Pre GE2025 Kisarawe kumekucha, DC. Magoti atangaza yeye sio DC wa "mpeche mpeche", watakaoleta mchezo atawang'oa visogo

Pre GE2025 Kisarawe kumekucha, DC. Magoti atangaza yeye sio DC wa "mpeche mpeche", watakaoleta mchezo atawang'oa visogo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Ni kama vile DC Magoti anaona kama wananchi wanadhani yeye sio DC, lakini kawadhihirishia kwamba yeye sio DC wa Mpeche Mpeche, ni DC wa kimataifa, na kwamba wasidhani kwa umbile yeye ni mtoto, bali ni mtu mzima, na Rais kamteua.

N.B: nadhani anaweza kufanya tukio kubwa, pengine baya, ili wananchi waamini yeye ni DC, lakini naona wananchi tayari wanajua yeye ni DC.

Namuona kama anatamani afanye kitu kibaya ili watu waamini kama yeye ni DC, lakini akifikiri aina ya uongozi wa CCM na serikali uliopo, ni kama anajizuia akijua watamla kichwa, sasa angekuwa DC awamu ya tano, nadhani OCD angekuwa na kazi ya kusomba watu na kuwaweka rumande kila siku.

Magoti anatoa kauli hizi wakati muda mfupi tu uliopita, Nape Nnauye "kateleza" kwenye kauli, akaliwa kichwa.

Pia jamii ya watu wa Pwani ni moderate sana kitabia, wasiopenda kauli kali na rabsha, ni watu wa staha na subra, hivyo anapoteza uwiano wa tabia ya jamii na uongozi wake. Hata Samia hajawahi kutangaza kuwakata visogo watanzania, hata kama wamekosea, ila anahimiza utawala wa sheria na "4R"

Labda wangemtumpa Serengeti au Tarime huko akakutane na nginjanginja zenye uso mkavu kama zimemeza nusu kilo ya pilipili kichaa, ukiweka wanaweka.

Wengi wa watu wa Pwani hawana asili ya kuwa na visogo virefu kama ndugu zetu waha au wachaga, sasa akivikata hata hivyo vilivyopo, sijui wataonekanaje
 

Attachments

  • Screenshot_20240725-060453.jpg
    Screenshot_20240725-060453.jpg
    565.1 KB · Views: 5
Mhe Magoti ajiamini tu kuwa yeye ni DC...
Aache kauli za vitisho maana powers belongs to the people.
I understand anaweza akawa social' akawa na utani kwa hadhara lakini anaweza kuifanya hiyo bila vitisho.
Nchi hii ilipofika haiitaji vitisho.
 
View attachment 3051307Ni kama vile DC Magoti anaona kama wananchi wanadhani yeye sio DC, lakini kawadhihirishia kwamba yeye sio DC wa Mpeche Mpeche, ni DC wa kimataifa, na kwamba wasidhani kwa umbile yeye ni mtoto, bali ni mtu mzima, na Rais kamteua.

N.B: nadhani anaweza kufanya tukio kubwa, pengine baya, ili wananchi waamini yeye ni DC, lakini naona wananchi tayari wanajua yeye ni DC.
View attachment 3051306
Namuona kama anatamani afanye kitu kibaya ili watu waamini kama yeye ni DC, lakini akifikiri aina ya uongozi wa CCM na serikali uliopo, ni kama anajizuia akijua watamla kichwa, sasa angekuwa DC awamu ya tano, nadhani OCD angekuwa na kazi ya kusomba watu na kuwaweka rumande kila siku.

Magoti anatoa kauli hizi wakati muda mfupi tu uliopita, Nape Nnauye "kateleza" kwenye kauli, akaliwa kichwa.

Pia jamii ya watu wa Pwani ni moderate sana kitabia, wasiopenda kauli kabu na rabsha, hivyo anapoteza uwiano wa tabia ya jamii na uongozi wake. Labda wangemtumpa Serengeti au Tarime huko akakutane na nginjanginja zenye uso mkavu
Samahani sana kama Nitawakwaza wengine kwa hiki nitakachokiandika hapa ila kwa Wabobezi wa Saikolojia watanielewa vyema.

Ni kwamba Kuteua Mtu mwenye Changamoto ya Kimaumbile kama alivyo DC huyu huku pia akiwa hajapitia katika Shule ya Uongozi ili kupikwa Kimaadili ni Hatari mno kwa Serikali iliyomteua na wale ambao anawaongoza.

