Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Kisa kipi kilikufanya ujute sana?

Si unajua test vile tunanunua karatasi nikawa nimeandika nyuma haaaaaaah sema walikuwa ni wadogo kwangu afu Ni ma TA nikawapanga hila walicheka kisenge mpaka leo uwaga nikikutana nao wanacheka Sana mwanangu nilipanic sana
Hongera kaka ulikuwa na bahati aiseee ingekuwa UE ndio basi tenaa[emoji23][emoji23]
 
Nilimpenda mdada Fulani hivi advance, lakini kutokana na maisha yangu ya UTAWA[emoji1] nikaona nikomae na yangu nisijue ya Leo sio ya Jana.

Miaka ikaenda, tukamaliza shule bila kumuambia lolote, bila kujua tukaenda college Moja, ilikuwa ni Furaha siku nimeonana nae, hug za kutosha Hadi watu wa pembeni wakawa nashanga, ye alikuwa na mwenzie namie nlikuwa na jamaa angu. Maisha ya college pia sikumwambia lolote but tulikuwa karibu sana kama wapenzi. Room kwake naenda nakaa Hadi night kucheki Korean series etc,

Yule Binti alimaliza mbele yangu, Siku hiyo nipo kwa Mji wa Mkapa nikaona nimtolee uvivu nikamfungukia ukweli wote, Binti akawa anashangaa Kwann sikumuambia mapema had muda ule na alikuwa Hana mtu, akanipea polee lakini akawa tayari na mtu wake. Japo naye alikuwa anahisia namii baada ya ku confess, nikaona sio uungwana kuingilia mahusiano yake na jamaa wake wa sasa, nikaachana nae japo tunaishi kama wapenzi.

Nlichojifunza ukimuelewa mtu usikawie kusema, mwambie akatae mwenyewe na kujifanya unaogopa tongoza kuhofia utapoteza urafiki wenu nimejua ni ujinga.
Mkuu hii story yako imenigusa sana hasa haya maneno yako ''Nlichojifunza ukimuelewa mtu usikawie kusema, mwambie akatae mwenyewe na kujifanya unaogopa tongoza kuhofia utapoteza urafiki wenu nimejua ni ujinga.'' Ni ukweli kabisa, yaani ni swala la kuzingatia sana mimi mpaka leo nina kazi nzuri namshukuru Mungu lakini sina furaha upande wa familia japo nilioa.
Ipo hivi, kulikuwa na binti nampenda sana, tulikuwa tunaishi nae mtaa mmoja,(kutokana na mambo ya shule mimi sikuishi sana nyumbani) ila nikirudi tulikuwa tunaonana japo hatukuwahi kuongea. Basi bwana ile kutokujiamini sababu kuna kitu fulani nilikuwa napitia(ugonjwa) changanya na ugumu wa maisha home basi mzee nikawa sina comfidence ya kumface na kumwambia kama nampenda kutokana na jinsi alivyo japo nilimzidi kiumri lakini nilijiona kabisa sitaweza kumhudumia au angenikataa kutokana nilivyokuwa kipindi hicho(ugonjwa wa ngozi), miaka ikaenda, nikawa vizuri tu na michongo ikatiki hatimaye ukafika muda wa kutaka kuoa.
Nishakua kwenye mahusiano kadhaa lakini ulipofika muda wa kuoa nikakumbuka kuna mwanamke huwa nampenda na kwa sababu nipo vizuri basi sasa ndio muda muafaka wa kuongea nae. (Kitu ninachojuta sikutaka kumtuma mtu nilitaka kwenda kuongea nae face to mimi mwenyewe na bahati mbaya sikuwa na connection kwao). Basi kila nikirudi kitaa kutaka tuongee simpati, mara tunapishana muda nao ukaenda sana, mwisho nikakata tamaa, nikajisemea kwanza mtu mwenyewe kwa jinsi alivyo (mzuri na anatakwa na wengi, pengine malaya tu na mpenda pesa) na sijawahi kuongea nae pengine ashapata bwana na kuolewa au ana mahusiano yake.
Basi me nikaendelea na maisha yangu, muda ukafika nikaoa(japo sikumpenda sana mke wangu kama B, nilifanya kama formality tu) maisha yakaendelea, japo sijawahi kuacha kumfuatilia B, iwe nipo mtaani au sipo. Basi siku moja nikiwa kikazi huko mikoa ya kaskazini, ghafla namuona dada ambaye nahisi namjua, kumsogelea hivi nikaita jina B, kageuka nikajitambulisha pale mpaka akanikumbuka tukabadilishana namba kisha baadaye tukawasiliana na kukubaliana siku ya pili tukutane kwa ajili ya kupiga story zaidi.
Siku imefika mzee, nikamtoa out B wangu(nilikuwa najisemea hivyo toka kitaa sababu niliamini yeye ni wangu), katika kupiga story nikamchana live mimi nilikuwa nakukubali toka kitambo B ila niliogopa kukwambia kutokana na hivi na hivi, .....alicheka sana akajibu uoga wako tu mimi sipo kama ulivyodhani (ni kweli nilikuja kujua baadaye) nikapiga mistari pale mtoto mzuri kaelewa bila shida kabisa japo hakusema lakini indirect nikaona tayari, sikuona ajabu sababu ya ile trust ya kujuana toka kitaa. Kwa huo mji alikuwa anakaa kwa ndugu yake basi ikawa nikimhitaji tunakutana na penzi likashamiri, wakati huo mambo ya kama nimeoa sijamwambia ila nilimwambia kuwa kuna mwanamke nilizaa nae tu hivyo tunalea mtoto, na yeye pia aliniambia kwamba alikuwa na mtoto tayari(moja moja hapo japo roho iliumia hapa kusikia kazalishwa).Kazi ikaisha nikarudi nilikotoka
Baada ya muda kule kaskazini kulitokea nafasi na kwa sababu mimi nilikuwa naenda mara kwa mara boss akapendekeza mimi ndio nihamie kule(Nilifurahi sana kwenda kuungana na B wangu) , basi ikawa kama nimemuoa B wangu, pika na kupakua, kahama kwa ndugu yake kahamia kwangu tunaishi. Maisha yameendelea, mtoto wake alimuacha kule hometown tulipokua tunakaa kwa wazee wake. Sababu nampenda niliishi na B wangu vizuri sana mpaka akawa ananilaumu kwa nini sikumwambia/sikumtongoza mapema kipindi kile maana kapitia mengi sana.Nikamwambia B wangu, mipango ya Mungu huwezi jua maana yeye ndio mpangaji wa kila kitu.
SIRI YA KUOA INAFICHUKA
Njia ya muongo fupi, siku ya siku ikawadia na katika makosa nilyofanya ni kumruhusu B kuwa anapekua simu yangu nikiwepo (nilitaka asiwe na wasiwasi na mimi japo nilipanga kuja kumuelezea ukweli baadaye kidogo). Kuna namna nillisave namba ya wife ili asishtuke lakini kumbe alishaanza kuchunguza kuhusu ile namba maana aliona mawasiliano ni mara kwa mara, haipiti siku lazima tuongee. Basi kumbe ile simu yangu huwa nikifuta meseji za kawaida zinakaa recycle bin kwanza mpaka uki clear ndio zinaondoka. Kumbe kupekua pekua kwake kaenda mpaka recycle bin na kaona kila kitu. Nakumbuka siku hiyo nimetoka kuoga nakuta mtu analia kwa uchungu namuuliza nini, anasema kwa nini hukuniambia kama umeoa? Kwa nini mimi maisha yangu ya mapenzi ni mikosi tu, kwa nini.... alilia kwa uchungu sana B wangu mpaka na mimi nikalia, tulilia sana siku hiyo kwa uchungu.
Tulibembelezana, maumivu yakapungua kidogo lakini tukaapa kutoachana kwa namna yoyote ile. To be honest sikuwa nampenda mke wangu kama ninavyompenda B (Mungu anajua na anisamehe). Na hilo swala la kutompenda hata yeye huwa ananiambia toka mwanzo. Imebidi niishi na wanawake wawili bila kupenda japo sikuwahi kuwaza au kupanga hivyo. Mke mmoja na mchepuko mmoja wa kudumu, B wangu. Nilijitahidi kuachana na B lakini ilishindikana, na yeye ndio huwa anasema tuachane tu kila mtu aendelee na maisha yake lakini nimeshindwa (hajaniroga ni mapenzi yangu tu kwake) kuona anaishi na mwanaume mwingine.
Kinachonisumbua sijui wanaooa wanawake wengi wanaweza vipi, mimi nimeshindwa kubalance upendo. Nimeelemea kwa B zaidi kuliko mke wangu(shame on me). Mke wangu kanizalia watoto wawili wazuri lakini nawapenda wanangu sio yeye, roho huwa inanisuta sana, yaani Binti wa watu anajitahidi kutimiza majukumu kama mke lakini wapi. Mahitaji namtimizia pamoja na watoto hakuna malalamiko, malalamiko yapo kwenye upendo tu. Mbaya zaidi ilibidi nimueleze tu kwamba naishi na mwanamke mwingine huku nilipo maana sikuhamia na familia, alilia sana na huwa anaumia sana.
Sistahili kuwa na huyu dada kwa ninayomfanyia kiukweli, angekuwa mwingine angeshaniacha lakini yupo na mimi tu, saa zingine mpaka huwa nahisi atakuja kuniua maana uvumilivu huu sio wa kawaida. Huwa nawaza labda tuachane halafu nimuachie kila kitu na watoto mimi nianze maisha upya ili asisononeke sana? Nimejilazimsha kumpenda nimeshindwa mimi ninampenda B kuliko yeye (Mungu anajua)
B, yeye huwa simlaumu maana alishanipa option kwamba tuachane lakini kwa ajili ya amani yangu ya moyo nilimwambia siwezi kuishi bila yeye, na ukweli kabisa maana alivyonipa background yake tu maumivu niliyoyapata mpaka nilitafuta watu wa kunishauri hao wakubwa wa mitandaoni, na nimeshindwa kuachana nae. Hilo swala tu la kusikia yupo na mwanaume mwingine au aliwahi kuwa na mwanaume mwingine huwa linaniumiza sana yaani kumuacha aende naumia(sipo tayari kumuona na mwanaume mwingine) na akibaki pia sometimes huwa naumia(ananikumbusha mambo ya nyuma, jinsi nilivyoshinwa kujiamini na kumtongoza). Mbaya zaidi yeye pia huwa ananiambia anajihisi kupata dhambi kuishi na mume wa mtu, na anahisi anashindwa kushea mapenzi, huwa nambembeleza anatulia lakini huwa anajikaza tu najua.
Huwa nipo njia panda kwa kweli, nina kazi nzuri lakini likija swala la familia huwa napata shida, yaani kuna muda mpaka nashindwa kufanya kazi vizuri.
NB Kuna vitu wewe unaweza kuhisi ni vidogo lakini mwenzako vikamtesa

MAJUTO KUHUSU B WANGU

Nachoweza kusisitiza hapa, mwanamke ukimpenda saa zingine bora usimuulize background yake, hicho ndio kinachonifanya niumie mpaka nitaingia kaburini.
Basi katika kuulizana ulizana akanitajia mwanaume wake wa kwanza (namjua), na anasema hakumpenda sana ila ni ushawishi tu wa ndugu zake jamaa aliutumia na ndio maana hata hawakudumu nae, akaja jamaa mwingine alikuja kuwa msanii na ndiye alimzalisha mtoto. Mwingine ni boda boda (alitake advantage baada ya B kuzalishwa na msanii na hakuwa anamjali)..........

MAUMIVU YANGU
Kinachoniuma mpaka leo, B nilikuwa namchukulia labda ni malaya sababu ya uzuri wake na kutakwa na wengi lakini aliweza kujitunza (kutunza usichana wake) mpaka miaka hiyo mimi namuona mkubwa, means ningempata ningekuwa ndio mwanaume wake wa kwanza. Hapa maumivu ambayo huwa nayapata hayaelezeki, huwa natamani siku zirudi nyuma mpaka ule mwaka tu kisha nimtongoze (Na huo mwaka huwa sipendi kuusikia, yaani kama kuna tukio lilifanyika huo mwaka au kuna kitu cha kukumbuka huo mwaka huwa sitaki kukumbuka wala kusikia).
Yaani boda boda(inauma japo ni binadamu mwenzangu, mnisamehe) alinizidi ujasiri mimi wa kuongea na mwanamke ninayempenda mpaka akatembea nae(yaani mara nyingine nikionaga boda boda huwa wananikumbusha jamaa aliyetembea na B wangu, imagine kuna bodaboda wangapi)
Nashindwa kumruhusu B aendelee na maisha yake sababu nampenda lakini pia kubaki kwake mara nyingine ananikumbusha nyuma hivyo naumia pia.
Siwezi kabisa kusikiliza nyimbo za huyo msanii, hata iwe nzuri vipi sababu tu alizaa na B wangu, kuna memory huwa zinanijia mbaya sababu namjua kitambo.
Nimejikuta siwezi kabisa kurudi mtaani kwetu tena au hometown sababu nahisi kuna vitu nitavikumbuka vitaniumiza
Ubaya kila ninachopitia ni uzembe wangu mwenyewe, sina wa kumlaumu, nilishaongea na watu mbali mbali lakini nimeshindwa kupona maumivu ya B wangu, mara nyingine nahisi bora nisingemuona au kuishi nae mtaa mmoja.
JUTO KUU ni kwa nini sikumtongoza mapema B wangu, pengine ningeepusha mengi.
 
