KISAUNI: Mfanyabiashara atekwa, auawa baada ya familia yake kushindwa kutuma Kshs. milioni 2 za kumuokoa

KISAUNI: Mfanyabiashara atekwa, auawa baada ya familia yake kushindwa kutuma Kshs. milioni 2 za kumuokoa

Jiongeze mkuu au siku moja tembelea kenya ndio utajua Tz ni salama sana... hayo matukio machache yasikufanye utulinganishe na Kenya

Mkuu, Kenya nimetembelea si zaidi ya mara moja. Kuna wakati niliishi huko miezi sita.

Tatizo langu hapa ni kukemea kila aina ya huu uovu, iwe umefanyika Kenya au Tanzania. Sioni haja ya kuanza kushindanisha nchi gani wana unafuu.
 
Suala la albino nilekua historia huku kwetu, kwasababu hamna hoja, mumebaki kushikilia kitu kilichokwisha muda wake, vipi ninyi mlivyouwa watu ndani ya makanisa 2007, hata Mungu hamumuugopi, huo ni unyama na ushenzi uliopitiliza, Kenya na Rwanda ni nchi pekee duniani zisizojali na kuheshimu Mungu na nyumba za ibada, kwao kuuwa watu ni muhimu zaidi ya Mungu

Ujaribu kutofautisha kati ya epidemic na endemic, Tanzania tukio kama hilo la waliouliwa huko ziwani ni epidemic kwetu, tunashangaa na mkuu wa polisi anawajibika kutoa maelezo, ila huko Kenya, hata watu wakiuliwa ishirini kwa siku bado ni endemic, mnaona ni jambo la kawaida, lipo ndani ya acceptable standards, kila siku unasikia mke au mume kamuua mpenzi wake, mara school shootings, mara yule mwalimu toka Australia amepigwa risasi barabarani, mara shule zimechomwa moto wanafunzi wameuliwa na mwanafinzi mwenzao, mara walinzi wa kanisa wameuliwa huko Mombasa na silaha zao kuchukuliwa, msikilize huyu bint anavyolalamika kwamba nusu ya Kenya huko kaskazini ni mauaji tu yanayoendelea
Bably Sherman
Sasa wewe humuogopa mungu kweli? Kila siku uko Kenyan news kuwatusi Wakenya na kushabikia wakati maovu yanatokea. Kama kuna shetani, basi wewe ni ule mkubwa.
 
Unemployment rate of 60% no wonder they have one of the worst crime rates in Africa. Ila Manyangau wao wako busy kusifia paper economy, smh
 
Sasa wewe humuogopa mungu kweli? Kila siku uko Kenyan news kuwatusi Wakenya na kushabikia wakati maovu yanatokea. Kama kuna shetani, basi wewe ni ule mkubwa.
Wala hatushabikii wala kuwatusi, lengo ni kutaka kuwaonyesha ukweli halisi wa nchi yenu ilivyo, tatizo hamtaki kukubaliana na ukweli wa nchi yenu ilivyo, viongozi wenu wanawadanganya na ninyi mnashabikia hiyo hali, matokeo yake ni haya ambapo usalama unazidi kuzorota, uchumi una collapse, na umoja wa nchi yenu upo mashakani, lakini pamoja na yote haya, bado unakataa kwamba sio kweli, hivi unatumia ubongo kufikiria au unatumia matako?
 
Hiyo rank imechangiwa pakubwa na alshaabab toka Somalia !
Alshaabab wameongezea tu, Kenya haijawahi kuwa na usalama mzuri, kwa kuthibitisha hilo angalia ranking ya Kenya kuanzia 2010 na kurudi nyuma, hiyo ni kabla ya Kenya kwenda Somalia
 
Sikutegemea kwenye uzi wa huzuni kama huu uliogharimu maisha ya mtu.....umekuwa wa kubishania vitu vya kijinga......
 
Unemployment rate of 60% no wonder they have one of the worst crime rates in Africa. Ila Manyangau wao wako busy kusifia paper economy, smh
Biggest infrastructural development in Tz is a 500m Dar bridge.
Biggest Infrastractural development in the country you love to hate is 500km+ SGR...beat that alafu uje Tena tujadili, kwa sasa jaribu your LDC counterparts kama vile DRC, CAR, SS, Zambia, Zimbabwe etc.
 
Biggest infrastructural development in Tz is a 500m Dar bridge.
Biggest Infrastractural development in the country you love to hate is 500km+ SGR...beat that alafu uje Tena tujadili, kwa sasa jaribu your LDC counterparts kama vile DRC, CAR, SS, Zambia, Zimbabwe etc.
Wewe unaambiwa juu ya umasikini wa kipato unaosababisha watu kukosa chakula na malazi wewe unazungumzia reli, kama huna chakula utawezaje kulipia nauli ya hiyo train?, Usisahau kwamba hiyo pesa iliyotumika sio yenu mumeazima kwa wachina, wenyewe wanadai pesa yao
 
Wewe unaambiwa juu ya umasikini wa kipato unaosababisha watu kukosa chakula na malazi wewe unazungumzia reli, kama huna chakula utawezaje kulipia nauli ya hiyo train?, Usisahau kwamba hiyo pesa iliyotumika sio yenu mumeazima kwa wachina, wenyewe wanadai pesa yao
Kama Hanna reli chakula kitasafirishwaje kimfikie maskini?
 
Kama Hanna reli chakula kitasafirishwaje kimfikie maskini?
Kichaa sio lazima aokote makopo, majibu tu yanaweza kuonyesha wewe ni mtu wa aina gani, miaka yote Kenya haikuwa na SGR vyakula viliwafikiaje wananchi?, nchi zote zinazojitegemea kwa chakula kama Tanzania, Uganda, chakula kinawafikiaje wananchi?, 90% ya wananchi vijijini wanatumia chakula wanachozalisha wenyewe, hawahitaji kupelekewa vyakula kwa nchi kama Tanzania.
 
Back
Top Bottom