Kisa Morrison, mtendaji mkuu wa Simba Senzo Mazingisa ajiuzuru wadhifa wake.

eddy brown

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
414
Reaction score
314
Kutokana na ujanja uliofanyika wa kumsajili aliekua mchezaji wa Yanga Bernard Morrison, bila ya yeye kuhusishwa kumepelekea mtendaji huyo mkuu kuachia ngazi ili kutunza CV yake isiharibiwe, kwani anadai kitakacho tokea siku za usoni kuhusiana na swala hilo itakua ni aibu kubwa kwa klabu hio, na yeye hataki kuwa mmoja wapo. Stay tune.
 
Mkuu tujuze zaida kama yajayo yatatufurahisha
 
Tumeshasema Hii kuendesha timu Kama kijiwe kunaliabisha Taifa Zima.. wale hujiita watoto wa Mjini lakini ukweli ni wapuuzi wa Mjini na washamba wa future maana mwisho wao ni hype za siku mbili tatu na ujanja ujanja na sifa za mtaani Ila hawaendi popote... Senzo was good for Simba... Mo kateleza. Future is systematic sio blahblah wanazofanya. Wanasimba tuwakatae.

Farewell Senzo.
 
Unaongea kishabiki sana. Mipango ya kwenda Yanga ilikuwepo hata kabla ya Morisson kusajiliwa juzi.

Niliwahi kuandika hapa kwenye huu uzi Yanga, GSM kuweni makini na ajira/usajili wa kocha msaidizi wiki moja hata kabla Morisson hajafikiriwa kuja Simba
 
Huyo CEO alikuwa anasubiri muda ufike aende utopolo ,walikuwa washamalizana na GSM.Huwezi sema eti ni kwasababu ya morisson.Hiyo ni mipango iliyokuwa inasubiri wakati mwafaka.KAFUATA MASLAHI NA SI KINGINE.SENZO ATAPITA LAKINI SIMBA SC mnyama mkali atadumu.
 
... kwani anadai kitakacho tokea siku za usoni kuhusiana na swala hilo itakua ni aibu kubwa kwa klabu hio, na yeye hataki kuwa mmoja wapo. Stay tune.
Hayo ameyasema wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…