Mkuu hii story yako imenigusa sana hasa haya maneno yako ''Nlichojifunza ukimuelewa mtu usikawie kusema, mwambie akatae mwenyewe na kujifanya unaogopa tongoza kuhofia utapoteza urafiki wenu nimejua ni ujinga.'' Ni ukweli kabisa, yaani ni swala la kuzingatia sana mimi mpaka leo nina kazi nzuri namshukuru Mungu lakini sina furaha upande wa familia japo nilioa.
Ipo hivi, kulikuwa na binti nampenda sana, tulikuwa tunaishi nae mtaa mmoja,(kutokana na mambo ya shule mimi sikuishi sana nyumbani) ila nikirudi tulikuwa tunaonana japo hatukuwahi kuongea. Basi bwana ile kutokujiamini sababu kuna kitu fulani nilikuwa napitia(ugonjwa) changanya na ugumu wa maisha home basi mzee nikawa sina comfidence ya kumface na kumwambia kama nampenda kutokana na jinsi alivyo japo nilimzidi kiumri lakini nilijiona kabisa sitaweza kumhudumia au angenikataa kutokana nilivyokuwa kipindi hicho(ugonjwa wa ngozi), miaka ikaenda, nikawa vizuri tu na michongo ikatiki hatimaye ukafika muda wa kutaka kuoa.
Nishakua kwenye mahusiano kadhaa lakini ulipofika muda wa kuoa nikakumbuka kuna mwanamke huwa nampenda na kwa sababu nipo vizuri basi sasa ndio muda muafaka wa kuongea nae. (Kitu ninachojuta sikutaka kumtuma mtu nilitaka kwenda kuongea nae face to mimi mwenyewe na bahati mbaya sikuwa na connection kwao). Basi kila nikirudi kitaa kutaka tuongee simpati, mara tunapishana muda nao ukaenda sana, mwisho nikakata tamaa, nikajisemea kwanza mtu mwenyewe kwa jinsi alivyo (mzuri na anatakwa na wengi, pengine malaya tu na mpenda pesa) na sijawahi kuongea nae pengine ashapata bwana na kuolewa au ana mahusiano yake.
Basi me nikaendelea na maisha yangu, muda ukafika nikaoa(japo sikumpenda sana mke wangu kama B, nilifanya kama formality tu) maisha yakaendelea, japo sijawahi kuacha kumfuatilia B, iwe nipo mtaani au sipo. Basi siku moja nikiwa kikazi huko mikoa ya kaskazini, ghafla namuona dada ambaye nahisi namjua, kumsogelea hivi nikaita jina B, kageuka nikajitambulisha pale mpaka akanikumbuka tukabadilishana namba kisha baadaye tukawasiliana na kukubaliana siku ya pili tukutane kwa ajili ya kupiga story zaidi.
Siku imefika mzee, nikamtoa out B wangu(nilikuwa najisemea hivyo toka kitaa sababu niliamini yeye ni wangu), katika kupiga story nikamchana live mimi nilikuwa nakukubali toka kitambo B ila niliogopa kukwambia kutokana na hivi na hivi, .....alicheka sana akajibu uoga wako tu mimi sipo kama ulivyodhani (ni kweli nilikuja kujua baadaye) nikapiga mistari pale mtoto mzuri kaelewa bila shida kabisa japo hakusema lakini indirect nikaona tayari, sikuona ajabu sababu ya ile trust ya kujuana toka kitaa. Kwa huo mji alikuwa anakaa kwa ndugu yake basi ikawa nikimhitaji tunakutana na penzi likashamiri, wakati huo mambo ya kama nimeoa sijamwambia ila nilimwambia kuwa kuna mwanamke nilizaa nae tu hivyo tunalea mtoto, na yeye pia aliniambia kwamba alikuwa na mtoto tayari(moja moja hapo japo roho iliumia hapa kusikia kazalishwa).Kazi ikaisha nikarudi nilikotoka
Baada ya muda kule kaskazini kulitokea nafasi na kwa sababu mimi nilikuwa naenda mara kwa mara boss akapendekeza mimi ndio nihamie kule(Nilifurahi sana kwenda kuungana na B wangu) , basi ikawa kama nimemuoa B wangu, pika na kupakua, kahama kwa ndugu yake kahamia kwangu tunaishi. Maisha yameendelea, mtoto wake alimuacha kule hometown tulipokua tunakaa kwa wazee wake. Sababu nampenda niliishi na B wangu vizuri sana mpaka akawa ananilaumu kwa nini sikumwambia/sikumtongoza mapema kipindi kile maana kapitia mengi sana.Nikamwambia B wangu, mipango ya Mungu huwezi jua maana yeye ndio mpangaji wa kila kitu.
SIRI YA KUOA INAFICHUKA
Njia ya muongo fupi, siku ya siku ikawadia na katika makosa nilyofanya ni kumruhusu B kuwa anapekua simu yangu nikiwepo (nilitaka asiwe na wasiwasi na mimi japo nilipanga kuja kumuelezea ukweli baadaye kidogo). Kuna namna nillisave namba ya wife ili asishtuke lakini kumbe alishaanza kuchunguza kuhusu ile namba maana aliona mawasiliano ni mara kwa mara, haipiti siku lazima tuongee. Basi kumbe ile simu yangu huwa nikifuta meseji za kawaida zinakaa recycle bin kwanza mpaka uki clear ndio zinaondoka. Kumbe kupekua pekua kwake kaenda mpaka recycle bin na kaona kila kitu. Nakumbuka siku hiyo nimetoka kuoga nakuta mtu analia kwa uchungu namuuliza nini, anasema kwa nini hukuniambia kama umeoa? Kwa nini mimi maisha yangu ya mapenzi ni mikosi tu, kwa nini.... alilia kwa uchungu sana B wangu mpaka na mimi nikalia, tulilia sana siku hiyo kwa uchungu.
Tulibembelezana, maumivu yakapungua kidogo lakini tukaapa kutoachana kwa namna yoyote ile. To be honest sikuwa nampenda mke wangu kama ninavyompenda B (Mungu anajua na anisamehe). Na hilo swala la kutompenda hata yeye huwa ananiambia toka mwanzo. Imebidi niishi na wanawake wawili bila kupenda japo sikuwahi kuwaza au kupanga hivyo. Mke mmoja na mchepuko mmoja wa kudumu, B wangu. Nilijitahidi kuachana na B lakini ilishindikana, na yeye ndio huwa anasema tuachane tu kila mtu aendelee na maisha yake lakini nimeshindwa (hajaniroga ni mapenzi yangu tu kwake) kuona anaishi na mwanaume mwingine.
Kinachonisumbua sijui wanaooa wanawake wengi wanaweza vipi, mimi nimeshindwa kubalance upendo. Nimeelemea kwa B zaidi kuliko mke wangu(shame on me). Mke wangu kanizalia watoto wawili wazuri lakini nawapenda wanangu sio yeye, roho huwa inanisuta sana, yaani Binti wa watu anajitahidi kutimiza majukumu kama mke lakini wapi. Mahitaji namtimizia pamoja na watoto hakuna malalamiko, malalamiko yapo kwenye upendo tu. Mbaya zaidi ilibidi nimueleze tu kwamba naishi na mwanamke mwingine huku nilipo maana sikuhamia na familia, alilia sana na huwa anaumia sana.
Sistahili kuwa na huyu dada kwa ninayomfanyia kiukweli, angekuwa mwingine angeshaniacha lakini yupo na mimi tu, saa zingine mpaka huwa nahisi atakuja kuniua maana uvumilivu huu sio wa kawaida. Huwa nawaza labda tuachane halafu nimuachie kila kitu na watoto mimi nianze maisha upya ili asisononeke sana? Nimejilazimsha kumpenda nimeshindwa mimi ninampenda B kuliko yeye (Mungu anajua)
B, yeye huwa simlaumu maana alishanipa option kwamba tuachane lakini kwa ajili ya amani yangu ya moyo nilimwambia siwezi kuishi bila yeye, na ukweli kabisa maana alivyonipa background yake tu maumivu niliyoyapata mpaka nilitafuta watu wa kunishauri hao wakubwa wa mitandaoni, na nimeshindwa kuachana nae. Hilo swala tu la kusikia yupo na mwanaume mwingine au aliwahi kuwa na mwanaume mwingine huwa linaniumiza sana yaani kumuacha aende naumia(sipo tayari kumuona na mwanaume mwingine) na akibaki pia sometimes huwa naumia(ananikumbusha mambo ya nyuma, jinsi nilivyoshinwa kujiamini na kumtongoza). Mbaya zaidi yeye pia huwa ananiambia anajihisi kupata dhambi kuishi na mume wa mtu, na anahisi anashindwa kushea mapenzi, huwa nambembeleza anatulia lakini huwa anajikaza tu najua.
Huwa nipo njia panda kwa kweli, nina kazi nzuri lakini likija swala la familia huwa napata shida, yaani kuna muda mpaka nashindwa kufanya kazi vizuri.
NB Kuna vitu wewe unaweza kuhisi ni vidogo lakini mwenzako vikamtesa

MAJUTO KUHUSU B WANGU

Nachoweza kusisitiza hapa, mwanamke ukimpenda saa zingine bora usimuulize background yake, hicho ndio kinachonifanya niumie mpaka nitaingia kaburini.
Basi katika kuulizana ulizana akanitajia mwanaume wake wa kwanza (namjua), na anasema hakumpenda sana ila ni ushawishi tu wa ndugu zake jamaa aliutumia na ndio maana hata hawakudumu nae, akaja jamaa mwingine alikuja kuwa msanii na ndiye alimzalisha mtoto. Mwingine ni boda boda (alitake advantage baada ya B kuzalishwa na msanii na hakuwa anamjali)..........

MAUMIVU YANGU
Kinachoniuma mpaka leo, B nilikuwa namchukulia labda ni malaya sababu ya uzuri wake na kutakwa na wengi lakini aliweza kujitunza (kutunza usichana wake) mpaka miaka hiyo mimi namuona mkubwa, means ningempata ningekuwa ndio mwanaume wake wa kwanza. Hapa maumivu ambayo huwa nayapata hayaelezeki, huwa natamani siku zirudi nyuma mpaka ule mwaka tu kisha nimtongoze.
Yaani boda boda(inauma japo ni binadamu mwenzangu, mnisamehe) alinizidi ujasiri mimi wa kuongea na mwanamke ninayempenda mpaka akatembea nae(yaani mara nyingine nikionaga boda boda huwa wananikumbusha jamaa aliyetembea na B wangu, imagine kuna bodaboda wangapi)
Nashindwa kumruhusu B aendelee na maisha yake sababu nampenda lakini pia kubaki kwake mara nyingine ananikumbusha nyuma hivyo naumia pia.
Siwezi kabisa kusikiliza nyimbo za huyo msanii, hata iwe nzuri vipi sababu tu alizaa na B wangu, kuna memory huwa zinanijia mbaya sababu namjua kitambo.
Nimejikuta siwezi kabisa kurudi mtaani kwetu tena au hometown sababu nahisi kuna vitu nitavikumbuka vitaniumiza
Ubaya kila ninachopitia ni uzembe wangu mwenyewe, sina wa kumlaumu, nilishaongea na watu mbali mbali lakini nimeshindwa kupona maumivu ya B wangu, mara nyingine nahisi bora nisingemuona au kuishi nae mtaa mmoja.
JUTO KUU ni kwa nini sikumtongoza mapema B wangu, pengine ningeepusha mengi.
Story yako inagusa mno.Pole bro .
 
Tulichapwa bakora siku ya kumaliza necta form six

Siku hiyo sitosahau nilikula mijeledi kama yesu msalabani bila kosa ndo nikaamini sio kila anayeenda jela ana makosa

Ilikua hivi Nakumbuka ilikua Alhamisi ile tunamalizia mtihani wa mwisho msimamizi akatuambia mkimaliza mtihani muende uwanjani msiondoke kwanza tukasema poa, tulikua tunahisi sijui walimu wanakuja kutupongeza basi tukapiga pepa pale mpaka muda tunaambiwa pens down watu wakaanza kuvunja ruler wanatupa peni wengine wanachana mashati wanachana suruali kwa furaha ya kumaliza

Mimi sikupanga kuchana ila kuna jamaa tulikua tunamuita Mjita(mtu wa ukerewe)alikua amekaa nyuma yangu akachukua kiwembe akaanza kuchana shati langu mgongoni
Nilimuacha achane tu kwani halina kazi tena (Najuta kumuacha achane lile shati)

Basi msimamizi akakusanya mitihani na kuondoka zake lile darasa nililokuwepo watu hawakuchana sana uniform nilishangaa nilichokiona baada ya kutoka nje kuna darasa lingine hao walichana nguo sio poa unaweza sema ni machizi wameachiliwa kifungoni kila mtu kachana anavyojua basi(kumbuka mjita alichana shati langu mgongoni)

Basi tukakusanyika uwanjani kama tulivyoambiwa tunashangaa tunaambiwa tukae chini na wale mapolisi waliokuwa wanasimamia mitihani tukawa tunajiuliza nini kina endelea

Kumbe Jana yake kuna baadhi yaform six walichana magodoro na mashuka ya form five na hiyo taarifa ikamfikia mkuu wa shule ndo akawaambia wale form five waandike majina ya watu wanaowahisi kufanya hicho kitendo na majina yalipelekwa kwa mwalimu mkuu ndo akawaambia polisi hawa vijana wakimaliza mtihani kuna haya majina shughulika nayo hiyo ndo ilikua sababu ya kuitwa pale uwanjani

Basi Yale majina yakaitwa wakasimamishwa pembeni alafu yule afande akasema mbona naona watu wamechana uniform..dah akasema wote waliochana uniform na nyie simameni jiungeni na hawa waliochana mashuka maskinii mjita aliniponza na Mimi nikajumuishwa Kwenye msala.tulikua kama 25 hivi tukaambiwa pangeni mstari mmoja kuelekea ofisini.wale ambao hawakuchana uniform zao waliruhusiwa waondoke sisi tukabaki
Polisi akaanza kusema nyie ndo wahuni eeh basi tutaonyeshana uhuni niliogopa sana

