njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Mkiambiwa manara ni duuude kuuubwa mnabisha, huyo karia akae kwa kutulia yaani kagusa waya wa moto na kama ikifika jumatatu hajamuomba radhi manara ajue hadi week ijayo atatolewa kwenye hiko cheo
Jijini Bujumbura wana yanga kindakindaki wameandaa maandamano ya amani kuelekea ubalozi wa Tanzania kutaka afisa wa team yao manara atolewe kifungoni mara moja la sivyo watachukua maamuzi magumu
Wanamkubali sana , wanamkubali hekima zake na wamekataa kuamini kwamba afisa wao ni kichaaa mropokaji
wanakumbuka jinsi alivyosaidia mechi yao vs cameroon jijini dar es salaam ilivyotapika pomoni baada ya nchi yao ya Burundi kumkabidhi jukumu hilo mr Manara ambaye kwa miaka hii amelipaisha soka la Tanzania na kusababisha ligi ya bongo iiingize teams 4 michezo ya CAF
***Hongereni Yanga of Burundi hayo ndiyo maamuzi ya kiume siyo uongozi lelemama wa Hersi said kanyamaza kimya badala ya kuingiza wanayanga mtaani kwa maandamano wasimamishe shughuli zote za kijamii hadi manara aachiwe
Jijini Bujumbura wana yanga kindakindaki wameandaa maandamano ya amani kuelekea ubalozi wa Tanzania kutaka afisa wa team yao manara atolewe kifungoni mara moja la sivyo watachukua maamuzi magumu
Wanamkubali sana , wanamkubali hekima zake na wamekataa kuamini kwamba afisa wao ni kichaaa mropokaji
wanakumbuka jinsi alivyosaidia mechi yao vs cameroon jijini dar es salaam ilivyotapika pomoni baada ya nchi yao ya Burundi kumkabidhi jukumu hilo mr Manara ambaye kwa miaka hii amelipaisha soka la Tanzania na kusababisha ligi ya bongo iiingize teams 4 michezo ya CAF
***Hongereni Yanga of Burundi hayo ndiyo maamuzi ya kiume siyo uongozi lelemama wa Hersi said kanyamaza kimya badala ya kuingiza wanayanga mtaani kwa maandamano wasimamishe shughuli zote za kijamii hadi manara aachiwe