Kinachomtesa huyu DC ni kwamba anahisi Anadharaulika na Watu kutokana na Changamoto yake ya Kimaumbile aliyonayo hivyo analazimisha awe anataka kufanya mambo makubwa na ya Hatari ili atume Ujumbe kwa Watu kuwa yupo, anaweza na kaaminiwa wakati kumbe Kiuhalisia anaharibu.

Ukiwa makini na kama umekuwa Ukimfuatilia tokea Kateuliwa huko kuwa DC utagundua kuwa ni Mtu Mkorofi, Katili ( Roho Mbaya ) Kiasili, Muhuni ( mpenda Wanawake na Kuwakaza sana ) na Jeuri na hivi vyote kwa namna moja vimechangiwa na Changamoto hiyo ya Kimaumbile aliyonayo.

Najua hatakiwi tena katika hii Awamu kwakuwa alikuwa akiaminiwa na hata Kutumika kwa Umafia fulani na Awamu ya Hayati hivyo Katupwa huko kama DC ili tu Kuondoa Lawama na ukizingatia pia Wanaogopa kumtoa haraka kwakuwa kwa kuwa Kwake karibu na Hayati na Awamu yake ile na kwa Umafia alioufanya ana Siri nyingi za Kimatukio hivyo wanaona bora wawe nae ili asije akachomoa betri kama alivyofanya Magoma kwa Yanga SC.

Ikimpendeza namshauri Aliyemteua amuondoe haraka hapo alipo na kama anampenda na anataka Kumtumia basi awe nae tu Ikulu kama alivyo na Sofia Mjema, ila katika Uongozi ( tena kwa Cheo cha DC ) kama alichonacho huyu si tu hawezi lakini pia hafai na pia ni HATARI mno kuwa na Kiongozi ambaye hata haoni Aibu kutamka hadharani kuwa Wengine ANGEWANYONGA / ANGEWANYONGELEA mbali kwani anadhihirisha jinsi asivyo na Uvumilivu, Busara na Hekima pia.

Na GENTAMYCINE sijawahi Kutabiri kitu kwa Mtazamo wangu mpana wa Masuala Mtambuka na kisije Kutokea hivyo naona kabisa kuna Tukio baya na kubwa huyu DC anaenda Kulifanya ama kwa Makusudi au kwa kutaka Sifa ila litamuharibia Yeye, Rais na hata Chama chake Tawala cha CCM.

Nashauri Rais amuondoe hapo upesi.
 
Samahani sana kama Nitawakwaza wengine kwa hiki nitakachokiandika hapa ila kwa Wabobezi wa Saikolojia watanielewa vyema.

Ni kwamba Kuteua Mtu mwenye Changamoto ya Kimaumbile kama alivyo DC huyu huku pia akiwa hajapitia katika Shule ya Uongozi ili kupikwa Kimaadili ni Hatari mno kwa Serikali iliyomteua na wale ambao anawaongoza.

Kinachomtesa huyu DC ni kwamba anahisi Anadharaulika na Watu kutokana na Changamoto yake ya Kimaumbile aliyonayo hivyo analazimisha awe anataka kufanya mambo makubwa na ya Hatari ili atume Ujumbe kwa Watu kuwa yupo, anaweza na kaaminiwa wakati kumbe Kiuhalisia anaharibu.

Ukiwa makini na kama umekuwa Ukimfuatilia tokea Kateuliwa huko kuwa DC utagundua kuwa ni Mtu Mkorofi, Katili ( Roho Mbaya ) Kiasili, Muhuni ( mpenda Wanawake na Kuwakaza sana ) na Jeuri na hivi vyote kwa namna moja vimechangiwa na Changamoto hiyo ya Kimaumbile aliyonayo.

Najua hatakiwi tena katika hii Awamu kwakuwa alikuwa akiaminiwa na hata Kutumika kwa Umafia fulani na Awamu ya Hayati hivyo Katupwa huko kama DC ili tu Kuondoa Lawama na ukizingatia pia Wanaogopa kumtoa haraka kwakuwa kwa kuwa Kwake karibu na Hayati na Awamu yake ile na kwa Umafia alioufanya ana Siri nyingi za Kimatukio hivyo wanaona bora wawe nae ili asije akachomoa betri kama alivyofanya Magoma kwa Yanga SC.