Tukapelekwa mpaka assembly ground tukaanza kupigishwa kwata na wale mapolisi dah Mara headmaster akaja akasema Leo nawachapa nawaaga kwa kuwachapa dah niliona kama ndoto hivi nachapwa siku ya kumaliza Necta Moyoni mwangu naendelea kumlaumu mjita kwa kuniponza,tulijitetea kwamba sisi hatuhusiki na kuchana mashuka sisi tumechana nguo zetu tu majina yao si yapo hapo sisi hatuhusiki ila wale polisi hawakutaka kuelewa wakaona ni wale wale tu wachanaji magodoro na wachanaji uniform

Basi headmaster akaagiza mzigo wa fimbo ukaletwa akaanza kutupelekea moto afu anachapa fimbo za mgongoni na kiunoni lazima akuachie alama kama sio Kukutoa damu.dah tulipelekewa moto sana kwa bahati nzuri na mjita nae alichana nguo Kwahyo tulikua wote tunasulubiwa (ningeumia sana kama mjita asingekuwepo) basi nikiona mjita anakula mijeledi na Mimi nafarijika

Kumbuka hapo tushamaliza mtihani wa necta wale wasimamizi ndo wa nasubiri lile gari linalozunguka kusambaza na kufuata mitihani mashuleni lije kuwafuata kwahyo hapo pona yetu ni mpaka lile gari lifike dah basi headmaster akaendelea kutupiga mijeledi na walimu wengine wakaunga tela tulichakazwa haswaa alama kibao mgongoni na kiunoni mpaka lile gari linafika tulikua tupo juu ya Mawe(lawama zote ziende kwa mjita)

Tulikubali kusulubiwa japokua tulikua tumemaliza necta tungeweza kugoma kuchwapwa lakini hatukuwa na jeuri hiyo kwa sababu polisi walikuwepo dah Kwahyo ukigoma tu polisi wanakuchezeshea mikwaju na unaenda kulala kituoni dah ikabidi tuache tu headmaster atupelekee moto chini ya uangalizi wa polisi,baada ya kipindi cha muda mrefu hatimae gari la kukusanya mitihani likafika ndo wale polisi wakaondoka na headmaster akatuacha ila hakutucha hivi hivi aliandika majina yetu ili siku ya kuja kuchukua result slip tulipe magodoro dah ilikua siku ya kihistoria Magodoro sikuchana,nguo sikuchana kwa mikono yangu,na mijeledi nimesulubiwa

Mjita popote ulipo mataccor yakooo!
[emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu hii story yako imenigusa sana hasa haya maneno yako ''Nlichojifunza ukimuelewa mtu usikawie kusema, mwambie akatae mwenyewe na kujifanya unaogopa tongoza kuhofia utapoteza urafiki wenu nimejua ni ujinga.'' Ni ukweli kabisa, yaani ni swala la kuzingatia sana mimi mpaka leo nina kazi nzuri namshukuru Mungu lakini sina furaha upande wa familia japo nilioa.
Ipo hivi, kulikuwa na binti nampenda sana, tulikuwa tunaishi nae mtaa mmoja,(kutokana na mambo ya shule mimi sikuishi sana nyumbani) ila nikirudi tulikuwa tunaonana japo hatukuwahi kuongea. Basi bwana ile kutokujiamini sababu kuna kitu fulani nilikuwa napitia(ugonjwa) changanya na ugumu wa maisha home basi mzee nikawa sina comfidence ya kumface na kumwambia kama nampenda kutokana na jinsi alivyo japo nilimzidi kiumri lakini nilijiona kabisa sitaweza kumhudumia au angenikataa kutokana nilivyokuwa kipindi hicho(ugonjwa wa ngozi), miaka ikaenda, nikawa vizuri tu na michongo ikatiki hatimaye ukafika muda wa kutaka kuoa.
Nishakua kwenye mahusiano kadhaa lakini ulipofika muda wa kuoa nikakumbuka kuna mwanamke huwa nampenda na kwa sababu nipo vizuri basi sasa ndio muda muafaka wa kuongea nae. (Kitu ninachojuta sikutaka kumtuma mtu nilitaka kwenda kuongea nae face to mimi mwenyewe na bahati mbaya sikuwa na connection kwao). Basi kila nikirudi kitaa kutaka tuongee simpati, mara tunapishana muda nao ukaenda sana, mwisho nikakata tamaa, nikajisemea kwanza mtu mwenyewe kwa jinsi alivyo (mzuri na anatakwa na wengi, pengine malaya tu na mpenda pesa) na sijawahi kuongea nae pengine ashapata bwana na kuolewa au ana mahusiano yake.
Basi me nikaendelea na maisha yangu, muda ukafika nikaoa(japo sikumpenda sana mke wangu kama B, nilifanya kama formality tu) maisha yakaendelea, japo sijawahi kuacha kumfuatilia B, iwe nipo mtaani au sipo. Basi siku moja nikiwa kikazi huko mikoa ya kaskazini, ghafla namuona dada ambaye nahisi namjua, kumsogelea hivi nikaita jina B, kageuka nikajitambulisha pale mpaka akanikumbuka tukabadilishana namba kisha baadaye tukawasiliana na kukubaliana siku ya pili tukutane kwa ajili ya kupiga story zaidi.
Siku imefika mzee, nikamtoa out B wangu(nilikuwa najisemea hivyo toka kitaa sababu niliamini yeye ni wangu), katika kupiga story nikamchana live mimi nilikuwa nakukubali toka kitambo B ila niliogopa kukwambia kutokana na hivi na hivi, .....alicheka sana akajibu uoga wako tu mimi sipo kama ulivyodhani (ni kweli nilikuja kujua baadaye) nikapiga mistari pale mtoto mzuri kaelewa bila shida kabisa japo hakusema lakini indirect nikaona tayari, sikuona ajabu sababu ya ile trust ya kujuana toka kitaa. Kwa huo mji alikuwa anakaa kwa ndugu yake basi ikawa nikimhitaji tunakutana na penzi likashamiri, wakati huo mambo ya kama nimeoa sijamwambia ila nilimwambia kuwa kuna mwanamke nilizaa nae tu hivyo tunalea mtoto, na yeye pia aliniambia kwamba alikuwa na mtoto tayari(moja moja hapo japo roho iliumia hapa kusikia kazalishwa).Kazi ikaisha nikarudi nilikotoka
Baada ya muda kule kaskazini kulitokea nafasi na kwa sababu mimi nilikuwa naenda mara kwa mara boss akapendekeza mimi ndio nihamie kule(Nilifurahi sana kwenda kuungana na B wangu) , basi ikawa kama nimemuoa B wangu, pika na kupakua, kahama kwa ndugu yake kahamia kwangu tunaishi. Maisha yameendelea, mtoto wake alimuacha kule hometown tulipokua tunakaa kwa wazee wake. Sababu nampenda niliishi na B wangu vizuri sana mpaka akawa ananilaumu kwa nini sikumwambia/sikumtongoza mapema kipindi kile maana kapitia mengi sana.Nikamwambia B wangu, mipango ya Mungu huwezi jua maana yeye ndio mpangaji wa kila kitu.
SIRI YA KUOA INAFICHUKA
Njia ya muongo fupi, siku ya siku ikawadia na katika makosa nilyofanya ni kumruhusu B kuwa anapekua simu yangu nikiwepo (nilitaka asiwe na wasiwasi na mimi japo nilipanga kuja kumuelezea ukweli baadaye kidogo). Kuna namna nillisave namba ya wife ili asishtuke lakini kumbe alishaanza kuchunguza kuhusu ile namba maana aliona mawasiliano ni mara kwa mara, haipiti siku lazima tuongee. Basi kumbe ile simu yangu huwa nikifuta meseji za kawaida zinakaa recycle bin kwanza mpaka uki clear ndio zinaondoka. Kumbe kupekua pekua kwake kaenda mpaka recycle bin na kaona kila kitu. Nakumbuka siku hiyo nimetoka kuoga nakuta mtu analia kwa uchungu namuuliza nini, anasema kwa nini hukuniambia kama umeoa? Kwa nini mimi maisha yangu ya mapenzi ni mikosi tu, kwa nini.... alilia kwa uchungu sana B wangu mpaka na mimi nikalia, tulilia sana siku hiyo kwa uchungu.
Tulibembelezana, maumivu yakapungua kidogo lakini tukaapa kutoachana kwa namna yoyote ile. To be honest sikuwa nampenda mke wangu kama ninavyompenda B (Mungu anajua na anisamehe). Na hilo swala la kutompenda hata yeye huwa ananiambia toka mwanzo. Imebidi niishi na wanawake wawili bila kupenda japo sikuwahi kuwaza au kupanga hivyo. Mke mmoja na mchepuko mmoja wa kudumu, B wangu. Nilijitahidi kuachana na B lakini ilishindikana, na yeye ndio huwa anasema tuachane tu kila mtu aendelee na maisha yake lakini nimeshindwa (hajaniroga ni mapenzi yangu tu kwake) kuona anaishi na mwanaume mwingine.
Kinachonisumbua sijui wanaooa wanawake wengi wanaweza vipi, mimi nimeshindwa kubalance upendo. Nimeelemea kwa B zaidi kuliko mke wangu(shame on me). Mke wangu kanizalia watoto wawili wazuri lakini nawapenda wanangu sio yeye, roho huwa inanisuta sana, yaani Binti wa watu anajitahidi kutimiza majukumu kama mke lakini wapi. Mahitaji namtimizia pamoja na watoto hakuna malalamiko, malalamiko yapo kwenye upendo tu. Mbaya zaidi ilibidi nimueleze tu kwamba naishi na mwanamke mwingine huku nilipo maana sikuhamia na familia, alilia sana na huwa anaumia sana.
Sistahili kuwa na huyu dada kwa ninayomfanyia kiukweli, angekuwa mwingine angeshaniacha lakini yupo na mimi tu, saa zingine mpaka huwa nahisi atakuja kuniua maana uvumilivu huu sio wa kawaida. Huwa nawaza labda tuachane halafu nimuachie kila kitu na watoto mimi nianze maisha upya ili asisononeke sana? Nimejilazimsha kumpenda nimeshindwa mimi ninampenda B kuliko yeye (Mungu anajua)
B, yeye huwa simlaumu maana alishanipa option kwamba tuachane lakini kwa ajili ya amani yangu ya moyo nilimwambia siwezi kuishi bila yeye, na ukweli kabisa maana alivyonipa background yake tu maumivu niliyoyapata mpaka nilitafuta watu wa kunishauri hao wakubwa wa mitandaoni, na nimeshindwa kuachana nae. Hilo swala tu la kusikia yupo na mwanaume mwingine au aliwahi kuwa na mwanaume mwingine huwa linaniumiza sana yaani kumuacha aende naumia(sipo tayari kumuona na mwanaume mwingine) na akibaki pia sometimes huwa naumia(ananikumbusha mambo ya nyuma, jinsi nilivyoshinwa kujiamini na kumtongoza). Mbaya zaidi yeye pia huwa ananiambia anajihisi kupata dhambi kuishi na mume wa mtu, na anahisi anashindwa kushea mapenzi, huwa nambembeleza anatulia lakini huwa anajikaza tu najua.
Huwa nipo njia panda kwa kweli, nina kazi nzuri lakini likija swala la familia huwa napata shida, yaani kuna muda mpaka nashindwa kufanya kazi vizuri.
NB Kuna vitu wewe unaweza kuhisi ni vidogo lakini mwenzako vikamtesa

MAJUTO KUHUSU B WANGU

Nachoweza kusisitiza hapa, mwanamke ukimpenda saa zingine bora usimuulize background yake, hicho ndio kinachonifanya niumie mpaka nitaingia kaburini.
Basi katika kuulizana ulizana akanitajia mwanaume wake wa kwanza (namjua), na anasema hakumpenda sana ila ni ushawishi tu wa ndugu zake jamaa aliutumia na ndio maana hata hawakudumu nae, akaja jamaa mwingine alikuja kuwa msanii na ndiye alimzalisha mtoto. Mwingine ni boda boda (alitake advantage baada ya B kuzalishwa na msanii na hakuwa anamjali)..........

MAUMIVU YANGU
Kinachoniuma mpaka leo, B nilikuwa namchukulia labda ni malaya sababu ya uzuri wake na kutakwa na wengi lakini aliweza kujitunza (kutunza usichana wake) mpaka miaka hiyo mimi namuona mkubwa, means ningempata ningekuwa ndio mwanaume wake wa kwanza. Hapa maumivu ambayo huwa nayapata hayaelezeki, huwa natamani siku zirudi nyuma mpaka ule mwaka tu kisha nimtongoze.
Yaani boda boda(inauma japo ni binadamu mwenzangu, mnisamehe) alinizidi ujasiri mimi wa kuongea na mwanamke ninayempenda mpaka akatembea nae(yaani mara nyingine nikionaga boda boda huwa wananikumbusha jamaa aliyetembea na B wangu, imagine kuna bodaboda wangapi)
Nashindwa kumruhusu B aendelee na maisha yake sababu nampenda lakini pia kubaki kwake mara nyingine ananikumbusha nyuma hivyo naumia pia.
Siwezi kabisa kusikiliza nyimbo za huyo msanii, hata iwe nzuri vipi sababu tu alizaa na B wangu, kuna memory huwa zinanijia mbaya sababu namjua kitambo.
Nimejikuta siwezi kabisa kurudi mtaani kwetu tena au hometown sababu nahisi kuna vitu nitavikumbuka vitaniumiza
Ubaya kila ninachopitia ni uzembe wangu mwenyewe, sina wa kumlaumu, nilishaongea na watu mbali mbali lakini nimeshindwa kupona maumivu ya B wangu, mara nyingine nahisi bora nisingemuona au kuishi nae mtaa mmoja.
JUTO KUU ni kwa nini sikumtongoza mapema B wangu, pengine ningeepusha mengi.
We jamaa!! Acha ujinga, rudi kwa mke wako na watoto. Hakuna mtu hapo karibu umwambie akupige kibao?
 
