Kisa wivu wa mapenzi, mume adaiwa kumuua mke kisha kumtenganisha kichwa, kiwiliwili na viungo vingine

Taifa liiitishe maombi kwa ajili ya kanda ya ziwa

Matukio yamezid huko kati ya matukio 5 yanayoripotiwa humu jf bas 4 hutoka huko
 
Huyu mbususu aliipenda kweli, viungo vingine kavitupa majarubani lakini mbususu kaizika nyumbani.
🤣🤣🤣🤣Nyie acheni bwan kutombewaa mke inauma....ukikumbuka kiwa kuna wakati de libolo ilichomoka na mke akairudisha mwenyewe.....unaua kabisa
 
🤣🤣🤣🤣Nyie acheni bwan kutombewaa mke inauma....ukikumbuka kiwa kuna wakati de libolo ilichomoka na mke akairudisha mwenyewe.....unaua kabisa
Wanaume wabinafsi sana nyie, wanawake tungekuwa na roho hizo asingebaki mwanaume mtaani, tungewaekea sumu kwenye ugali mfe....nyie mnachepuka hadharani.....acheni wanawake nao wabadilishe ladha, muhimu hainaga last seen Ile🤣
 
Wivu pro max.

Jamaa kakatakata viungo yeye katishwa kidogo katapika kila kitu.

Huo kweli ni wivu wa mapenzi
 
Wanaume wabinafsi sana nyie, wanawake tungekuwa na roho hizo asingebaki mwanaume mtaani, tungewaekea sumu kwenye ugali mfe....nyie mnachepuka hadharani.....acheni wanawake nao wabadilishe ladha, muhimu hainaga last seen Ile🤣
Wala sio ubinafsi bwana wewe. Yaani wee mie nahudumia mbususu hiyi inakuwa safi unameremeta alafu u aenda kuigawa tuu...hapana bwana. Wee kama mbususu unahihudumia mwenyewe mbona ata uwape wanaume mia wala sitakuwa na presha nawe.
 
Wanawake chagua moja.
1. Usijiingize kwenye ndoa kwa kupima upepo.

2. Ukiingia kwenye ndoa punguza nyegere
 
Kwa nini haya mambo huwezi kuyasikia sana pwani?
 
Madhara ya mange kimambi yatajitokeza sana nchi hii kwani anawafundisha umalaya wanawake na wao wanamuiga na kuambukizana hadi kwa watu wa vijijini.

Kuna kizazi cha ajabu sana cha wanawake kimeibuka siku hizi ingawa siungi mkono wao kuadhibiwa kwa kuchinjwa ama kupigwa risasi.

Huwa ni bora usiingie kwenye ndoa iwapo unahisi bado kuna mambo hujakamilisha.

Kama taifa tukemee kwa nguvu mambo yanayochochea mmomonyoko wa maadili katika mahusiano na ndoa.Lakini tukilaani tu mauaji,hayataisha kabisa.Ndio kwanza hata haya mauaji yanakuja kama wimbi.
Nendeni tu mkaangalie comments za wanaume kwenye uzi wa mauaji ya side ndio mtajua kwamba hali si shwari.
 
Wanawake mdio mkome kama mumeo hakupeleki moto sepa hamia kwa anekupeleka moto sio unatuzwa na mumeo unapendeza afu unagawa mbususu huko mtakwisha.... Watu washavurugwa sa hv
 
Inasikitisha sana.
Ukiona mambo ndani ya ndoa hayaendi, ni vizuri muachane kwa amani.
Wazee wetu waliweza kuishi na Mama zetu mpaka wakazeeka pamoja tujifunze kutoka kwao.
Mama zetu waliandaliwa kuwatii waume zao na kulea familia. Dada zetu siku hizi wanaandaliwa kuwatawala waume zao. Kitchen party wansfundishwa kukata kiuno na siyo kumnyenyekea mume. Haya mambo yataendelea unless turudi kwenye midingi waliyoitumia wazee wetu.
 
Kanda ya ziwa kunanii.. Na usiombee awe mweupe wivu unazidi
 
Hii Hatari Sana Lakini Maisha Lazima Yaendelee Tu
 
Wanaume wabinafsi sana nyie, wanawake tungekuwa na roho hizo asingebaki mwanaume mtaani, tungewaekea sumu kwenye ugali mfe....nyie mnachepuka hadharani.....acheni wanawake nao wabadilishe ladha, muhimu hainaga last seen Ile🤣

Hapana kwa jinsi hali ilivyo na Magonjwa kila kona utakuwa unaangamiza familia yako mwenyewe.
Ukishaona hiyo hali ya uaminifu haipo ndani ya ndoa basi kuna tatizo.
Wanandoa wanaojielewa sidhani kama kuna mtu anaweza waza huo upuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…