Achukue tu atafyekwa kwa kukosa vigezo
Uwenyekiti upi sasa!
Hivi hapo ulikuwa unakwenda wapi?Waganga ni nyie na ramli zenu wenyewe wapo kimya!
Zitto ndio amerudi, tubaijuka yupo kwa kagera!
Hatuwezi kuwa wote sawa tunaburuzwa na udikteta wa mfalme mswati ufipa!
R.i.p Chacha wangwe!
Huenda anasubiri idhini toka CCM.Hivi yale majina ya waliopokea pesa za ESCROW yamekwisha wekwa hadharani na Gavana wa BOT au badooo. ....!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni zile zilizotangazwa mwembe yanga!Hivi zile billion mbili lowasa alizonunulia chadema zilikuwa zake binafsi au fungu lilitoka ccm?
Huyu unamzungumzia mashinji!
Watanzania hawasemi kiingereza mdahalo huo kaufanyie uingereza kama unataka kugombea huko!Sisi wana ccm tunahitaji kuanzia sasa walio onyesha nia ya kugombea urais basi wafanye mdaharo kwa kutumia kiingereza
In God we Trust
basi lowasa ni fala wa mwisho kabisa yaani ununue kitu bilioni mbili halafu ukiachie bure kwa mbowe, nashauri akapimwe akili huyu Mzee.Ni zile zilizotangazwa mwembe yanga!
Watanzania hawasemi kiingereza mdahalo huo kaufanyie uingereza kama unataka kugombea huko!
Huyu unamzungumzia mashinji!
basi lowasa ni fala wa mwisho kabisa yaani ununue kitu bilioni mbili halafu ukiachie bure kwa mbowe, nashauri akapimwe akili huyu Mzee.
Viroba sio vizuri sasa unapigaje lami deki!Hapana mkuu watu wa kupimwa mkojo na akili ni hao vijana wa lumumba akiwemo mtoa post hapo juu
In God we Trust
Naona mmeamua kuanzisha timu!
Naona mmeamua kuanzisha timu!View attachment 1361785