Mkuu hii story yako imenigusa sana hasa haya maneno yako ''Nlichojifunza ukimuelewa mtu usikawie kusema, mwambie akatae mwenyewe na kujifanya unaogopa tongoza kuhofia utapoteza urafiki wenu nimejua ni ujinga.'' Ni ukweli kabisa, yaani ni swala la kuzingatia sana mimi mpaka leo nina kazi nzuri namshukuru Mungu lakini sina furaha upande wa familia japo nilioa.
Ipo hivi, kulikuwa na binti nampenda sana, tulikuwa tunaishi nae mtaa mmoja,(kutokana na mambo ya shule mimi sikuishi sana nyumbani) ila nikirudi tulikuwa tunaonana japo hatukuwahi kuongea. Basi bwana ile kutokujiamini sababu kuna kitu fulani nilikuwa napitia(ugonjwa) changanya na ugumu wa maisha home basi mzee nikawa sina comfidence ya kumface na kumwambia kama nampenda kutokana na jinsi alivyo japo nilimzidi kiumri lakini nilijiona kabisa sitaweza kumhudumia au angenikataa kutokana nilivyokuwa kipindi hicho(ugonjwa wa ngozi), miaka ikaenda, nikawa vizuri tu na michongo ikatiki hatimaye ukafika muda wa kutaka kuoa.
Nishakua kwenye mahusiano kadhaa lakini ulipofika muda wa kuoa nikakumbuka kuna mwanamke huwa nampenda na kwa sababu nipo vizuri basi sasa ndio muda muafaka wa kuongea nae. (Kitu ninachojuta sikutaka kumtuma mtu nilitaka kwenda kuongea nae face to mimi mwenyewe na bahati mbaya sikuwa na connection kwao). Basi kila nikirudi kitaa kutaka tuongee simpati, mara tunapishana muda nao ukaenda sana, mwisho nikakata tamaa, nikajisemea kwanza mtu mwenyewe kwa jinsi alivyo (mzuri na anatakwa na wengi, pengine malaya tu na mpenda pesa) na sijawahi kuongea nae pengine ashapata bwana na kuolewa au ana mahusiano yake.
Basi me nikaendelea na maisha yangu, muda ukafika nikaoa(japo sikumpenda sana mke wangu kama B, nilifanya kama formality tu) maisha yakaendelea, japo sijawahi kuacha kumfuatilia B, iwe nipo mtaani au sipo. Basi siku moja nikiwa kikazi huko mikoa ya kaskazini, ghafla namuona dada ambaye nahisi namjua, kumsogelea hivi nikaita jina B, kageuka nikajitambulisha pale mpaka akanikumbuka tukabadilishana namba kisha baadaye tukawasiliana na kukubaliana siku ya pili tukutane kwa ajili ya kupiga story zaidi.
Siku imefika mzee, nikamtoa out B wangu(nilikuwa najisemea hivyo toka kitaa sababu niliamini yeye ni wangu), katika kupiga story nikamchana live mimi nilikuwa nakukubali toka kitambo B ila niliogopa kukwambia kutokana na hivi na hivi, .....alicheka sana akajibu uoga wako tu mimi sipo kama ulivyodhani (ni kweli nilikuja kujua baadaye) nikapiga mistari pale mtoto mzuri kaelewa bila shida kabisa japo hakusema lakini indirect nikaona tayari, sikuona ajabu sababu ya ile trust ya kujuana toka kitaa. Kwa huo mji alikuwa anakaa kwa ndugu yake basi ikawa nikimhitaji tunakutana na penzi likashamiri, wakati huo mambo ya kama nimeoa sijamwambia ila nilimwambia kuwa kuna mwanamke nilizaa nae tu hivyo tunalea mtoto, na yeye pia aliniambia kwamba alikuwa na mtoto tayari(moja moja hapo japo roho iliumia hapa kusikia kazalishwa).Kazi ikaisha nikarudi nilikotoka
Baada ya muda kule kaskazini kulitokea nafasi na kwa sababu mimi nilikuwa naenda mara kwa mara boss akapendekeza mimi ndio nihamie kule(Nilifurahi sana kwenda kuungana na B wangu) , basi ikawa kama nimemuoa B wangu, pika na kupakua, kahama kwa ndugu yake kahamia kwangu tunaishi. Maisha yameendelea, mtoto wake alimuacha kule hometown tulipokua tunakaa kwa wazee wake. Sababu nampenda niliishi na B wangu vizuri sana mpaka akawa ananilaumu kwa nini sikumwambia/sikumtongoza mapema kipindi kile maana kapitia mengi sana.Nikamwambia B wangu, mipango ya Mungu huwezi jua maana yeye ndio mpangaji wa kila kitu.
SIRI YA KUOA INAFICHUKA
Njia ya muongo fupi, siku ya siku ikawadia na katika makosa nilyofanya ni kumruhusu B kuwa anapekua simu yangu nikiwepo (nilitaka asiwe na wasiwasi na mimi japo nilipanga kuja kumuelezea ukweli baadaye kidogo). Kuna namna nillisave namba ya wife ili asishtuke lakini kumbe alishaanza kuchunguza kuhusu ile namba maana aliona mawasiliano ni mara kwa mara, haipiti siku lazima tuongee. Basi kumbe ile simu yangu huwa nikifuta meseji za kawaida zinakaa recycle bin kwanza mpaka uki clear ndio zinaondoka. Kumbe kupekua pekua kwake kaenda mpaka recycle bin na kaona kila kitu. Nakumbuka siku hiyo nimetoka kuoga nakuta mtu analia kwa uchungu namuuliza nini, anasema kwa nini hukuniambia kama umeoa? Kwa nini mimi maisha yangu ya mapenzi ni mikosi tu, kwa nini.... alilia kwa uchungu sana B wangu mpaka na mimi nikalia, tulilia sana siku hiyo kwa uchungu.
Tulibembelezana, maumivu yakapungua kidogo lakini tukaapa kutoachana kwa namna yoyote ile. To be honest sikuwa nampenda mke wangu kama ninavyompenda B (Mungu anajua na anisamehe). Na hilo swala la kutompenda hata yeye huwa ananiambia toka mwanzo. Imebidi niishi na wanawake wawili bila kupenda japo sikuwahi kuwaza au kupanga hivyo. Mke mmoja na mchepuko mmoja wa kudumu, B wangu. Nilijitahidi kuachana na B lakini ilishindikana, na yeye ndio huwa anasema tuachane tu kila mtu aendelee na maisha yake lakini nimeshindwa (hajaniroga ni mapenzi yangu tu kwake) kuona anaishi na mwanaume mwingine.
Kinachonisumbua sijui wanaooa wanawake wengi wanaweza vipi, mimi nimeshindwa kubalance upendo. Nimeelemea kwa B zaidi kuliko mke wangu(shame on me). Mke wangu kanizalia watoto wawili wazuri lakini nawapenda wanangu sio yeye, roho huwa inanisuta sana, yaani Binti wa watu anajitahidi kutimiza majukumu kama mke lakini wapi. Mahitaji namtimizia pamoja na watoto hakuna malalamiko, malalamiko yapo kwenye upendo tu. Mbaya zaidi ilibidi nimueleze tu kwamba naishi na mwanamke mwingine huku nilipo maana sikuhamia na familia, alilia sana na huwa anaumia sana.
Sistahili kuwa na huyu dada kwa ninayomfanyia kiukweli, angekuwa mwingine angeshaniacha lakini yupo na mimi tu, saa zingine mpaka huwa nahisi atakuja kuniua maana uvumilivu huu sio wa kawaida. Huwa nawaza labda tuachane halafu nimuachie kila kitu na watoto mimi nianze maisha upya ili asisononeke sana? Nimejilazimsha kumpenda nimeshindwa mimi ninampenda B kuliko yeye (Mungu anajua)
B, yeye huwa simlaumu maana alishanipa option kwamba tuachane lakini kwa ajili ya amani yangu ya moyo nilimwambia siwezi kuishi bila yeye, na ukweli kabisa maana alivyonipa background yake tu maumivu niliyoyapata mpaka nilitafuta watu wa kunishauri hao wakubwa wa mitandaoni, na nimeshindwa kuachana nae. Hilo swala tu la kusikia yupo na mwanaume mwingine au aliwahi kuwa na mwanaume mwingine huwa linaniumiza sana yaani kumuacha aende naumia(sipo tayari kumuona na mwanaume mwingine) na akibaki pia sometimes huwa naumia(ananikumbusha mambo ya nyuma, jinsi nilivyoshinwa kujiamini na kumtongoza). Mbaya zaidi yeye pia huwa ananiambia anajihisi kupata dhambi kuishi na mume wa mtu, na anahisi anashindwa kushea mapenzi, huwa nambembeleza anatulia lakini huwa anajikaza tu najua.
Huwa nipo njia panda kwa kweli, nina kazi nzuri lakini likija swala la familia huwa napata shida, yaani kuna muda mpaka nashindwa kufanya kazi vizuri.
NB Kuna vitu wewe unaweza kuhisi ni vidogo lakini mwenzako vikamtesa

MAJUTO KUHUSU B WANGU

Nachoweza kusisitiza hapa, mwanamke ukimpenda saa zingine bora usimuulize background yake, hicho ndio kinachonifanya niumie mpaka nitaingia kaburini.
Basi katika kuulizana ulizana akanitajia mwanaume wake wa kwanza (namjua), na anasema hakumpenda sana ila ni ushawishi tu wa ndugu zake jamaa aliutumia na ndio maana hata hawakudumu nae, akaja jamaa mwingine alikuja kuwa msanii na ndiye alimzalisha mtoto. Mwingine ni boda boda (alitake advantage baada ya B kuzalishwa na msanii na hakuwa anamjali)..........

MAUMIVU YANGU
Kinachoniuma mpaka leo, B nilikuwa namchukulia labda ni malaya sababu ya uzuri wake na kutakwa na wengi lakini aliweza kujitunza (kutunza usichana wake) mpaka miaka hiyo mimi namuona mkubwa, means ningempata ningekuwa ndio mwanaume wake wa kwanza. Hapa maumivu ambayo huwa nayapata hayaelezeki, huwa natamani siku zirudi nyuma mpaka ule mwaka tu kisha nimtongoze.
Yaani boda boda(inauma japo ni binadamu mwenzangu, mnisamehe) alinizidi ujasiri mimi wa kuongea na mwanamke ninayempenda mpaka akatembea nae(yaani mara nyingine nikionaga boda boda huwa wananikumbusha jamaa aliyetembea na B wangu, imagine kuna bodaboda wangapi)
Nashindwa kumruhusu B aendelee na maisha yake sababu nampenda lakini pia kubaki kwake mara nyingine ananikumbusha nyuma hivyo naumia pia.
Siwezi kabisa kusikiliza nyimbo za huyo msanii, hata iwe nzuri vipi sababu tu alizaa na B wangu, kuna memory huwa zinanijia mbaya sababu namjua kitambo.
Nimejikuta siwezi kabisa kurudi mtaani kwetu tena au hometown sababu nahisi kuna vitu nitavikumbuka vitaniumiza
Ubaya kila ninachopitia ni uzembe wangu mwenyewe, sina wa kumlaumu, nilishaongea na watu mbali mbali lakini nimeshindwa kupona maumivu ya B wangu, mara nyingine nahisi bora nisingemuona au kuishi nae mtaa mmoja.
JUTO KUU ni kwa nini sikumtongoza mapema B wangu, pengine ningeepusha mengi.
umasikini mbaya sana mkuu, story yako inapisha kidogo sana na yangu,Mungu atuongoze vema [emoji120]
 
