufika eneo la tukio nkascan haraka nkaona dress code suti nyeus na tai kwa wanaume uzur na shuleni ni maeneo ya baridi tulkua tunavaa suti pia.
Wanaume tukabadilika tukafika eneo la tukio mimi nkatokea kwenye parking kulkua na discovery imepaki nafika getini mlinzi wa getini ni jamaa wa mtaani ambae ananijuaga mm ni dent miyeyusho spend shule (huyu jamaa alkua anauza viatu raba nlkua naenda kuchukua za kwendea club usiku) wenzngu walifanikiwa kupenya mm ikashindikana
Kufika mishale ya saa 4 kwendea 5 akatoka dada mmoja mrembo tu akawa anaongea na simu (nafikiri alipigiwa na mmewe akitakiwa nyumban) nkamfata akanpa kadi akawasha gari yake akaondoka

Nkarudi getini tena yule jamaa anataka kunsukumizia mabaunsa nkatoa kadi akawa ananiangalia kwa kuntaman. Mwanaume nikazama ndani na kukuta wenzngu washapata na wachumba nkachagua angle moja nzuri ya nkatulia muda ukakatika mziki tukacheza na misosi tukala sana

Sasa kuna ule utaratb wa watu kukusanya vinywaji na makulaji na kufunga ili kwenda navyo majumban basi mwshon kabisa mwa shughul nikaona package kubwa ipo inazagaa zagaaa (sjui roho gan ikaniingia inanambia unaacha vinono ivo kesho utakinga ugal maharage nikajikuta nasogelea ule mzgo) katika malez yangu mm kitu sijawezaga ni kuchukua cha mtu basi nikachukua kile kifurushi aisee Ile nageuka nilipigwa mibanzi (yule mzee hatar anapiga mibanz kama sokwe) nkabak nimekua mdgo kusema nmuanzshie vagi yule mzee ningeweza ila ningezua soo kubwa ukizingatia nlizamia so yule mzee alinzaba mikofi kama 6 ivi na wala hakuongea na mm wala sikusema nikageuka kutazama wenzngu naona wanaparty na kina mama nkatoka nje nkaenda kulala uku nikiomba Ile mibanzi kusiwe na mtu ameiona na ndo ikawa ivo

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app

Hahaha[emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom