GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ni sawa na ukiwa na Mwalimu mfupi Shuleni au Darasani wengi Wao ndiyo huwa Wakali na wenye Hasira mno kwa Wanafunzi wakihisi kuwa Wanachekwa na Kudharauliwa kwa Changamoto yao ya Ufupi ( Umbilikimo ) alionao / waliyonayo.Anahisi watu wanamdharau!
He's a Psychopath.Huyu Dc huwa namuona kama hayuko sawa kichwani.
Kwa mara ya kwanza, umeongea kimantiki! Hongera sana.Samahani sana kama Nitawakwaza wengine kwa hiki nitakachokiandika hapa ila kwa Wabobezi wa Saikolojia watanielewa vyema.
Ni kwamba Kuteua Mtu mwenye Changamoto ya Kimaumbile kama alivyo DC huyu huku pia akiwa hajapitia katika Shule ya Uongozi ili kupikwa Kimaadili ni Hatari mno kwa Serikali iliyomteua na wale ambao anawaongoza.
Kinachomtesa huyu DC ni kwamba anahisi Anadharaulika na Watu kutokana na Changamoto yake ya Kimaumbile aliyonayo hivyo analazimisha awe anataka kufanya mambo makubwa na ya Hatari ili atume Ujumbe kwa Watu kuwa yupo, anaweza na kaaminiwa wakati kumbe Kiuhalisia anaharibu.
Ukiwa makini na kama umekuwa Ukimfuatilia tokea Kateuliwa huko kuwa DC utagundua kuwa ni Mtu Mkorofi, Katili ( Roho Mbaya ) Kiasili, Muhuni ( mpenda Wanawake na Kuwakaza sana ) na Jeuri na hivi vyote kwa namna moja vimechangiwa na Changamoto hiyo ya Kimaumbile aliyonayo.
Najua hatakiwi tena katika hii Awamu kwakuwa alikuwa akiaminiwa na hata Kutumika kwa Umafia fulani na Awamu ya Hayati hivyo Katupwa huko kama DC ili tu Kuondoa Lawama na ukizingatia pia Wanaogopa kumtoa haraka kwakuwa kwa kuwa Kwake karibu na Hayati na Awamu yake ile na kwa Umafia alioufanya ana Siri nyingi za Kimatukio hivyo wanaona bora wawe nae ili asije akachomoa betri kama alivyofanya Magoma kwa Yanga SC.
Ikimpendeza namshauri Aliyemteua amuondoe haraka hapo alipo na kama anampenda na anataka Kumtumia basi awe nae tu Ikulu kama alivyo na Sofia Mjema, ila katika Uongozi ( tena kwa Cheo cha DC ) kama alichonacho huyu si tu hawezi lakini pia hafai na pia ni HATARI mno kuwa na Kiongozi ambaye hata haoni Aibu kutamka hadharani kuwa Wengine ANGEWANYONGA / ANGEWANYONGELEA mbali kwani anadhihirisha jinsi asivyo na Uvumilivu, Busara na Hekima pia.
Na GENTAMYCINE sijawahi Kutabiri kitu kwa Mtazamo wangu mpana wa Masuala Mtambuka na kisije Kutokea hivyo naona kabisa kuna Tukio baya na kubwa huyu DC anaenda Kulifanya ama kwa Makusudi au kwa kutaka Sifa ila litamuharibia Yeye, Rais na hata Chama chake Tawala cha CCM.
Nashauri Rais amuondoe hapo upesi.
Kiongozi badala ya kutatua matatizo ya wananchi,yeye anapeleka vitisho,kwa sasa Africa nzima huu ujinga umesalia Tanzania pekee almost nchi zote za Africa zisha ondoka hapa. Fuatulia utapata majibu.
Ni Bongo tu bado ndio kuna huu ujinga.
Mkuu,wachekeshaji siku hizi wamekua wengi sana kuliko hata wachekaji wenyewe,kila mtu ni mchekeshaji na kila mtu anatania,Wakuu, tusichukulie kila kitu personal! Binafsi nikiangalia body language yake alikuwa anatania na kufurahisha kwa kuwachombeza na amefanikiwa kuteka hadhira watu wameangua kicheko.
