Tetesi: Kisandu ni kweli kajiengua Kanisa Katoliki

karibu sana UPENTEKOSTENI,,,
huku tunaongozwa na ROHO MT ukitaka kujiongoza imekula kwako,,,
suala la wachungaji kuogopa kukubatiza sina uhakika nalo
 
Mbona aina mantiki kwani yeye ni nani kila siku watu wanajitoa katoliki na kwenda kufuata miujiza kwa gwajima mwisho wa siku wanarudi catholic
Mwambie, walijitoa akina Martin Luther, Emmanuel Milingo, Nkwera na wengine kibao. Kanisa Katoliki lina watoto wengi wa kutosha kila kukicha wanabatizwa mamia kama siyo maelfu.
 
Mmh[emoji15][emoji15], kwani papa Ndo nani wa kutolea maamuzi maisha ya mtu???? Soma neno la MUNGU uelewe Na upate nguvu ya roho mtakatifu uujue ukweli....
[emoji3][emoji3][emoji3]Eti ukiasi ukatoliki unaenda motoni[emoji3][emoji3][emoji3]pole sana kaka... tafuta kweli Na kweli hiyo itakuwaje huru....
 
karibu sana UPENTEKOSTENI,,,
huku tunaongozwa na ROHO MT ukitaka kujiongoza imekula kwako,,,
suala la wachungaji kuogopa kukubatiza sina uhakika nalo

Hata mm nime doubts hapo.... atakuwa Na shida mahala....nampa moyo aitafute kweli ya MUNGU aliye hai awe huru
 
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]Haya matangazo ata Yesu aliyakataza,
mwache ajitangaze tuu
Hakimu ni Mungu....
na sio lazima cc tujue kua kahama, labda anatafuta kiki tuuu
 
Huyu anaumwa japo atapinga kwa nguvu zote kwakuwa ugonjwa wake unahusika na tatizo la kiakili na kisaikolojia na ufahamu
Ni kweli huyu bwana ana matatizo, sababu zake hazijitoshelezi kabisa kuhama dhehebu la dini na kutengana na itikadi za kiimani.
Kwa mwendo huu utasikia kahama Tanzania kisa alipatwa na mkasa wa kunyanyaswa na DC.
 
Watanzania wengi ni vichaa.Huyu ni wa kwanza.Pole kwa stress mpendwa,ndio maisha yenyewe
 
Huyu nae!!
 
Uamuzi wa kuhama Kanisa sio mpya mbona wamehama wengi toka zamani kilichonishitua ni hilo la kujibatiza kwa nadhani sijawahi kulisoma popote ktk biblia kwamba kuna aliyejibatiza.
 
Huyu jamaa nadhani ana pepo la KUHAMA....anahitaji DELIVERENCE.
 
Rubbish. Ondoeni huu uzi waungwana
 
kuna wakatoliki zaidi ya bilion 1.2 na wanaongezeka kila siku hiyo kisandu hana impact
 
MH. MAGU sitaki kusema nakuhusisha moja kwa moja na hili swala la huyu ndugu kudata, ila,

NAHISI UNAHUSIKA.
 
Laana hiyo
 


kabila ya mchanganyiko msukuma na mnyamwdzi..hili ndilo kabila gani?
 
Dhambi kubwa iliyomfanya ata shetani kuasi ni PRIDE, jeuri, kiburi. Kitakuponza , Mara ujipe mamlaka , who are you? Utawa hukumaliza unataka utambulike kama ulikuwa mtawa , pale Muhimbili Kuna madaktari wengi tu wa magonjwa ya akili, kaanze clinic pale kabla haijawa too late. Na wala usiogope kuitwa kichaa, ni ugonjwa wako, ukiutambua mapema kupona inakuwa rahisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…