Tetesi: Kisandu ni kweli kajiengua Kanisa Katoliki

laana kuu na.ikakitafune kizazi chako na kuzipiga mapigo makuu kazi zako zote hapa duniani
 
Acha Kanisa Katoliki la mitume chini ya Mwamba Petro lihubiri injili,ktk nyie waasi endeleeni Lkn limeshawapa misingi ya kiroho! Hilo kanisa unalotamani life,lingekufa hata baada ya miaka baada ya Kristo Yesu,ungemjua Mungu? Nenda salama acha Mungu awe juu ya Kanisa lake milele na Milele. Hili si Kanisa la mtu yeyote ni la Mungu aliye juu aliyeziumba Mbingu na Chini. Na liko na mlezi Mama Bikira Maria. Ameen
 
Naanza kumuona kibwetere
Kweli hasa! Ila kabla ya hilo huyo ameona fursa.Anaandaa mazingira ya kupiga pesa na ndiyo maana tangazo la kujitoa kwenye Ukatoliki kalileta huku JF.Siku sio nyingi utaona humu matangazo yake ya "Mtume-Mheshimiwa-Nabii-Askofu Mkuu Kisandu".Pyuuu!

Amechoka kusubiria ajira za Magufuli!
 
Hatari iliyopo ni kwamba atapata waumini
 
Mgonjwa mwingine asiyejijua. Ukatoliki ni hiari kuufuata. Tatizo ni mtu anapoamua kuwa mtawa ili apone njaa hapo. Hakuna mitaji katika dini Za kweli.
 
Wengine kwa fitna za huyo pengooo tuliachishwa upadre leo tupo tena tunafurahi kwa kuukosa, iwe uburuda. Chaaa! ote naiyo, na ufilie mbali huo ukaatoliki
Mkuu mie Mkatoliki na kulingana na mafundisho niliyopewa/kuzwa ktk Katoliki kila kitu kinaenda kwa mapenzi ya Mungu,mimi kukosa hiki wewe kupata kile ni kawaida natakiwa kushukuru na kuomba Mungu anionyeshe njia ninini kingine nikafanye sio kulaumu,mnaolaumu kuukosa Upadre au mlishawahi kuwa mkaachishwa Mungu hakuwachagua mumtumikie kwa njia hiyo ila kuna njia nyengine aliwaandalia but kutokana na kukengeuka kwenu mme-paanic na kuanza kulaum na sichelei kusema kuhisi au hata kuamini kwamba mlikuwa mnatafuta maslahi binafsi ndani ya Kanisa so mlipotolewa mnalaum na kushusha kashfa.samahani sana kaka kama nitakukwaza kwa post yangu.
 
"A No body not somebody" is desperate for a social recognition and identity. Vitisho na pumba nyingi. Hivi kuna watu walikuwa wanamjua huyu jamaa kabla ya uzi huu?
 
Hivi wewe ni mkatoliki kweli?! Na kama ni kweli utakuwa hujakamilisha sakramenti zote ndio maana hujaimarika!
Roho Mtakatifu akushukie na kukuondolea upofu huu.
 
Atakuwa ameona fursa ya kupiga hela huko! Sasa huku Buruda ungepata nini? Wewe nenda tu mimi nitafia Ukatoliki! Unyasi ukitoka kwenye nyumba haiwezi kuvuja!
 
Alivuma sana kipindi kuelekea uchaguzi mkuu alikuwa kada wa CHADEMA kisha akahama
Ahaa kumbe basi sio kitu cha ajabu anaonekana anapenda sana kahama hama hii yote kutafuta maslahi,shukrani mkuu kunijuza hili.
 
Huyu Deo inaonekana anataka kuanzisha kikundi chake cha kitapeli kama walivyo kina Rwakatare, Lusekelo, etc. Hiyo ya kujitangaza kuhama kanisa katoliki ni kutafuta kiki tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…