Si kila kazi mtu yeyote anafaa..kazi nyingi physical fitness ni sifa ya kwanza, huyu mapungufu aliyo nayo kimaumbile ndiye adui yake namba moja..hata anaowahutubia feedback wanayompa ni ya kejeli, anyway tatizo si yeye, tatizo ni waliomleta hapo!Wakuu, tusichukulie kila kitu personal! Binafsi nikiangalia body language yake alikuwa anatania na kufurahisha kwa kuwachombeza na amefanikiwa kuteka hadhira watu wameangua kicheko.
Kwa hiyo hata kwa Makamu Mwenyekiti wa zamani alikuwa anatania?Wakuu, tusichukulie kila kitu personal! Binafsi nikiangalia body language yake alikuwa anatania na kufurahisha kwa kuwachombeza na amefanikiwa kuteka hadhira watu wameangua kicheko.
š·Duh nifah niache basi sitaki kuchekaHuyu naye? Mwisho tuseme tupate dhambi bure. Afanye kazi, hizi mbwembwe hazimfai.
Waziwe akina NAPE walikuwa zaidi ya Haya. ajue Wilaya aliopo sio ya Tukuyu. usije ukasikia anazitafuta viume vyake vimeingia ndani, hata Madokta wa Marekani wanashindwa kujua nini tatizoNi kama vile DC Magoti anaona kama wananchi wanadhani yeye sio DC, lakini kawadhihirishia kwamba yeye sio DC wa Mpeche Mpeche, ni DC wa kimataifa, na kwamba wasidhani kwa umbile yeye ni mtoto, bali ni mtu mzima, na Rais kamteua.
N.B: nadhani anaweza kufanya tukio kubwa, pengine baya, ili wananchi waamini yeye ni DC, lakini naona wananchi tayari wanajua yeye ni DC.
Namuona kama anatamani afanye kitu kibaya ili watu waamini kama yeye ni DC, lakini akifikiri aina ya uongozi wa CCM na serikali uliopo, ni kama anajizuia akijua watamla kichwa, sasa angekuwa DC awamu ya tano, nadhani OCD angekuwa na kazi ya kusomba watu na kuwaweka rumande kila siku.
Magoti anatoa kauli hizi wakati muda mfupi tu uliopita, Nape Nnauye "kateleza" kwenye kauli, akaliwa kichwa.
Pia jamii ya watu wa Pwani ni moderate sana kitabia, wasiopenda kauli kali na rabsha, ni watu wa staha na subra, hivyo anapoteza uwiano wa tabia ya jamii na uongozi wake. Hata Samia hajawahi kutangaza kuwakata visogo watanzania, hata kama wamekosea, ila anahimiza utawala wa sheria na "4R"
Labda wangemtumpa Serengeti au Tarime huko akakutane na nginjanginja zenye uso mkavu kama zimemeza nusu kilo ya pilipili kichaa, ukiweka wanaweka.
Wengi wa watu wa Pwani hawana asili ya kuwa na visogo virefu kama ndugu zetu waha au wachaga, sasa akivikata hata hivyo vilivyopo, sijui wataonekanaje
Fuatilia from West Africa, Centra, South, East na North huu ujinga uko Tanzania pekee,Kiongozi badala ya kutatua matatizo ya wananchi,yeye anapeleka vitisho,
Yeye afanye kazi yake kwa weledi na ndicho kitakachompa heshima yake kwenye hiyo jamii,
Vitisho ni issue ambayo imesha pitwa na wakati.
Atembee uchi tu, hapo hakuna njia yeyote Bw. DC atasahaulika.nadhani anaweza kufanya tukio kubwa, pengine baya, ili wananchi waamini yeye ni DC, lakini naona wananchi tayari wanajua yeye ni DC.
dhambi gani tena mkuu??Huyu naye? Mwisho tuseme tupate dhambi bure. Afanye kazi, hizi mbwembwe hazimfai.
nchi haiendi popote, umeikuta na utaiwacha...hii nchi sijui inakwenda wapi!! WHY?