Mkuu hii story yako imenigusa sana hasa haya maneno yako ''Nlichojifunza ukimuelewa mtu usikawie kusema, mwambie akatae mwenyewe na kujifanya unaogopa tongoza kuhofia utapoteza urafiki wenu nimejua ni ujinga.'' Ni ukweli kabisa, yaani ni swala la kuzingatia sana mimi mpaka leo nina kazi nzuri namshukuru Mungu lakini sina furaha upande wa familia japo nilioa.
Ipo hivi, kulikuwa na binti nampenda sana, tulikuwa tunaishi nae mtaa mmoja,(kutokana na mambo ya shule mimi sikuishi sana nyumbani) ila nikirudi tulikuwa tunaonana japo hatukuwahi kuongea. Basi bwana ile kutokujiamini sababu kuna kitu fulani nilikuwa napitia(ugonjwa) changanya na ugumu wa maisha home basi mzee nikawa sina comfidence ya kumface na kumwambia kama nampenda kutokana na jinsi alivyo japo nilimzidi kiumri lakini nilijiona kabisa sitaweza kumhudumia au angenikataa kutokana nilivyokuwa kipindi hicho(ugonjwa wa ngozi), miaka ikaenda, nikawa vizuri tu na michongo ikatiki hatimaye ukafika muda wa kutaka kuoa.
Nishakua kwenye mahusiano kadhaa lakini ulipofika muda wa kuoa nikakumbuka kuna mwanamke huwa nampenda na kwa sababu nipo vizuri basi sasa ndio muda muafaka wa kuongea nae. (Kitu ninachojuta sikutaka kumtuma mtu nilitaka kwenda kuongea nae face to mimi mwenyewe na bahati mbaya sikuwa na connection kwao). Basi kila nikirudi kitaa kutaka tuongee simpati, mara tunapishana muda nao ukaenda sana, mwisho nikakata tamaa, nikajisemea kwanza mtu mwenyewe kwa jinsi alivyo (mzuri na anatakwa na wengi, pengine malaya tu na mpenda pesa) na sijawahi kuongea nae pengine ashapata bwana na kuolewa au ana mahusiano yake.
Basi me nikaendelea na maisha yangu, muda ukafika nikaoa(japo sikumpenda sana mke wangu kama B, nilifanya kama formality tu) maisha yakaendelea, japo sijawahi kuacha kumfuatilia B, iwe nipo mtaani au sipo. Basi siku moja nikiwa kikazi huko mikoa ya kaskazini, ghafla namuona dada ambaye nahisi namjua, kumsogelea hivi nikaita jina B, kageuka nikajitambulisha pale mpaka akanikumbuka tukabadilishana namba kisha baadaye tukawasiliana na kukubaliana siku ya pili tukutane kwa ajili ya kupiga story zaidi.
Siku imefika mzee, nikamtoa out B wangu(nilikuwa najisemea hivyo toka kitaa sababu niliamini yeye ni wangu), katika kupiga story nikamchana live mimi nilikuwa nakukubali toka kitambo B ila niliogopa kukwambia kutokana na hivi na hivi, .....alicheka sana akajibu uoga wako tu mimi sipo kama ulivyodhani (ni kweli nilikuja kujua baadaye) nikapiga mistari pale mtoto mzuri kaelewa bila shida kabisa japo hakusema lakini indirect nikaona tayari, sikuona ajabu sababu ya ile trust ya kujuana toka kitaa. Kwa huo mji alikuwa anakaa kwa ndugu yake basi ikawa nikimhitaji tunakutana na penzi likashamiri, wakati huo mambo ya kama nimeoa sijamwambia ila nilimwambia kuwa kuna mwanamke nilizaa nae tu hivyo tunalea mtoto, na yeye pia aliniambia kwamba alikuwa na mtoto tayari(moja moja hapo japo roho iliumia hapa kusikia kazalishwa).Kazi ikaisha nikarudi nilikotoka
Baada ya muda kule kaskazini kulitokea nafasi na kwa sababu mimi nilikuwa naenda mara kwa mara boss akapendekeza mimi ndio nihamie kule(Nilifurahi sana kwenda kuungana na B wangu) , basi ikawa kama nimemuoa B wangu, pika na kupakua, kahama kwa ndugu yake kahamia kwangu tunaishi. Maisha yameendelea, mtoto wake alimuacha kule hometown tulipokua tunakaa kwa wazee wake. Sababu nampenda niliishi na B wangu vizuri sana mpaka akawa ananilaumu kwa nini sikumwambia/sikumtongoza mapema kipindi kile maana kapitia mengi sana.Nikamwambia B wangu, mipango ya Mungu huwezi jua maana yeye ndio mpangaji wa kila kitu.
SIRI YA KUOA INAFICHUKA
Njia ya muongo fupi, siku ya siku ikawadia na katika makosa nilyofanya ni kumruhusu B kuwa anapekua simu yangu nikiwepo (nilitaka asiwe na wasiwasi na mimi japo nilipanga kuja kumuelezea ukweli baadaye kidogo). Kuna namna nillisave namba ya wife ili asishtuke lakini kumbe alishaanza kuchunguza kuhusu ile namba maana aliona mawasiliano ni mara kwa mara, haipiti siku lazima tuongee. Basi kumbe ile simu yangu huwa nikifuta meseji za kawaida zinakaa recycle bin kwanza mpaka uki clear ndio zinaondoka. Kumbe kupekua pekua kwake kaenda mpaka recycle bin na kaona kila kitu. Nakumbuka siku hiyo nimetoka kuoga nakuta mtu analia kwa uchungu namuuliza nini, anasema kwa nini hukuniambia kama umeoa? Kwa nini mimi maisha yangu ya mapenzi ni mikosi tu, kwa nini.... alilia kwa uchungu sana B wangu mpaka na mimi nikalia, tulilia sana siku hiyo kwa uchungu.
Tulibembelezana, maumivu yakapungua kidogo lakini tukaapa kutoachana kwa namna yoyote ile. To be honest sikuwa nampenda mke wangu kama ninavyompenda B (Mungu anajua na anisamehe). Na hilo swala la kutompenda hata yeye huwa ananiambia toka mwanzo. Imebidi niishi na wanawake wawili bila kupenda japo sikuwahi kuwaza au kupanga hivyo. Mke mmoja na mchepuko mmoja wa kudumu, B wangu. Nilijitahidi kuachana na B lakini ilishindikana, na yeye ndio huwa anasema tuachane tu kila mtu aendelee na maisha yake lakini nimeshindwa (hajaniroga ni mapenzi yangu tu kwake) kuona anaishi na mwanaume mwingine.
Kinachonisumbua sijui wanaooa wanawake wengi wanaweza vipi, mimi nimeshindwa kubalance upendo. Nimeelemea kwa B zaidi kuliko mke wangu(shame on me). Mke wangu kanizalia watoto wawili wazuri lakini nawapenda wanangu sio yeye, roho huwa inanisuta sana, yaani Binti wa watu anajitahidi kutimiza majukumu kama mke lakini wapi. Mahitaji namtimizia pamoja na watoto hakuna malalamiko, malalamiko yapo kwenye upendo tu. Mbaya zaidi ilibidi nimueleze tu kwamba naishi na mwanamke mwingine huku nilipo maana sikuhamia na familia, alilia sana na huwa anaumia sana.
Sistahili kuwa na huyu dada kwa ninayomfanyia kiukweli, angekuwa mwingine angeshaniacha lakini yupo na mimi tu, saa zingine mpaka huwa nahisi atakuja kuniua maana uvumilivu huu sio wa kawaida. Huwa nawaza labda tuachane halafu nimuachie kila kitu na watoto mimi nianze maisha upya ili asisononeke sana? Nimejilazimsha kumpenda nimeshindwa mimi ninampenda B kuliko yeye (Mungu anajua)
B, yeye huwa simlaumu maana alishanipa option kwamba tuachane lakini kwa ajili ya amani yangu ya moyo nilimwambia siwezi kuishi bila yeye, na ukweli kabisa maana alivyonipa background yake tu maumivu niliyoyapata mpaka nilitafuta watu wa kunishauri hao wakubwa wa mitandaoni, na nimeshindwa kuachana nae. Hilo swala tu la kusikia yupo na mwanaume mwingine au aliwahi kuwa na mwanaume mwingine huwa linaniumiza sana yaani kumuacha aende naumia(sipo tayari kumuona na mwanaume mwingine) na akibaki pia sometimes huwa naumia(ananikumbusha mambo ya nyuma, jinsi nilivyoshinwa kujiamini na kumtongoza). Mbaya zaidi yeye pia huwa ananiambia anajihisi kupata dhambi kuishi na mume wa mtu, na anahisi anashindwa kushea mapenzi, huwa nambembeleza anatulia lakini huwa anajikaza tu najua.
Huwa nipo njia panda kwa kweli, nina kazi nzuri lakini likija swala la familia huwa napata shida, yaani kuna muda mpaka nashindwa kufanya kazi vizuri.
NB Kuna vitu wewe unaweza kuhisi ni vidogo lakini mwenzako vikamtesa

MAJUTO KUHUSU B WANGU

Nachoweza kusisitiza hapa, mwanamke ukimpenda saa zingine bora usimuulize background yake, hicho ndio kinachonifanya niumie mpaka nitaingia kaburini.
Basi katika kuulizana ulizana akanitajia mwanaume wake wa kwanza (namjua), na anasema hakumpenda sana ila ni ushawishi tu wa ndugu zake jamaa aliutumia na ndio maana hata hawakudumu nae, akaja jamaa mwingine alikuja kuwa msanii na ndiye alimzalisha mtoto. Mwingine ni boda boda (alitake advantage baada ya B kuzalishwa na msanii na hakuwa anamjali)..........

MAUMIVU YANGU
Kinachoniuma mpaka leo, B nilikuwa namchukulia labda ni malaya sababu ya uzuri wake na kutakwa na wengi lakini aliweza kujitunza (kutunza usichana wake) mpaka miaka hiyo mimi namuona mkubwa, means ningempata ningekuwa ndio mwanaume wake wa kwanza. Hapa maumivu ambayo huwa nayapata hayaelezeki, huwa natamani siku zirudi nyuma mpaka ule mwaka tu kisha nimtongoze.
Yaani boda boda(inauma japo ni binadamu mwenzangu, mnisamehe) alinizidi ujasiri mimi wa kuongea na mwanamke ninayempenda mpaka akatembea nae(yaani mara nyingine nikionaga boda boda huwa wananikumbusha jamaa aliyetembea na B wangu, imagine kuna bodaboda wangapi)
Nashindwa kumruhusu B aendelee na maisha yake sababu nampenda lakini pia kubaki kwake mara nyingine ananikumbusha nyuma hivyo naumia pia.
Siwezi kabisa kusikiliza nyimbo za huyo msanii, hata iwe nzuri vipi sababu tu alizaa na B wangu, kuna memory huwa zinanijia mbaya sababu namjua kitambo.
Nimejikuta siwezi kabisa kurudi mtaani kwetu tena au hometown sababu nahisi kuna vitu nitavikumbuka vitaniumiza
Ubaya kila ninachopitia ni uzembe wangu mwenyewe, sina wa kumlaumu, nilishaongea na watu mbali mbali lakini nimeshindwa kupona maumivu ya B wangu, mara nyingine nahisi bora nisingemuona au kuishi nae mtaa mmoja.
JUTO KUU ni kwa nini sikumtongoza mapema B wangu, pengine ningeepusha mengi.
Pole sana kaka, majuto ni mjukuu
 
Kuna kisa kiliwahi kunitokea huko nyuma ambacho kilinifanya nijutie kwa muda na kuacha funzo kila nitembeapo njiani nakuwa makini sana, naangalia mbele kuanzia mita 50 mpaka 100 kuona matukio gani yanaendelea.

Kuna siku nilikuwa nikitokea Temeke Kwa Azizi Ally shell ninaelekea Tandika kwa miguu niko na haraka sana siangalii mbele sana wala pembeni ninawaza mambo yangu.

Mara ghafla nikadakwa mkono huku nikiambiwa weeeh unakwenda wapi? Kumuangalia aliyenishika ni mwanamke ile namuangalia vizuri zaidi kumbe askari polisi tena wa kike amevaa sare kabisaaa .Dah!

Nikamwambia naelekea Tandika. Huku akiwa bado kanishikiria mkono wangu wa kushoto, akaendelea kunihoji unatokea wapi, nikamjibu natokea hapa hapa kwa Aziz Ally, wewe siyo muhuni? Nikamwambia hapana, haiwezekani wewe uko na wale unaenda kuwaambia wana kimbieni.

Kumbe mbele yangu kuna washikaji wamekamatwa wamefunganishwa mashati wapo kama 10 hivi, walikutwa kijiweni dizaini fulani hivi walifanya msala au wazurulaji. Nikasikia Afande muunganishe na huyu.

Alitokea askari wa kiume ndio akasema hapana huyu hausiki siyo mwenzao mwacheni. Niliachiwa nikaondoka kwa speed ya ajabu. Ningekuwa niko makini kuangalia mbele zaidi nisingejikuta nahisiwa ni muarifu

Kuanzia siku hiyo hadi leo sitembei bila kupepesa macho au kukaribiana na watu hovyo hovyo.
 
Miaka 14 nyuma ndo nilikuwa najuta ila sasa nashukuru joto limeshuka kidogo.

Ilikuwa siku ya jumamosi mchana binamu yangu mdogo (sehemu kubwa ya maisha yangu hawa ndo wamenilea) akatuma ujumbe “dogo leo nitaenda kwenye sherehe jioni uje nyumbani kulinda nyumba”hii ilikuwa ni mazoea akipata dharura mimi naenda na huu mwaka ndo alikuwa ameowa so walikuwa wakitoka nyumba inabaki tupu ilikuwa nje ya mji Kimara huko so mimi saa kumi kumi nikatoka zangu Mabibo kuelekea,kufika 18:00 jioni nao wakaondoka kumbe mule ndani yupo h/girl ameletwa kumsaidia mkewe jamaa pindi atakapojifungua.

Nikazuga zuga nje moja moja hivi nikaingia ndani,nje hakukaliki mbu pia usalama mdogo so nikaenda kukaa sebuleni nachat na demu wangu (na ndiye mke wangu sasa,nilikuwaga na kisimu changu Nokia kipindi hiko) tukawa tunatumiana sms za kijinga jinga ooh nimeku-miss sijui ukiwa uchi ooh natamani saizi ningekuwa nimelala kwenye kifua chako na blah blah blahs nyiingi kama mnavyojua tena uanaume kichwa cha chini mawimbi yakasoma so kadiri mule ndani anavyopita pita yule bint nikawa napiga hesabu zangu kichwani.

Nikainuka nikajifanya kwenda kumsaidia kazi jikoni ili nimzoee na nimuone vizuri nikakuta ni wa kawaida sana,sura ngumu body yenyewe ya kuazima nikaghairi nikarudi kukaa ile kusoma tena sms za demu wangu nikajikuta namuona huyu mbona mzuri tu japo kwa siku mojaa!muda wa kula nikaingiza vocal ahadi nyiingi mara nitakuowa akaniambia mimi hapa sikuja kuolewa nimekuja mara moja tu dada kaniambia nije nimsaidie rafiki yake akijifungua(mke wa binamu)na kwamba anasubiri kuendelea na kidato cha tano na sita.

