Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwa nini kisamvu huwa hawaoshi? Na mtoa mada kwenye hatua zako sijaona kuosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah hakika,.popote unaishi hata majani ya mpapai unaweza yafanya mboga na yakanoga...eti eeh?? basi usijali mpenzi, mwanamke akijua kupika anatembea kifua mbele atii
Mie naomba tu useme yote juu yangu, hata ukiniita kichwa, as long as its because of you , nataka nile chakula chako, kisha naww unpe sababu ya kuoga na kuchafua mashuka yaan kukukula [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji6]Nyau wewe wa kijivu,.una nini lakini leo...umefumaniwa eee [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilisahau kuliweka hilo,.lakini wengine wanaosha kama mboga zingine na si vibaya,.halina mwiko hilo..Hivi kwa nini kisamvu huwa hawaoshi? Na mtoa mada kwenye hatua zako sijaona kuosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Me niko nanjilinji siku hizi,..we nenda tuu wakukupokea hawakosekani😜😜Mie naomba tu useme yote juu yangu, hata ukiniita kichwa, as long as its because of you , nataka nile chakula chako, kisha naww unpe sababu ya kuoga na kuchafua mashuka yaan kukukula [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji6]
Kua na Huruma MwanaJF mwenzangu [emoji6] [emoji6] nakuja Dar sina wakunipokea hahahaha
MwanaJF mwenzangu, tusifanyiane ivo , bila shaka kamoyo kako nikm ilivo mboga ya kisanvu ulioipika [emoji7] [emoji7]Me niko nanjilinji siku hizi,..we nenda tuu wakukupokea hawakosekani[emoji12][emoji12]
Msome Mother Confessor hapa chini [emoji116][emoji116][emoji116]sio kweli wanaoshaga bana
Wadudu warukao na ndege wanaweka uchafu wao humoNilisahau kuliweka hilo,.lakini wengine wanaosha kama mboga zingine na si vibaya,.halina mwiko hilo..
Ila nadhani wengi hawaoshi kwa sababu wanaamini mboga ya juu si rahisi kupata uchafu kama mchicha au matembele,mvua zikinyesha tunaamini zinasafishika vizuri,na hata usipoosha hukuti mchanga kwenye kisamvu labda vyombo utakavyotumia viwe na michanga....all in all kuosha ni vizuri zaidi.
🏃🏃🏃🏃🏃🏃loohMwanaJF mwenzangu, tusifanyiane ivo , bila shaka kamoyo kako nikm ilivo mboga ya kisanvu ulioipika [emoji7] [emoji7]
Naja ukouko , nikifika tuuu..unikumbatie kwa miguu
😀😀😀ndio maana nikasema kuosha ni vizuri zaidi,.japo kiuhalisia wengi hatuoshi kisamvu,..Wengi hawaoshiMsome Mother Confessor hapa chini [emoji116][emoji116][emoji116]Wadudu warukao na ndege wanaweka uchafu wao humo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah hakika,.popote unaishi hata majani ya mpapai unaweza yafanya mboga na yakanoga...
Ujue mimi kisamvu nimeanza kula mjini hapa, nilikuwa nakula kilichopikwa na wengine mimi sikuwahi kupika na nikatkea kukipenda kweli. Sasa kuna huyu jirani yangu siku ya kwanza akasema njoo tuchume kisamvu nikafurahi kweli nikasema nakipenda sana, kweli tukachuma kwenda kutwanga sasa lahaulaaa kinatiwa kwenye kinu bila kuoshwa...nilikula kwa tabu sana. Tatizo ni kwamba tangu siku hiyo jirani akipika kisamvu lazima anigawie kusema kweli huwa sili nakimwaga, na ninatafuta njia ya kumwambia asiwe ananipa nakosa kabisa sijui nifanyeje.[emoji3][emoji3][emoji3]ndio maana nikasema kuosha ni vizuri zaidi,.japo kiuhalisia wengi hatuoshi kisamvu,..
Mmmh!! Hupenda vinumbu ( sweet potatoes) sharti viwe vyekundu. Ndani..hizo vina faida nyingi!!Hahahah kuna vyakula jamanii,..ugali wa ndizi na viazi vikuu,ushawahi kuula??
Halafu ujue ugalu Wa tende huwa. Hauharibiki waweza Laa nao hata miezi mawili ukaula bila shida!! Muhimu unaishi fadhi vizuri!!aaaaaaaahh!!!
Mie pia hukipika hivyo kasoro carrots tu.Safi
Mie huwa nakichemsha
Kikianza kuwiva nakatia kitunguu maji
Naacha vinachemkia
Naweka karoti (box shape)
Naacha kidogo
Naweka nazi ya kwanza
Kisha nazi ya pili
Nachemsha mpaka kikauke...
Nimekimiss Leo nikipike lol
Usisahau kitunguu swaumu na ntwiri Kasie MatataSafi
Mie huwa nakichemsha
Kikianza kuwiva nakatia kitunguu maji
Naacha vinachemkia
Naweka karoti (box shape)
Naacha kidogo
Naweka nazi ya kwanza
Kisha nazi ya pili
Nachemsha mpaka kikauke...
Nimekimiss Leo nikipike lol
natamani niuguse siku moja ila sukari ya tende itanishindaHalafu ujue ugalu Wa tende huwa. Hauharibiki waweza Laa nao hata miezi mawili ukaula bila shida!! Muhimu unaishi fadhi vizuri!!
Mwambie tuu awe anaosha jamanii..Ujue mimi kisamvu nimeanza kula mjini hapa, nilikuwa nakula kilichopikwa na wengine mimi sikuwahi kupika na nikatkea kukipenda kweli. Sasa kuna huyu jirani yangu siku ya kwanza akasema njoo tuchume kisamvu nikafurahi kweli nikasema nakipenda sana, kweli tukachuma kwenda kutwanga sasa lahaulaaa kinatiwa kwenye kinu bila kuoshwa...nilikula kwa tabu sana. Tatizo ni kwamba tangu siku hiyo jirani akipika kisamvu lazima anigawie kusema kweli huwa sili nakimwaga, na ninatafuta njia ya kumwambia asiwe ananipa nakosa kabisa sijui nifanyeje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hell No😃😃😃hahahaaa angalia usitengeneze sumu mama