Ikimpendeza namshauri Aliyemteua amuondoe haraka hapo alipo na kama anampenda na anataka Kumtumia basi awe nae tu Ikulu kama alivyo na Sofia Mjema, ila katika Uongozi ( tena kwa Cheo cha DC ) kama alichonacho huyu si tu hawezi lakini pia hafai na pia ni HATARI mno kuwa na Kiongozi ambaye hata haoni Aibu kutamka hadharani kuwa Wengine ANGEWANYONGA / ANGEWANYONGELEA mbali kwani anadhihirisha jinsi asivyo na Uvumilivu, Busara na Hekima pia.

Na GENTAMYCINE sijawahi Kutabiri kitu kwa Mtazamo wangu mpana wa Masuala Mtambuka na kisije Kutokea hivyo naona kabisa kuna Tukio baya na kubwa huyu DC anaenda Kulifanya ama kwa Makusudi au kwa kutaka Sifa ila litamuharibia Yeye, Rais na hata Chama chake Tawala cha CCM.

Nashauri Rais amuondoe hapo upesi.
Safi sana,umeelezea uhalisia hasa wa huyo mtu jinsi alivyo ila akili ndogo hawatakuelewa,
"Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer"
 
Samahani sana kama Nitawakwaza wengine kwa hiki nitakachokiandika hapa ila kwa Wabobezi wa Saikolojia watanielewa vyema.

Ni kwamba Kuteua Mtu mwenye Changamoto ya Kimaumbile kama alivyo DC huyu huku pia akiwa hajapitia katika Shule ya Uongozi ili kupikwa Kimaadili ni Hatari mno kwa Serikali iliyomteua na wale ambao anawaongoza.

Kinachomtesa huyu DC ni kwamba anahisi Anadharaulika na Watu kutokana na Changamoto yake ya Kimaumbile aliyonayo hivyo analazimisha awe anataka kufanya mambo makubwa na ya Hatari ili atume Ujumbe kwa Watu kuwa yupo, anaweza na kaaminiwa wakati kumbe Kiuhalisia anaharibu.

Ukiwa makini na kama umekuwa Ukimfuatilia tokea Kateuliwa huko kuwa DC utagundua kuwa ni Mtu Mkorofi, Katili ( Roho Mbaya ) Kiasili, Muhuni ( mpenda Wanawake na Kuwakaza sana ) na Jeuri na hivi vyote kwa namna moja vimechangiwa na Changamoto hiyo ya Kimaumbile aliyonayo.

Najua hatakiwi tena katika hii Awamu kwakuwa alikuwa akiaminiwa na hata Kutumika kwa Umafia fulani na Awamu ya Hayati hivyo Katupwa huko kama DC ili tu Kuondoa Lawama na ukizingatia pia Wanaogopa kumtoa haraka kwakuwa kwa kuwa Kwake karibu na Hayati na Awamu yake ile na kwa Umafia alioufanya ana Siri nyingi za Kimatukio hivyo wanaona bora wawe nae ili asije akachomoa betri kama alivyofanya Magoma kwa Yanga SC.

Ikimpendeza namshauri Aliyemteua amuondoe haraka hapo alipo na kama anampenda na anataka Kumtumia basi awe nae tu Ikulu kama alivyo na Sofia Mjema, ila katika Uongozi ( tena kwa Cheo cha DC ) kama alichonacho huyu si tu hawezi lakini pia hafai na pia ni HATARI mno kuwa na Kiongozi ambaye hata haoni Aibu kutamka hadharani kuwa Wengine ANGEWANYONGA / ANGEWANYONGELEA mbali kwani anadhihirisha jinsi asivyo na Uvumilivu, Busara na Hekima pia.

Na GENTAMYCINE sijawahi Kutabiri kitu kwa Mtazamo wangu mpana wa Masuala Mtambuka na kisije Kutokea hivyo naona kabisa kuna Tukio baya na kubwa huyu DC anaenda Kulifanya ama kwa Makusudi au kwa kutaka Sifa ila litamuharibia Yeye, Rais na hata Chama chake Tawala cha CCM.

Nashauri Rais amuondoe hapo upesi.
Ukweli mtupu !
 
Si ndio hao watu wanaokubalika machoni kwa watu kama kina mwashambwa,kale kajitu kenyewe ka magoti hata kwenye mkono hakajai na kenyewe kanalitambua hilo inawezekana Kanapitia kwenye inferiority complex.Na u-DC wake mimi naweza nikakachapa makofi
 
Back
Top Bottom