To cut a long story nilikuja ku-force usiku kabla ya saa sita tena kwenye corridor maana nilijisemea kwa vyovyote huyu atanisemea kwa boss zake wakirudi ngoja nijipoze hata ikitokea akasema lawama ziwe na sababu,ujinga zaidi niliiloweka mbichi dk mbili sijui tatu zile mixer kung’atwa nikasikia chwaa chwaaa chwaaaaa nikaachia akaondoka zake chumbani kwake kujifungia huku analia hata nilipomgongea kwamba nataka nimuombe msamaha lengo nimuweke tena akagoma,asubuhi kulivyokucha nikamuona alivyo nikawa natafuta sababu ipi hasa ilinifanya nimtake huyu?halafu nikawa namkunjia sura ile kihuni kwamba mimi siyo wa mchezo mchezo....wee nilijuta!!!miezi mitatu mbele nikaitwa Kimara kusema nilichomfanya mwanafunzi ikawa sasa siyo house girl tena,kufika naambiwa ana mimba nilitamani ardhi ipasuke case ameishikilia dada yake mwanasheria aliyesoma na mke wa binamu.

At age 22 kunikuta Ustawi wa Jamii nahudhuria kesi sijatoa matunzo ya mtoto ilikuwa kawaida sana kuna siku nimefika pale nikakuta wamama waliokuwa hawajanizoea wakadhani nimekuja kushtaki wazazi wamekataa kunitunza niliposema kilichonipeleka wakaninyanyapaa sana,hii issue ilinichanganya maana dada mtu alikuwa anatia pressure nimetia mwanafunzi mimba na kwamba anaweza kunifunga wakati wowote matumizi yakilega lega na usawa wenyewe ulikuwa mbovu na binamu yangu akaniambia ameomba kesi isifike polisi akijifungua atamsomesha chochote atakachokitaka mimi nikomae na malezi zaidi ya hapo hana msaada mwengine.

Kuna siku nililetewa barua za wito tatu mfululizo kutoka Ustawi wa Jamii hiyo ya tatu aliyeniletea (nilikuwa nakimbia kimbia situlii sehemu moja kwa kuogopa kukamatwa) alinikuta katikati ya zebra crossing navuka upande wa pili akanikabidhi cheti na vitisho juu kwamba safari hii nikichomoka sitapata kiboko kama hiyo aisee sikuweza kuhimili nilikaa katikati ya barabara nikapiga ”Uuuwiiiiii” huku machozi yakinitoka shukuru hakukuwa na gari karibu wakaja watu kunitoa naburuzwa miguu haina nguvu wakaniuliza unaumwa nikadanganya nasumbuliwa na tumbo.

Ila sasa dogo amekua nikimuona nafarijika sana mama yake nae alisomeshwa nursing na ameshaolewa huko ila huu msoto sitakaa niusahau.
 
Miaka 14 nyuma ndo nilikuwa najuta ila sasa nashukuru joto limeshuka kidogo.

Ilikuwa siku ya jumamosi mchana binamu yangu mdogo (sehemu kubwa ya maisha yangu hawa ndo wamenilea) akatuma ujumbe “dogo leo nitaenda kwenye sherehe jioni uje nyumbani kulinda nyumba”hii ilikuwa ni mazoea akipata dharura mimi naenda na huu mwaka ndo alikuwa ameowa so walikuwa wakitoka nyumba inabaki tupu ilikuwa nje ya mji Kimara huko so mimi saa kumi kumi nikatoka zangu Mabibo kuelekea,kufika 18:00 jioni nao wakaondoka kumbe mule ndani yupo h/girl ameletwa kumsaidia mkewe jamaa pindi atakapojifungua.

Nikazuga zuga nje moja moja hivi nikaingia ndani,nje hakukaliki mbu pia usalama mdogo so nikaenda kukaa sebuleni nachat na demu wangu (na ndiye mke wangu sasa) tukawa tunatumiana sms za kijinga jinga ooh nimeku-miss sijui ukiwa uchi ooh natamani saizi ningekuwa nimelala kwenye kifua chako na blah blah blahs nyiingi kama mnavyojua tena uanaume kichwa cha chini mawimbi yakasoma so kadiri mule ndani anavyopita pita yule bint nikawa napiga hesabu zangu kichwani.

Nikainuka nikajifanya kwenda kumsaidia kazi jikoni ili nimzoee na nimuone vizuri nikakuta ni wa kawaida sana,sura ngumu body yenyewe ya kuazima nikaghairi nikarudi kukaa ile kusoma tena sms za demu wangu nikajikuta namuona huyu mbona mzuri tu japo kwa siku mojaa!muda wa kula nikaingiza vocal ahadi nyiingi mara nitakuowa akaniambia nimekuja mara moja tu dada kaniambia nije nimsaidie rafiki yake akijifungua(mke wa binamu)na kwamba anasubiri kuendelea na kidato cha tano na sita.

To cut a long story nilikuja ku-force usiku kabla ya saa sita maana nilijisemea kwa vyovyote huyu atanisemea kwa boss zake wakirudi ngoja nijipoze hata ikitokea akasema lawama ziwe na sababu,ujinga zaidi niliiloweka mbichi dk mbili sijui tatu zile mixer kung’atwa nikasikia chwaa chwaaa chwaaaaa nikaachia akaondoka zake chumbani kwake kujifungia huku analia hata nilipomgongea kwamba nataka nimuombe msamaha lengo nimuweke tena akagoma,asubuhi kulivyokucha nikamuona alivyo nikawa natafuta sababu ipi hasa ilinifanya nimtake huyu?nijuta,miezi mitatu mbele nikaitwa Kimara kusema nilichomfanya mwanafunzi ikawa sasa siyo house girl tena,kufika naambiwa ana mimba nilitamani ardhi ipasuke case ameishikilia dada yake mwanasheria aliyesoma na mke wa binamu.

At age 22 kunikuta Ustawi wa Jamii nahudhuria kesi sijatoa matunzo ya mtoto ilikuwa kawaida sana kuna siku nimefika pale nikakuta waliokuwa hawajanizoea wakadhani nimekuja kushtaki wazazi wamekataa kunitunza niliposema kilichonipeleka wakaninyanyapaa sana,hii issue ilinichanganya maana dada mtu alikuwa anatia pressure nimetia mwanafunzi mimba na kwamba anaweza kunifunga wakati wowote matumizi yakilega lega na usawa wenyewe ulikuwa mbovu na binamu yangu akaniambia ameomba kesi isifike polisi akijifungua atamsomesha chochote atakachokita mimi nikomae na malezi zaidi ya hapo hana msaada mwengine.

Kuna siku nililetewa barua za wito tatu mfululizo kutoka Ustawi wa Jamii hiyo ya tatu aliyeniletea alinikuta katikati ya zebra crossing navuka upande wa pili akanikabidhi cheti na vitisho juu kwamba safari hii nikichomoka sitapata kiboko kama hiyo aisee sikuweza kuhimili nilikaa katikati ya barabara nikapiga ”Uuuwiiiiii” huku machozi yakinitoka shukuru hakukuwa na gari karibu wakaja watu kunitoa naburuzwa miguu haina nguvu wakaniuliza unaumwa nikadanganya nasumbuliwa na tumbo.

Ila sasa dogo amekua nikimuona nafarijika sana mama yake nae alisomeshwa nursing na ameshaolewa huko ila huu msoto sitakaa niusahau.
We jamaa ntakushitaki kwa kuvunja mbavu zangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka 14 nyuma ndo nilikuwa najuta ila sasa nashukuru joto limeshuka kidogo.

Ilikuwa siku ya jumamosi mchana binamu yangu mdogo (sehemu kubwa ya maisha yangu hawa ndo wamenilea) akatuma ujumbe “dogo leo nitaenda kwenye sherehe jioni uje nyumbani kulinda nyumba”hii ilikuwa ni mazoea akipata dharura mimi naenda na huu mwaka ndo alikuwa ameowa so walikuwa wakitoka nyumba inabaki tupu ilikuwa nje ya mji Kimara huko so mimi saa kumi kumi nikatoka zangu Mabibo kuelekea,kufika 18:00 jioni nao wakaondoka kumbe mule ndani yupo h/girl ameletwa kumsaidia mkewe jamaa pindi atakapojifungua.

Nikazuga zuga nje moja moja hivi nikaingia ndani,nje hakukaliki mbu pia usalama mdogo so nikaenda kukaa sebuleni nachat na demu wangu (na ndiye mke wangu sasa) tukawa tunatumiana sms za kijinga jinga ooh nimeku-miss sijui ukiwa uchi ooh natamani saizi ningekuwa nimelala kwenye kifua chako na blah blah blahs nyiingi kama mnavyojua tena uanaume kichwa cha chini mawimbi yakasoma so kadiri mule ndani anavyopita pita yule bint nikawa napiga hesabu zangu kichwani.

Nikainuka nikajifanya kwenda kumsaidia kazi jikoni ili nimzoee na nimuone vizuri nikakuta ni wa kawaida sana,sura ngumu body yenyewe ya kuazima nikaghairi nikarudi kukaa ile kusoma tena sms za demu wangu nikajikuta namuona huyu mbona mzuri tu japo kwa siku mojaa!muda wa kula nikaingiza vocal ahadi nyiingi mara nitakuowa akaniambia nimekuja mara moja tu dada kaniambia nije nimsaidie rafiki yake akijifungua(mke wa binamu)na kwamba anasubiri kuendelea na kidato cha tano na sita.

To cut a long story nilikuja ku-force usiku kabla ya saa sita maana nilijisemea kwa vyovyote huyu atanisemea kwa boss zake wakirudi ngoja nijipoze hata ikitokea akasema lawama ziwe na sababu,ujinga zaidi niliiloweka mbichi dk mbili sijui tatu zile mixer kung’atwa nikasikia chwaa chwaaa chwaaaaa nikaachia akaondoka zake chumbani kwake kujifungia huku analia hata nilipomgongea kwamba nataka nimuombe msamaha lengo nimuweke tena akagoma,asubuhi kulivyokucha nikamuona alivyo nikawa natafuta sababu ipi hasa ilinifanya nimtake huyu?nijuta,miezi mitatu mbele nikaitwa Kimara kusema nilichomfanya mwanafunzi ikawa sasa siyo house girl tena,kufika naambiwa ana mimba nilitamani ardhi ipasuke case ameishikilia dada yake mwanasheria aliyesoma na mke wa binamu.

At age 22 kunikuta Ustawi wa Jamii nahudhuria kesi sijatoa matunzo ya mtoto ilikuwa kawaida sana kuna siku nimefika pale nikakuta waliokuwa hawajanizoea wakadhani nimekuja kushtaki wazazi wamekataa kunitunza niliposema kilichonipeleka wakaninyanyapaa sana,hii issue ilinichanganya maana dada mtu alikuwa anatia pressure nimetia mwanafunzi mimba na kwamba anaweza kunifunga wakati wowote matumizi yakilega lega na usawa wenyewe ulikuwa mbovu na binamu yangu akaniambia ameomba kesi isifike polisi akijifungua atamsomesha chochote atakachokita mimi nikomae na malezi zaidi ya hapo hana msaada mwengine.

Kuna siku nililetewa barua za wito tatu mfululizo kutoka Ustawi wa Jamii hiyo ya tatu aliyeniletea alinikuta katikati ya zebra crossing navuka upande wa pili akanikabidhi cheti na vitisho juu kwamba safari hii nikichomoka sitapata kiboko kama hiyo aisee sikuweza kuhimili nilikaa katikati ya barabara nikapiga ”Uuuwiiiiii” huku machozi yakinitoka shukuru hakukuwa na gari karibu wakaja watu kunitoa naburuzwa miguu haina nguvu wakaniuliza unaumwa nikadanganya nasumbuliwa na tumbo.

Ila sasa dogo amekua nikimuona nafarijika sana mama yake nae alisomeshwa nursing na ameshaolewa huko ila huu msoto sitakaa niusahau.
Noma kweli
 
