Pre GE2025 Kisarawe kumekucha, DC. Magoti atangaza yeye sio DC wa "mpeche mpeche", watakaoleta mchezo atawang'oa visogo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hajiamini tu, Mr Magoti kweli una chombo ila hapo siyo mahala pake. Hao wananchi wanataka kusikia maendelea ya wilaya yao na si kujisifia wewe na una mke mzuri. Sema na sauti inakuangusha sasa.
 
Atembee uchi tu, hapo hakuna njia yeyote Bw. DC atasahaulika.
πŸ˜‚, ila ukanda wa pwani kumwaga radhi kwao kawaida, tena wenyewe wanakuwa wanakuhamasisha, ukiwaambia namwaga radhi.....wao wanakujibu "huwezi...." Namwaga radhi "huwezi" ili wakupandishe stimu uanze kusaula, may be siku hiyo mke wake amchagulie boksa nzuri ambayo haijatoboka, au lastiki zake zimelegea kama VIP, akaikutia mgongoni
 
ndugu yangu kuna kumwaga radhi na kuna kibiongo. Kuna vitu vingine sio hata vya kuwazia kuviona uchi πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
NO, uyo jamaa ana akili sana, mjanja sana na ana hekima. kila anachofanya kuna target nzuri ipo na hafanyi kama kina bashite. mimi namkubali sana.
 
Huyu ni mtaalam wa kazi chafu tu, huko atasumbua sana.
 
Inferiority complex kisaikolojia, anajiinua hajiamini kwa ajili ya umbile lake.

All in all ni athari za sumu ambayo alikuwa an deal nayo dhidi ya maadui wa JIWE.
Sijui kamwachia nani KITENGO CHA SUMU πŸ˜…πŸ€”πŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…