Muitaliano,tena mtoto wa DownTown Rome CityHivi ni muitaliano? Hata mimi nilipomuona nilimshangaa nikadhani sio mkatoliki maana mapadre wa katoliki wamezoeleka kuonekana na magari ya kifahari ila yeye yupo na baiskeli tu.
Kuhusu kwenda mbinguni kama ulivyomtabiria ni suala ambalo lipo nje ya hisia za kibinadamu. Ni Mungu tu ndiye achunguzaye mioyo ya watu anafahamu mtumishi wake wa kweli ni nani kwa sababu wapo watu wanaoweza kuigiza matendo ili tu wapate kutazamwa na watu.
..haaa mambo ya scorpion haya ....machoni tiii...Daah haya nduguAkae tu kimya.... wengi tulitoka kwenye ukatoliki kimya kimya.... wengine tulifikia hatua za juu kabisa kuwa mapadre.... tumeacha ndugu huko ambao ni maaskofu so hiyo sio ishu...
Lakini anazungumza kiswahili vizuri tu? Vipi kuhusu mavazi huwa anayo yenye rangi tofauti au ni hayo hayo tu?Mu
Muitaliano,tena mtoto wa DownTown Rome City
Mkuu, design Kama unantisha hivi..mshan jr;
Umemwona wapi hapa?? Jamaa kajitoa kwa makeke hataki kuyafanya mambo kwa siri ka sisi wengine. By the way, who is Kisandu? Ana nini hadi kutangazia Katoliki kuwa wasimfuate fuate?? Kwani yeye ndo wa kwanza kuuacha Ukatoliki??
Aelewe kuwa Papa Pius wa X alisema katika mtaguso mkuu kuwa, mtu yeyote atakaye uasi Ukatoliki, akifa ni motoni milele hivyo Kisandu jiandae kabisa kwenda motoni. Tuulize tulioukulia huo Ukatoliki
Mkuu, design Kama unantisha hivi..