Viroba sio vizuri sasa unapigaje lami deki!View attachment 1361784
Mr. Zero anautaka uwenyekiti taifa, na Membe ni Mgombea kitu URAIS CCM 2020.
Ulipiga deki upitishe hii mashine!Huyo aliyepigiwa deki tayari mmeshampokea ndani ya chama cha mafisadi ccm
In God we Trust
Sio bundi kuwalilia ila safari ni mkosi kuliliwa na hiki kiumbe!Wewe umevurugwa siyo bure
In God we Trust
Wewe ukialikwa kula huwezi sema umeshiba unahema juujuu!
Wewe ukialikwa kula huwezi sema umeshiba unahema juujuu!View attachment 1361873
Sio bundi kuwalilia ila safari ni mkosi kuliliwa na hiki kiumbe!View attachment 1361872
Umevurugwa kijana sio bure!Naona juzi ndiyo chakubanga kakufundisha attachment basi hatupumui
In God we Trust
Umevurugwa kijana sio bure!
Nafikiri umeacha kuhudhuria kliniki mirembe!Nani kavurugwa mimi au wewe uliyejifunza attachment basi ndiyo umefanya kama umepata degree ya kwanza ya siasa
In God we Trust
KudadadeeekiNafikiri umeacha kuhudhuria kliniki mirembe!
Unamzungumzia Membe yupi?!ewaaa, Sasa Membe sio mgeni atachukua form ya kugombea nafasi ya mwenyekiti wa CCM taifa.
Je aligombea?