Mkuu hii story yako imenigusa sana hasa haya maneno yako ''Nlichojifunza ukimuelewa mtu usikawie kusema, mwambie akatae mwenyewe na kujifanya unaogopa tongoza kuhofia utapoteza urafiki wenu nimejua ni ujinga.'' Ni ukweli kabisa, yaani ni swala la kuzingatia sana mimi mpaka leo nina kazi nzuri namshukuru Mungu lakini sina furaha upande wa familia japo nilioa.
Ipo hivi, kulikuwa na binti nampenda sana, tulikuwa tunaishi nae mtaa mmoja,(kutokana na mambo ya shule mimi sikuishi sana nyumbani) ila nikirudi tulikuwa tunaonana japo hatukuwahi kuongea. Basi bwana ile kutokujiamini sababu kuna kitu fulani nilikuwa napitia(ugonjwa) changanya na ugumu wa maisha home basi mzee nikawa sina comfidence ya kumface na kumwambia kama nampenda kutokana na jinsi alivyo japo nilimzidi kiumri lakini nilijiona kabisa sitaweza kumhudumia au angenikataa kutokana nilivyokuwa kipindi hicho(ugonjwa wa ngozi), miaka ikaenda, nikawa vizuri tu na michongo ikatiki hatimaye ukafika muda wa kutaka kuoa.
Nishakua kwenye mahusiano kadhaa lakini ulipofika muda wa kuoa nikakumbuka kuna mwanamke huwa nampenda na kwa sababu nipo vizuri basi sasa ndio muda muafaka wa kuongea nae. (Kitu ninachojuta sikutaka kumtuma mtu nilitaka kwenda kuongea nae face to mimi mwenyewe na bahati mbaya sikuwa na connection kwao). Basi kila nikirudi kitaa kutaka tuongee simpati, mara tunapishana muda nao ukaenda sana, mwisho nikakata tamaa, nikajisemea kwanza mtu mwenyewe kwa jinsi alivyo (mzuri na anatakwa na wengi, pengine malaya tu na mpenda pesa) na sijawahi kuongea nae pengine ashapata bwana na kuolewa au ana mahusiano yake.
Basi me nikaendelea na maisha yangu, muda ukafika nikaoa(japo sikumpenda sana mke wangu kama B, nilifanya kama formality tu) maisha yakaendelea, japo sijawahi kuacha kumfuatilia B, iwe nipo mtaani au sipo. Basi siku moja nikiwa kikazi huko mikoa ya kaskazini, ghafla namuona dada ambaye nahisi namjua, kumsogelea hivi nikaita jina B, kageuka nikajitambulisha pale mpaka akanikumbuka tukabadilishana namba kisha baadaye tukawasiliana na kukubaliana siku ya pili tukutane kwa ajili ya kupiga story zaidi.
Siku imefika mzee, nikamtoa out B wangu(nilikuwa najisemea hivyo toka kitaa sababu niliamini yeye ni wangu), katika kupiga story nikamchana live mimi nilikuwa nakukubali toka kitambo B ila niliogopa kukwambia kutokana na hivi na hivi, .....alicheka sana akajibu uoga wako tu mimi sipo kama ulivyodhani (ni kweli nilikuja kujua baadaye) nikapiga mistari pale mtoto mzuri kaelewa bila shida kabisa japo hakusema lakini indirect nikaona tayari, sikuona ajabu sababu ya ile trust ya kujuana toka kitaa. Kwa huo mji alikuwa anakaa kwa ndugu yake basi ikawa nikimhitaji tunakutana na penzi likashamiri, wakati huo mambo ya kama nimeoa sijamwambia ila nilimwambia kuwa kuna mwanamke nilizaa nae tu hivyo tunalea mtoto, na yeye pia aliniambia kwamba alikuwa na mtoto tayari(moja moja hapo japo roho iliumia hapa kusikia kazalishwa).Kazi ikaisha nikarudi nilikotoka
Baada ya muda kule kaskazini kulitokea nafasi na kwa sababu mimi nilikuwa naenda mara kwa mara boss akapendekeza mimi ndio nihamie kule(Nilifurahi sana kwenda kuungana na B wangu) , basi ikawa kama nimemuoa B wangu, pika na kupakua, kahama kwa ndugu yake kahamia kwangu tunaishi. Maisha yameendelea, mtoto wake alimuacha kule hometown tulipokua tunakaa kwa wazee wake. Sababu nampenda niliishi na B wangu vizuri sana mpaka akawa ananilaumu kwa nini sikumwambia/sikumtongoza mapema kipindi kile maana kapitia mengi sana.Nikamwambia B wangu, mipango ya Mungu huwezi jua maana yeye ndio mpangaji wa kila kitu.
SIRI YA KUOA INAFICHUKA
Njia ya muongo fupi, siku ya siku ikawadia na katika makosa nilyofanya ni kumruhusu B kuwa anapekua simu yangu nikiwepo (nilitaka asiwe na wasiwasi na mimi japo nilipanga kuja kumuelezea ukweli baadaye kidogo). Kuna namna nillisave namba ya wife ili asishtuke lakini kumbe alishaanza kuchunguza kuhusu ile namba maana aliona mawasiliano ni mara kwa mara, haipiti siku lazima tuongee. Basi kumbe ile simu yangu huwa nikifuta meseji za kawaida zinakaa recycle bin kwanza mpaka uki clear ndio zinaondoka. Kumbe kupekua pekua kwake kaenda mpaka recycle bin na kaona kila kitu. Nakumbuka siku hiyo nimetoka kuoga nakuta mtu analia kwa uchungu namuuliza nini, anasema kwa nini hukuniambia kama umeoa? Kwa nini mimi maisha yangu ya mapenzi ni mikosi tu, kwa nini.... alilia kwa uchungu sana B wangu mpaka na mimi nikalia, tulilia sana siku hiyo kwa uchungu.
Tulibembelezana, maumivu yakapungua kidogo lakini tukaapa kutoachana kwa namna yoyote ile. To be honest sikuwa nampenda mke wangu kama ninavyompenda B (Mungu anajua na anisamehe). Na hilo swala la kutompenda hata yeye huwa ananiambia toka mwanzo. Imebidi niishi na wanawake wawili bila kupenda japo sikuwahi kuwaza au kupanga hivyo. Mke mmoja na mchepuko mmoja wa kudumu, B wangu. Nilijitahidi kuachana na B lakini ilishindikana, na yeye ndio huwa anasema tuachane tu kila mtu aendelee na maisha yake lakini nimeshindwa (hajaniroga ni mapenzi yangu tu kwake) kuona anaishi na mwanaume mwingine.
Kinachonisumbua sijui wanaooa wanawake wengi wanaweza vipi, mimi nimeshindwa kubalance upendo. Nimeelemea kwa B zaidi kuliko mke wangu(shame on me). Mke wangu kanizalia watoto wawili wazuri lakini nawapenda wanangu sio yeye, roho huwa inanisuta sana, yaani Binti wa watu anajitahidi kutimiza majukumu kama mke lakini wapi. Mahitaji namtimizia pamoja na watoto hakuna malalamiko, malalamiko yapo kwenye upendo tu. Mbaya zaidi ilibidi nimueleze tu kwamba naishi na mwanamke mwingine huku nilipo maana sikuhamia na familia, alilia sana na huwa anaumia sana.
Sistahili kuwa na huyu dada kwa ninayomfanyia kiukweli, angekuwa mwingine angeshaniacha lakini yupo na mimi tu, saa zingine mpaka huwa nahisi atakuja kuniua maana uvumilivu huu sio wa kawaida. Huwa nawaza labda tuachane halafu nimuachie kila kitu na watoto mimi nianze maisha upya ili asisononeke sana? Nimejilazimsha kumpenda nimeshindwa mimi ninampenda B kuliko yeye (Mungu anajua)
B, yeye huwa simlaumu maana alishanipa option kwamba tuachane lakini kwa ajili ya amani yangu ya moyo nilimwambia siwezi kuishi bila yeye, na ukweli kabisa maana alivyonipa background yake tu maumivu niliyoyapata mpaka nilitafuta watu wa kunishauri hao wakubwa wa mitandaoni, na nimeshindwa kuachana nae. Hilo swala tu la kusikia yupo na mwanaume mwingine au aliwahi kuwa na mwanaume mwingine huwa linaniumiza sana yaani kumuacha aende naumia(sipo tayari kumuona na mwanaume mwingine) na akibaki pia sometimes huwa naumia(ananikumbusha mambo ya nyuma, jinsi nilivyoshinwa kujiamini na kumtongoza). Mbaya zaidi yeye pia huwa ananiambia anajihisi kupata dhambi kuishi na mume wa mtu, na anahisi anashindwa kushea mapenzi, huwa nambembeleza anatulia lakini huwa anajikaza tu najua.
Huwa nipo njia panda kwa kweli, nina kazi nzuri lakini likija swala la familia huwa napata shida, yaani kuna muda mpaka nashindwa kufanya kazi vizuri.
NB Kuna vitu wewe unaweza kuhisi ni vidogo lakini mwenzako vikamtesa

MAJUTO KUHUSU B WANGU

Nachoweza kusisitiza hapa, mwanamke ukimpenda saa zingine bora usimuulize background yake, hicho ndio kinachonifanya niumie mpaka nitaingia kaburini.
Basi katika kuulizana ulizana akanitajia mwanaume wake wa kwanza (namjua), na anasema hakumpenda sana ila ni ushawishi tu wa ndugu zake jamaa aliutumia na ndio maana hata hawakudumu nae, akaja jamaa mwingine alikuja kuwa msanii na ndiye alimzalisha mtoto. Mwingine ni boda boda (alitake advantage baada ya B kuzalishwa na msanii na hakuwa anamjali)..........

MAUMIVU YANGU
Kinachoniuma mpaka leo, B nilikuwa namchukulia labda ni malaya sababu ya uzuri wake na kutakwa na wengi lakini aliweza kujitunza (kutunza usichana wake) mpaka miaka hiyo mimi namuona mkubwa, means ningempata ningekuwa ndio mwanaume wake wa kwanza. Hapa maumivu ambayo huwa nayapata hayaelezeki, huwa natamani siku zirudi nyuma mpaka ule mwaka tu kisha nimtongoze.
Yaani boda boda(inauma japo ni binadamu mwenzangu, mnisamehe) alinizidi ujasiri mimi wa kuongea na mwanamke ninayempenda mpaka akatembea nae(yaani mara nyingine nikionaga boda boda huwa wananikumbusha jamaa aliyetembea na B wangu, imagine kuna bodaboda wangapi)
Nashindwa kumruhusu B aendelee na maisha yake sababu nampenda lakini pia kubaki kwake mara nyingine ananikumbusha nyuma hivyo naumia pia.
Siwezi kabisa kusikiliza nyimbo za huyo msanii, hata iwe nzuri vipi sababu tu alizaa na B wangu, kuna memory huwa zinanijia mbaya sababu namjua kitambo.
Nimejikuta siwezi kabisa kurudi mtaani kwetu tena au hometown sababu nahisi kuna vitu nitavikumbuka vitaniumiza
Ubaya kila ninachopitia ni uzembe wangu mwenyewe, sina wa kumlaumu, nilishaongea na watu mbali mbali lakini nimeshindwa kupona maumivu ya B wangu, mara nyingine nahisi bora nisingemuona au kuishi nae mtaa mmoja.
JUTO KUU ni kwa nini sikumtongoza mapema B wangu, pengine ningeepusha mengi.
Mmh.. Kuna kitu kikubwa Sana nimejifunza na nimepata majibu ya swali ambalo lilikosa jibu ... ..

Maisha haya.. .. Ila mkuu nakushauri Kama unahisi huyo B Naye anakupenda kweli.. basi jifunze kumpenda pale mlipoanzia huo wivu wa kulia na past.. utakutesa na kukufanya uje fanya ya kushangaza!

Ukishindwa hapo rejesha tu Mpira kwa kipa... .. jifunze kumpenda muishi..
 
Mmh.. Kuna kitu kikubwa Sana nimejifunza na nimepata majibu ya swali ambalo lilikosa jibu ... ..

Maisha haya.. .. Ila mkuu nakushauri Kama unahisi huyo B Naye anakupenda kweli.. basi jifunze kumpenda pale mlipoanzia huo wivu wa kulia na past.. utakutesa na kukufanya uje fanya ya kushangaza!

Ukishindwa hapo rejesha tu Mpira kwa kipa... .. jifunze kumpenda muishi..
Akhsante mkuu, B ananipenda sana na sina shaka juu ya hilo lakini hayupo comfortable sababu mimi ni mume wa mtu, na mimi kumruhusu aende naona ntaumia zaidi, yaani mara nyingine huwa tunalia tu chumbani mimi na B wangu, tunamkufuru Mungu (kwa nini asingetukutanisha mapema tu) na mara nyingine tunashukuru (pengine kilichotokea ndio usalama wetu)
 
