Kisarawe: Watu 8 wavunja nyumba saa nane usiku, wabaka, waiba na kujeruhi kwa mapanga

Kisarawe: Watu 8 wavunja nyumba saa nane usiku, wabaka, waiba na kujeruhi kwa mapanga

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Kundi la watu wanaokadiriwa kuwa 8 usiku wa kuamkia Juni 4, 2022 wamevunja nyumba moja iliyopo Mtaa wa Bomani Wilayani Kisarawe Mkoani Pwani na kufanya ukatili wa kubaka, kuiba vifaa vya ndani na kujeruhi kwa mapanga na kutokomea kusikojulikana

Wahalifu hao walifunga komeo kwa nyumba za majirani ili wasiweze kutoa msaada. Majeruhi, Estem Sevenia amelazwa Hospitali ya Wilaya ya Kisarawe baada ya kucharazwa mapanga.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo amekiri kutokea kwa tukio hilo na kusema msako unaendelea kuwatafuta waliohusika na tukio hilo.

Mganga wa Zamu, Dkt. Sadi Amri amesema Estem amejeruhiwa kichwani na kwenye vidole.

Source: ITV
 
Kundi la watu wanaokadiriwa kuwa 8 usiku wa kuamkia Juni 4, 2022 wamevunja nyumba moja iliyopo Mtaa wa Bomani Wilayani Kisarawe Mkoani Pwani na kufanya ukatili wa kubaka, kuiba vifaa vya ndani na kujeruhi kwa mapanga na kutokomea kusikojulikana

Wahalifu hao walifunga komeo kwa nyumba za majirani ili wasiweze kutoa msaada. Majeruhi, Estem Sevenia amelazwa Hospitali ya Wilaya ya Kisarawe baada ya kucharazwa mapanga.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo amekiri kutokea kwa tukio hilo na kusema msako unaendelea kuwatafuta waliohusika na tukio hilo.

Mganga wa Zamu, Dkt. Sadi Amri amesema Estem amejeruhiwa kichwani na kwenye vidole.

Source: ITV
Inauma sana tu, tena sana. Pole zao wahanga...[emoji30].

Afu kuna kenge huwa wanaropoka kuwa sasa hivi hakuna mambo ya kutekana wala kuuana...[emoji25][emoji24]
 
KATIBA MPYA NDIYO SULUHISHO LA HAYO YOTE.
 
Inauma sana tu, tena sana. Pole zao wahanga...[emoji30].

Afu kuna kenge huwa wanaropoka kuwa sasa hivi hakuna mambo ya kutekana wala kuuana...[emoji25][emoji24]

Hao ni wasaka uteuzi wanahangaishwa na uchawa!
 
Kundi la watu wanaokadiriwa kuwa 8 usiku wa kuamkia Juni 4, 2022 wamevunja nyumba moja iliyopo Mtaa wa Bomani Wilayani Kisarawe Mkoani Pwani na kufanya ukatili wa kubaka, kuiba vifaa vya ndani na kujeruhi kwa mapanga na kutokomea kusikojulikana

Wahalifu hao walifunga komeo kwa nyumba za majirani ili wasiweze kutoa msaada. Majeruhi, Estem Sevenia amelazwa Hospitali ya Wilaya ya Kisarawe baada ya kucharazwa mapanga.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Pius Lutumo amekiri kutokea kwa tukio hilo na kusema msako unaendelea kuwatafuta waliohusika na tukio hilo.

Mganga wa Zamu, Dkt. Sadi Amri amesema Estem amejeruhiwa kichwani na kwenye vidole.

Source: ITV
Watu 8...!
 
Huo mtaa wa Bomani uliovamiwa ndiyo upo jirani kabisa na kambi ya jeshi?
 
Nikki wa 2 ndio kiongozi wa Ulinzi na Usalama hapo, afanye jambo hapo wahusika watiwe mbaroni.
 
Pole yao..polisi wafanye kazi yao kujua nini sababu na wawasake hao wahuni.
 
Hawa ndo tukiwafany vibaya jeshi lapolisi linatukemea kutojichukulia sheria mkononi
 
Polisi wachunguze wenye ugomvi na hiyo familia au kula hela za wanaume bila kutoa mzigo,

Ni vigumu sana sehemu yenye nyumba nyingi kama bomani, wezi wavunje waibe halafu wawe na muda kuanza kubaka kwa zamu,
Pole nyingi kwa wahanga wa tukio hilo,
 
Wanafamilia wa hiyo nyumba wapewe nafasi ya kusema ya Moyoni. Tutajua mengi.
 
duh hizi ni nyakati mbaya sana, wanadamu hawana huruma wamekua kama wanyama
 
Back
Top Bottom