Tetesi: Kisandu ni kweli kajiengua Kanisa Katoliki

Tetesi: Kisandu ni kweli kajiengua Kanisa Katoliki

Mu
Hivi ni muitaliano? Hata mimi nilipomuona nilimshangaa nikadhani sio mkatoliki maana mapadre wa katoliki wamezoeleka kuonekana na magari ya kifahari ila yeye yupo na baiskeli tu.

Kuhusu kwenda mbinguni kama ulivyomtabiria ni suala ambalo lipo nje ya hisia za kibinadamu. Ni Mungu tu ndiye achunguzaye mioyo ya watu anafahamu mtumishi wake wa kweli ni nani kwa sababu wapo watu wanaoweza kuigiza matendo ili tu wapate kutazamwa na watu.
Muitaliano,tena mtoto wa DownTown Rome City
 
Akae tu kimya.... wengi tulitoka kwenye ukatoliki kimya kimya.... wengine tulifikia hatua za juu kabisa kuwa mapadre.... tumeacha ndugu huko ambao ni maaskofu so hiyo sio ishu...
..haaa mambo ya scorpion haya ....machoni tiii...Daah haya ndugu
 
mtoto wa mnyonge acha kutuchezea akili na hiyo kisandu wako... umeendabulokole nanleo umekuja na thread ya kuponda ulokole... we utakuwa unalaaana
 
Kuzaliwa 1980 alafu unagombea urais mbona hujatimiza miaka 40.
 
Mjinga tu huyu anatafta kiki za msimu. Unajitoa kwenye dini eti kulipa kisasi. Sasa unajikomoa wewe au ao watawa waliokukana?
 
mshan jr;
Umemwona wapi hapa?? Jamaa kajitoa kwa makeke hataki kuyafanya mambo kwa siri ka sisi wengine. By the way, who is Kisandu? Ana nini hadi kutangazia Katoliki kuwa wasimfuate fuate?? Kwani yeye ndo wa kwanza kuuacha Ukatoliki??
Aelewe kuwa Papa Pius wa X alisema katika mtaguso mkuu kuwa, mtu yeyote atakaye uasi Ukatoliki, akifa ni motoni milele hivyo Kisandu jiandae kabisa kwenda motoni. Tuulize tulioukulia huo Ukatoliki
Mkuu, design Kama unantisha hivi..
 
Mkuu, design Kama unantisha hivi..

Mkuu;
Mbona sijakutisha?? Someni ukatoliki kabla hujafanya chochote. Kwanza, hata weye, sasa kwakuwa umeshasikia kuwa kuna dini katoliki, usipoamua kujiunga nayo, kwa maneno ya huyo Papa Pius X, atii, mahali unakojipeleka mwenyewe ni jihanam ya moto bila hata kupitia Tuharani uombewe misa.
 
Hakiks huyu Kisandu ni mental case! Msaidieni jamani, msimcheke! Anasikitisha. Anahitaji msaada wa haraka wa kisaikolojia. An marafiki wanaojitambua kweli?
 
Back
Top Bottom