Mkuu hii story yako imenigusa sana hasa haya maneno yako ''Nlichojifunza ukimuelewa mtu usikawie kusema, mwambie akatae mwenyewe na kujifanya unaogopa tongoza kuhofia utapoteza urafiki wenu nimejua ni ujinga.'' Ni ukweli kabisa, yaani ni swala la kuzingatia sana mimi mpaka leo nina kazi nzuri namshukuru Mungu lakini sina furaha upande wa familia japo nilioa.
Ipo hivi, kulikuwa na binti nampenda sana, tulikuwa tunaishi nae mtaa mmoja,(kutokana na mambo ya shule mimi sikuishi sana nyumbani) ila nikirudi tulikuwa tunaonana japo hatukuwahi kuongea. Basi bwana ile kutokujiamini sababu kuna kitu fulani nilikuwa napitia(ugonjwa) changanya na ugumu wa maisha home basi mzee nikawa sina comfidence ya kumface na kumwambia kama nampenda kutokana na jinsi alivyo japo nilimzidi kiumri lakini nilijiona kabisa sitaweza kumhudumia au angenikataa kutokana nilivyokuwa kipindi hicho(ugonjwa wa ngozi), miaka ikaenda, nikawa vizuri tu na michongo ikatiki hatimaye ukafika muda wa kutaka kuoa.
Nishakua kwenye mahusiano kadhaa lakini ulipofika muda wa kuoa nikakumbuka kuna mwanamke huwa nampenda na kwa sababu nipo vizuri basi sasa ndio muda muafaka wa kuongea nae. (Kitu ninachojuta sikutaka kumtuma mtu nilitaka kwenda kuongea nae face to mimi mwenyewe na bahati mbaya sikuwa na connection kwao). Basi kila nikirudi kitaa kutaka tuongee simpati, mara tunapishana muda nao ukaenda sana, mwisho nikakata tamaa, nikajisemea kwanza mtu mwenyewe kwa jinsi alivyo (mzuri na anatakwa na wengi, pengine malaya tu na mpenda pesa) na sijawahi kuongea nae pengine ashapata bwana na kuolewa au ana mahusiano yake.
Basi me nikaendelea na maisha yangu, muda ukafika nikaoa(japo sikumpenda sana mke wangu kama B, nilifanya kama formality tu) maisha yakaendelea, japo sijawahi kuacha kumfuatilia B, iwe nipo mtaani au sipo. Basi siku moja nikiwa kikazi huko mikoa ya kaskazini, ghafla namuona dada ambaye nahisi namjua, kumsogelea hivi nikaita jina B, kageuka nikajitambulisha pale mpaka akanikumbuka tukabadilishana namba kisha baadaye tukawasiliana na kukubaliana siku ya pili tukutane kwa ajili ya kupiga story zaidi.
Siku imefika mzee, nikamtoa out B wangu(nilikuwa najisemea hivyo toka kitaa sababu niliamini yeye ni wangu), katika kupiga story nikamchana live mimi nilikuwa nakukubali toka kitambo B ila niliogopa kukwambia kutokana na hivi na hivi, .....alicheka sana akajibu uoga wako tu mimi sipo kama ulivyodhani (ni kweli nilikuja kujua baadaye) nikapiga mistari pale mtoto mzuri kaelewa bila shida kabisa japo hakusema lakini indirect nikaona tayari, sikuona ajabu sababu ya ile trust ya kujuana toka kitaa. Kwa huo mji alikuwa anakaa kwa ndugu yake basi ikawa nikimhitaji tunakutana na penzi likashamiri, wakati huo mambo ya kama nimeoa sijamwambia ila nilimwambia kuwa kuna mwanamke nilizaa nae tu hivyo tunalea mtoto, na yeye pia aliniambia kwamba alikuwa na mtoto tayari(moja moja hapo japo roho iliumia hapa kusikia kazalishwa).Kazi ikaisha nikarudi nilikotoka
Baada ya muda kule kaskazini kulitokea nafasi na kwa sababu mimi nilikuwa naenda mara kwa mara boss akapendekeza mimi ndio nihamie kule(Nilifurahi sana kwenda kuungana na B wangu) , basi ikawa kama nimemuoa B wangu, pika na kupakua, kahama kwa ndugu yake kahamia kwangu tunaishi. Maisha yameendelea, mtoto wake alimuacha kule hometown tulipokua tunakaa kwa wazee wake. Sababu nampenda niliishi na B wangu vizuri sana mpaka akawa ananilaumu kwa nini sikumwambia/sikumtongoza mapema kipindi kile maana kapitia mengi sana.Nikamwambia B wangu, mipango ya Mungu huwezi jua maana yeye ndio mpangaji wa kila kitu.
SIRI YA KUOA INAFICHUKA
Njia ya muongo fupi, siku ya siku ikawadia na katika makosa nilyofanya ni kumruhusu B kuwa anapekua simu yangu nikiwepo (nilitaka asiwe na wasiwasi na mimi japo nilipanga kuja kumuelezea ukweli baadaye kidogo). Kuna namna nillisave namba ya wife ili asishtuke lakini kumbe alishaanza kuchunguza kuhusu ile namba maana aliona mawasiliano ni mara kwa mara, haipiti siku lazima tuongee. Basi kumbe ile simu yangu huwa nikifuta meseji za kawaida zinakaa recycle bin kwanza mpaka uki clear ndio zinaondoka. Kumbe kupekua pekua kwake kaenda mpaka recycle bin na kaona kila kitu. Nakumbuka siku hiyo nimetoka kuoga nakuta mtu analia kwa uchungu namuuliza nini, anasema kwa nini hukuniambia kama umeoa? Kwa nini mimi maisha yangu ya mapenzi ni mikosi tu, kwa nini.... alilia kwa uchungu sana B wangu mpaka na mimi nikalia, tulilia sana siku hiyo kwa uchungu.
Tulibembelezana, maumivu yakapungua kidogo lakini tukaapa kutoachana kwa namna yoyote ile. To be honest sikuwa nampenda mke wangu kama ninavyompenda B (Mungu anajua na anisamehe). Na hilo swala la kutompenda hata yeye huwa ananiambia toka mwanzo. Imebidi niishi na wanawake wawili bila kupenda japo sikuwahi kuwaza au kupanga hivyo. Mke mmoja na mchepuko mmoja wa kudumu, B wangu. Nilijitahidi kuachana na B lakini ilishindikana, na yeye ndio huwa anasema tuachane tu kila mtu aendelee na maisha yake lakini nimeshindwa (hajaniroga ni mapenzi yangu tu kwake) kuona anaishi na mwanaume mwingine.
Kinachonisumbua sijui wanaooa wanawake wengi wanaweza vipi, mimi nimeshindwa kubalance upendo. Nimeelemea kwa B zaidi kuliko mke wangu(shame on me). Mke wangu kanizalia watoto wawili wazuri lakini nawapenda wanangu sio yeye, roho huwa inanisuta sana, yaani Binti wa watu anajitahidi kutimiza majukumu kama mke lakini wapi. Mahitaji namtimizia pamoja na watoto hakuna malalamiko, malalamiko yapo kwenye upendo tu. Mbaya zaidi ilibidi nimueleze tu kwamba naishi na mwanamke mwingine huku nilipo maana sikuhamia na familia, alilia sana na huwa anaumia sana.
Sistahili kuwa na huyu dada kwa ninayomfanyia kiukweli, angekuwa mwingine angeshaniacha lakini yupo na mimi tu, saa zingine mpaka huwa nahisi atakuja kuniua maana uvumilivu huu sio wa kawaida. Huwa nawaza labda tuachane halafu nimuachie kila kitu na watoto mimi nianze maisha upya ili asisononeke sana? Nimejilazimsha kumpenda nimeshindwa mimi ninampenda B kuliko yeye (Mungu anajua)
B, yeye huwa simlaumu maana alishanipa option kwamba tuachane lakini kwa ajili ya amani yangu ya moyo nilimwambia siwezi kuishi bila yeye, na ukweli kabisa maana alivyonipa background yake tu maumivu niliyoyapata mpaka nilitafuta watu wa kunishauri hao wakubwa wa mitandaoni, na nimeshindwa kuachana nae. Hilo swala tu la kusikia yupo na mwanaume mwingine au aliwahi kuwa na mwanaume mwingine huwa linaniumiza sana yaani kumuacha aende naumia(sipo tayari kumuona na mwanaume mwingine) na akibaki pia sometimes huwa naumia(ananikumbusha mambo ya nyuma, jinsi nilivyoshinwa kujiamini na kumtongoza). Mbaya zaidi yeye pia huwa ananiambia anajihisi kupata dhambi kuishi na mume wa mtu, na anahisi anashindwa kushea mapenzi, huwa nambembeleza anatulia lakini huwa anajikaza tu najua.
Huwa nipo njia panda kwa kweli, nina kazi nzuri lakini likija swala la familia huwa napata shida, yaani kuna muda mpaka nashindwa kufanya kazi vizuri.
NB Kuna vitu wewe unaweza kuhisi ni vidogo lakini mwenzako vikamtesa

MAJUTO KUHUSU B WANGU

Nachoweza kusisitiza hapa, mwanamke ukimpenda saa zingine bora usimuulize background yake, hicho ndio kinachonifanya niumie mpaka nitaingia kaburini.
Basi katika kuulizana ulizana akanitajia mwanaume wake wa kwanza (namjua), na anasema hakumpenda sana ila ni ushawishi tu wa ndugu zake jamaa aliutumia na ndio maana hata hawakudumu nae, akaja jamaa mwingine alikuja kuwa msanii na ndiye alimzalisha mtoto. Mwingine ni boda boda (alitake advantage baada ya B kuzalishwa na msanii na hakuwa anamjali)..........

MAUMIVU YANGU
Kinachoniuma mpaka leo, B nilikuwa namchukulia labda ni malaya sababu ya uzuri wake na kutakwa na wengi lakini aliweza kujitunza (kutunza usichana wake) mpaka miaka hiyo mimi namuona mkubwa, means ningempata ningekuwa ndio mwanaume wake wa kwanza. Hapa maumivu ambayo huwa nayapata hayaelezeki, huwa natamani siku zirudi nyuma mpaka ule mwaka tu kisha nimtongoze (Na huo mwaka huwa sipendi kuusikia, yaani kama kuna tukio lilifanyika huo mwaka au kuna kitu cha kukumbuka huo mwaka huwa sitaki kukumbuka wala kusikia).
Yaani boda boda(inauma japo ni binadamu mwenzangu, mnisamehe) alinizidi ujasiri mimi wa kuongea na mwanamke ninayempenda mpaka akatembea nae(yaani mara nyingine nikionaga boda boda huwa wananikumbusha jamaa aliyetembea na B wangu, imagine kuna bodaboda wangapi)
Nashindwa kumruhusu B aendelee na maisha yake sababu nampenda lakini pia kubaki kwake mara nyingine ananikumbusha nyuma hivyo naumia pia.
Siwezi kabisa kusikiliza nyimbo za huyo msanii, hata iwe nzuri vipi sababu tu alizaa na B wangu, kuna memory huwa zinanijia mbaya sababu namjua kitambo.
Nimejikuta siwezi kabisa kurudi mtaani kwetu tena au hometown sababu nahisi kuna vitu nitavikumbuka vitaniumiza
Ubaya kila ninachopitia ni uzembe wangu mwenyewe, sina wa kumlaumu, nilishaongea na watu mbali mbali lakini nimeshindwa kupona maumivu ya B wangu, mara nyingine nahisi bora nisingemuona au kuishi nae mtaa mmoja.
JUTO KUU ni kwa nini sikumtongoza mapema B wangu, pengine ningeepusha mengi.
Hii ikihutaji uzi wa peke yake. Halafu tushee majuto yanayofanana ya style hii tuu.
 
Miaka 14 nyuma ndo nilikuwa najuta ila sasa nashukuru joto limeshuka kidogo.

Ilikuwa siku ya jumamosi mchana binamu yangu mdogo (sehemu kubwa ya maisha yangu hawa ndo wamenilea) akatuma ujumbe “dogo leo nitaenda kwenye sherehe jioni uje nyumbani kulinda nyumba”hii ilikuwa ni mazoea akipata dharura mimi naenda na huu mwaka ndo alikuwa ameowa so walikuwa wakitoka nyumba inabaki tupu ilikuwa nje ya mji Kimara huko so mimi saa kumi kumi nikatoka zangu Mabibo kuelekea,kufika 18:00 jioni nao wakaondoka kumbe mule ndani yupo h/girl ameletwa kumsaidia mkewe jamaa pindi atakapojifungua.

Nikazuga zuga nje moja moja hivi nikaingia ndani,nje hakukaliki mbu pia usalama mdogo so nikaenda kukaa sebuleni nachat na demu wangu (na ndiye mke wangu sasa,nilikuwaga na kisimu changu Nokia kipindi hiko) tukawa tunatumiana sms za kijinga jinga ooh nimeku-miss sijui ukiwa uchi ooh natamani saizi ningekuwa nimelala kwenye kifua chako na blah blah blahs nyiingi kama mnavyojua tena uanaume kichwa cha chini mawimbi yakasoma so kadiri mule ndani anavyopita pita yule bint nikawa napiga hesabu zangu kichwani.

Nikainuka nikajifanya kwenda kumsaidia kazi jikoni ili nimzoee na nimuone vizuri nikakuta ni wa kawaida sana,sura ngumu body yenyewe ya kuazima nikaghairi nikarudi kukaa ile kusoma tena sms za demu wangu nikajikuta namuona huyu mbona mzuri tu japo kwa siku mojaa!muda wa kula nikaingiza vocal ahadi nyiingi mara nitakuowa akaniambia mimi hapa sikuja kuolewa nimekuja mara moja tu dada kaniambia nije nimsaidie rafiki yake akijifungua(mke wa binamu)na kwamba anasubiri kuendelea na kidato cha tano na sita.

To cut a long story nilikuja ku-force usiku kabla ya saa sita tena kwenye corridor maana nilijisemea kwa vyovyote huyu atanisemea kwa boss zake wakirudi ngoja nijipoze hata ikitokea akasema lawama ziwe na sababu,ujinga zaidi niliiloweka mbichi dk mbili sijui tatu zile mixer kung’atwa nikasikia chwaa chwaaa chwaaaaa nikaachia akaondoka zake chumbani kwake kujifungia huku analia hata nilipomgongea kwamba nataka nimuombe msamaha lengo nimuweke tena akagoma,asubuhi kulivyokucha nikamuona alivyo nikawa natafuta sababu ipi hasa ilinifanya nimtake huyu?halafu nikawa namkunjia sura ile kihuni kwamba mimi siyo wa mchezo mchezo....wee nilijuta!!!miezi mitatu mbele nikaitwa Kimara kusema nilichomfanya mwanafunzi ikawa sasa siyo house girl tena,kufika naambiwa ana mimba nilitamani ardhi ipasuke case ameishikilia dada yake mwanasheria aliyesoma na mke wa binamu.

At age 22 kunikuta Ustawi wa Jamii nahudhuria kesi sijatoa matunzo ya mtoto ilikuwa kawaida sana kuna siku nimefika pale nikakuta waliokuwa hawajanizoea wakadhani nimekuja kushtaki wazazi wamekataa kunitunza niliposema kilichonipeleka wakaninyanyapaa sana,hii issue ilinichanganya maana dada mtu alikuwa anatia pressure nimetia mwanafunzi mimba na kwamba anaweza kunifunga wakati wowote matumizi yakilega lega na usawa wenyewe ulikuwa mbovu na binamu yangu akaniambia ameomba kesi isifike polisi akijifungua atamsomesha chochote atakachokita mimi nikomae na malezi zaidi ya hapo hana msaada mwengine.

Kuna siku nililetewa barua za wito tatu mfululizo kutoka Ustawi wa Jamii hiyo ya tatu aliyeniletea (nilikuwa nakimbia kimbia situlii sehemu moja kwa kuogopa kukamatwa) alinikuta katikati ya zebra crossing navuka upande wa pili akanikabidhi cheti na vitisho juu kwamba safari hii nikichomoka sitapata kiboko kama hiyo aisee sikuweza kuhimili nilikaa katikati ya barabara nikapiga ”Uuuwiiiiii” huku machozi yakinitoka shukuru hakukuwa na gari karibu wakaja watu kunitoa naburuzwa miguu haina nguvu wakaniuliza unaumwa nikadanganya nasumbuliwa na tumbo.

Ila sasa dogo amekua nikimuona nafarijika sana mama yake nae alisomeshwa nursing na ameshaolewa huko ila huu msoto sitakaa niusahau.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti uwiiiiii..
 
Back
Top Bottom