Kisanduku cheusi cha ndege ya Chama iliyochenjiwa gia angani 2015 chapatikana rasmi

Kisanduku cheusi cha ndege ya Chama iliyochenjiwa gia angani 2015 chapatikana rasmi

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Ilikuwa mbwembwe za hali ya juu kwa rubani mkuu wa shirika la ndege ufipa alipoamua kujiokotea abiria na wengine hakuwajua tabia zao, Aliondoa ndege hiyo uwanja wa ufipa.

Ndege hiyo ya mabua wapo walioshauri rubani watu uliochukua wengine wana silaha wanaweza kukukaba na ni lazima wachunguzwe mienendo na tabia zao huko walikotoka. Rubani alikuwa mzito wa kupokea ushauri, mshauri mkuu akaamua kuachia ngazi,

Rubani akatangaza anabadili gia angani mlio mbaya wa mashine uliotoka kwenye hiyo ndege na moshi ni hatari, tukaanza kushangaa kuona abiria mmoja baada ya mwingine wakishuka kwa maparuchuti kuelekea kule walikotoka.

Ubishi wa rubani umepelekea shirika la ufipa kupata hasara na kufilisika kabisa, wiki moja iliyopita abiria mmoja mzee alionekana mchoovu nae amerudi na kupelekwa hospitali kupata matibabu. Juzi ya ijumaa aliyekuwa mhudumu wa ndege nae amerudi rasmi nyumbani kujivua nyazifa zake zote na kulaumu rubani

Watendaji wakuu wa shirika la ndege la ufipa baada ya kupata taarifa kuwa kisanduku cheusi kimepatikana wamejifungia kwenye ukumbi mmoja kuja na tamko la kutaka wasimamizi wakuu wa anga waje kama wasimamizi huru bila kupendelea mashirika mengine, hivi sasa rubani mkuu na kiongozi mkuu baada ya kubadili uongozi anajitayarisha kwa safari mpya na rubani kutoka ulaya alikokwenda kutibiwa baada ya ajali .

Swali ni jee shirika litamudu baada ya kuwachwa hoi na mtikisiko?

Yetu macho ni ngumu kopo kuligeuza kuwa pipa!
 
Hivi tohoo sahihi ni chenchiwa au chenjiwa maana nadhani imetokana na neno change?
 
Haya tumekusikia ila muda utatowa majibu sahhi.
 
Mr. Zero anautaka uwenyekiti taifa, na Membe ni Mgombea kitu URAIS CCM 2020.
 
Ilikuwa mbwembwe za hali ya juu kwa rubani mkuu wa shirika la ndege ufipa alipoamua kujiokotea abiria na wengine hakuwajua tabia zao, Aliondoa ndege hiyo uwanja wa ufipa.

Ndege hiyo ya mabua wapo walioshauri rubani watu uliochukua wengine wana silaha wanaweza kukukaba na ni lazima wachunguzwe mienendo na tabia zao huko walikotoka. Rubani alikuwa mzito wa kupokea ushauri, mshauri mkuu akaamua kuachia ngazi,

Rubani akatangaza anabadili gia angani mlio mbaya wa mashine uliotoka kwenye hiyo ndege na moshi ni hatari, tukaanza kushangaa kuona abiria mmoja baada ya mwingine wakishuka kwa maparuchuti kuelekea kule walikotoka.

Ubishi wa rubani umepelekea shirika la ufipa kupata hasara na kufilisika kabisa, wiki moja iliyopita abiria mmoja mzee alionekana mchoovu nae amerudi na kupelekwa hospitali kupata matibabu. Juzi ya ijumaa aliyekuwa mhudumu wa ndege nae amerudi rasmi nyumbani kujivua nyazifa zake zote na kulaumu rubani

Watendaji wakuu wa shirika la ndege la ufipa baada ya kupata taarifa kuwa kisanduku cheusi kimepatikana wamejifungia kwenye ukumbi mmoja kuja na tamko la kutaka wasimamizi wakuu wa anga waje kama wasimamizi huru bila kupendelea mashirika mengine, hivi sasa rubani mkuu na kiongozi mkuu baada ya kubadili uongozi anajitayarisha kwa safari mpya na rubani kutoka ulaya alikokwenda kutibiwa baada ya ajali .

Swali ni jee shirika litamudu baada ya kuwachwa hoi na mtikisiko?

Yetu macho ni ngumu kopo kuligeuza kuwa pipa!
Kwa akili hizi lazima uendelee kuwa masikini wakati unaowatetea wanakula mema ya nchi na familia zao
 
Kelele za nini si mruhusu siasa zenye ushindani tuone kama kweli ndege ya ufipa imepata ajali ama la?Dhana ya mabadiliko ni ideology iliyoko kwa watanzania na sio kwa hao watu wachache uliowataja.Ndani na nje ya CCM na CDM wote wanahitaji mabadiliko!
 
Back
Top Bottom