TFF na Bodi ya ligi kushirikiana na Azam TV
wamebadilisha muda wa mechi kuanza za ligi kuu
Tanzania bara kwa kigezo kuwa ziishe mapema ili watu
waweze shuhudia ligi kuu ya spain "La Liga",badala ya
saa 10: 00 alasiri kuanzia kesho mechi zitaanza saa 9 :
00 alasiri jambo lililopingwa vikali na vilabu shiriki!
huku Yanga na Simba wakitoa tamko kuwa wapo tayari
kususia mechi za ligi.
wamebadilisha muda wa mechi kuanza za ligi kuu
Tanzania bara kwa kigezo kuwa ziishe mapema ili watu
waweze shuhudia ligi kuu ya spain "La Liga",badala ya
saa 10: 00 alasiri kuanzia kesho mechi zitaanza saa 9 :
00 alasiri jambo lililopingwa vikali na vilabu shiriki!
huku Yanga na Simba wakitoa tamko kuwa wapo tayari
kususia mechi za ligi.