Mgoyangi
Senior Member
- Feb 6, 2008
- 184
- 9
Katika hali inayoonesha siasab za kuchekesha, baadhi ya wananchi katika mji mdogo wa Maganzo waliamua kumvisha Tshirt mbwa wakati wa maandamano ya kumlaani Mpendazoe kuhama CCM. Tshirt hizo zilizogawiwa kwa waandamanaji zikiwa na picha ya Mnec Sulemani Nchambi zilikuwa na maandishi Bandua Mpendazoe Bandika Nchambi, hali ambayo inatafsirika kuwa Mnec huyo ameanza kampeni za ubunge kabla ya muda.



