Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
- Thread starter
-
- #41
Kwahiyo kwa sasa unakipata na kukitumia kwa urahisi??Ukiongea kisamvu natamani niseme lakini najua nitajulikana hivyo sisemi. Watu tumeenda mpaka kusaka mbegu mpaka nchi za watu, kisa, tulipo hakilimwi. Nilishalima kisamvu kwenye pipa nchi fulani nikamwonjesha mwenye nyumba wangu, siku naonodoka alipiga marufuku mtu asiguse. Kisamvu ni ugonjwa wangu ila ina maana nina nutrients fulani nazimiss kwenye mwil zinazonifanya nikitafute sana. Unavyoona mama mwenye mimba anakula udongo ndo mimi na kisamvu which means there are vitamins I am looking for from those leaves. Nilipandisha miti kwenye ndege lakini watu wa airport huku ughaibuni walinielewa na walijua ni mumu kwa mumu nchi jirani ila Ulaya nisingefika.
kitakuwa hicho-hichoπππtofauti upishi tuu
Oh yeahππππππ
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"Baby chuma Kisamvu!"
"Baby chuma Kisamvu!"
"Baby chuma Kisamvu!"
"Haya... Haya.... Waonyesheeee!
"Baby chuma Kisamvu!"
"Baby chuma Kisamvu!"
Q Chilla!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mim nlijua hiki"Baby chuma Kisamvu!"
"Baby chuma Kisamvu!"
"Baby chuma Kisamvu!"
"Haya... Haya.... Waonyesheeee!
"Baby chuma Kisamvu!"
"Baby chuma Kisamvu!"
Q Chilla!
Sent using Jamii Forums mobile app
Lol,.ntajitahidi basi kunogesha na video siku moja,.πJinsi uliivyoelezea umenifanya kama nakuona kabisa jinsi unavyoipika hiyo mboga ya Kisamvu. Yaani mwili wote ulikuwa unasisimka kwa raha. Kama hautojali tupia hata ka video clip bibie.
Mmmh!! Kuna vyakula utakuwa hadi vidole vya mkono Wa kulia.. huko Ndiyo chimbuko la mapishi kama zipi za Zanzibar pizza!! Au Shawarma!!Hapana,.sifahamu vyakula vingi sana vya middle East
Ingekuwa kwenda mbinguni darling aki vile ningekaa upande wa kuume kabisaaa,.sio kwa mahanjumati hayaπππbila shaka jikoni unatokaga na clean sheet na kupiga hat-trick kipenzi
Oh yeahπππMmmh!! Kuna vyakula utakuwa hadi vidole vya mkono Wa kulia.. huko Ndiyo chimbuko la mapishi kama zipi za Zanzibar pizza!! Au Shawarma!!
Halafu kuna Ugali Wa tende!! Tende hizi hizi husongwa na kufinyangwa na Ngano ..?Aisaee ugali Wa Tende!!huongeza damu nyekundu!!Oh yeahπππ
Hahahah kuna vyakula jamanii,..ugali wa ndizi na viazi vikuu,ushawahi kuula??Halafu kuna Ugali Wa tende!! Tende hizi hizi husongwa na kufinyangwa na Ngano ..?Aisaee ugali Wa Tende!!huongeza damu nyekundu!!
ushaenda mbona, inabidi unifundishe loveIngekuwa kwenda mbinguni darling aki vile ningekaa upande wa kuume kabisaaa,.sio kwa mahanjumati haya
aaaaaaaahh!!!Halafu kuna Ugali Wa tende!! Tende hizi hizi husongwa na kufinyangwa na Ngano ..?Aisaee ugali Wa Tende!!huongeza damu nyekundu!!
Nipe appointment tuu,ndio kazi yangu hii mm..ushaenda mbona, inabidi unifundishe love
Nipe appointment tuu,ndio kazi yangu hii mm..