Kisanduku cheusi cha ndege ya Chama iliyochenjiwa gia angani 2015 chapatikana rasmi

Kisanduku cheusi cha ndege ya Chama iliyochenjiwa gia angani 2015 chapatikana rasmi

Waganga ni nyie na ramli zenu wenyewe wapo kimya!
Hivi hapo ulikuwa unakwenda wapi?
tapatalk_1581931461443.jpeg


In God we Trust
 
Hivi zile billion mbili lowasa alizonunulia chadema zilikuwa zake binafsi au fungu lilitoka ccm?
 
Sisi wana ccm tunahitaji kuanzia sasa walio onyesha nia ya kugombea urais basi wafanye mdaharo kwa kutumia kiingereza

In God we Trust
Watanzania hawasemi kiingereza mdahalo huo kaufanyie uingereza kama unataka kugombea huko!
 
Sisi wanachama wa ccm na watanzania kwa ujumla tunahitaji huo mdaharo wa kizungu
Watanzania hawasemi kiingereza mdahalo huo kaufanyie uingereza kama unataka kugombea huko!

In God we Trust
 
nahisi kuna siri kubwa sana ccm wanaficha kuhusu uchaguzi wa 2015! huenda 'walipigwa vibaya sana sana' ndio maana hawataki upinzani ufanye mikutano kwa kohofia kipigo kibaya zaidi 2020
 
Hapana mkuu watu wa kupimwa mkojo na akili ni hao vijana wa lumumba akiwemo mtoa post hapo juu
basi lowasa ni fala wa mwisho kabisa yaani ununue kitu bilioni mbili halafu ukiachie bure kwa mbowe, nashauri akapimwe akili huyu Mzee.

In God we Trust
 
Back
Top Bottom