Kisheria hakuna mchezaji duniani anayeitwa Pacome wala klabu ya mpira wa miguu inayoitwa Yanga, msiingie taharuki mashabiki wa Simba

Kisheria hakuna mchezaji duniani anayeitwa Pacome wala klabu ya mpira wa miguu inayoitwa Yanga, msiingie taharuki mashabiki wa Simba

Nikiwa kama Mwanasheria Nguli, Semaji hana Kosa utopolo wamekurupuka kama wanavyokurupukaga kwenye kesi zingine walizoishia kushindwa kwa aibu kubwa
 
Mwanasheria wa Utopolo alimdanganya Mkude amshitaki Mo

Akaenda akakusanya Mawakili uchwara wenzie mahakamani wakawa wanatetemeka tu washindwa kesi
 
Mi naona ni mchezo wa trick kwa kufanya neutralizing and balancing unafanyika. Kumbuka siku kadhaa semaji wa upande ule naye aliombwa hela kwa defamation na sanda
 
Legal Profession ni moja ya taaluma tamu sana ukiielewa, Yanga imewasilisha demand letter kwa semaji letu wakidai bilioni 10 eti kwa madai alipokuwa kijiweni alimtaja Pacome anamaliza mkataba lakini Yanga ni wachawi.

Guys, msiwe mnakurupuka na kujadili mambo msiyoyajua, take trouble kuomba hata ushauri wa elimu kidogo kutoka wanasheria, kisheria hakuna mchezaji duniani anaeitwa Pacome, Pacome wako wengi duniani, kuna Pacome Zidane, Pacome Shilole, Pacome Zuchu, Pacome Kopa, Pacome Diamond na Pacome Zouazoua ambaye ni ni mchezaji wa YAnga.

Ahmed alipokuwa akitaja majina alikuwa very technical, alimtaja jina moja TU akijua madhara ya kutaja majina mawili, angetaja PAcome Zouazoua hapo angeingia matatani.Ni sawa sawa na wewe uwe na kitambulisho cha jina chenye jina la Pacome Zuzu halafu cheti chako cha form kina kina jina la Pacome Zuzu, hayo ni majina mawili tofauti.

Ahmed kisheria ataiambia mahakama kuwa hakumtaja Pacome Zouazu ila alikusudia Pacome Mzaramo and his evidence is quite admissible.

Jambo la pili duniani hakuna timu ama klabu inaitwa Yanga, nendeni kwa msajili wa vyama vya michezo mkaangalie vizuri, Ahmed kama alimtaja Yanga basi alikuwa sahihi, hakuna klabu duniani inaitwa Yanga, kuweni waelewa, Ahmed was very technical, IPO klabu duniani inaitwa Yanga African sports club.Kwahiyo YAnga na Yanga African Sports Club ya Injinia Hersi ni vitu viwili tofauti.

The court must prove beyond any reasonable doubt kwamba Ahmed aliiharibu Brand ya Yanga kama anavyoiita Ahmed wanatakiwa wathibitishe kama Ahmed aliikusudia klabu Yao.Ningeweza hapa kuweka Precedents kuonyesha kuwa walioipeleka demand notice kwa Ahmed ni matapeli TU wa kisheria wenye lengo la kumtisha semaji na kuwapa hope watu wa YAnga lakini kisheria ni rubbish

Kwahiyo ni uchafu uchafu uchafu uchafu, doggo Kamwe ndio ameyakanyaga.Enjoy
Tupe maana ya neno Sanda pia,,Sanda ni nini na linatumika wapi,,ukimaliza hapo pia utueleze kesi ya Aly kamwe ni ipi!
 
Legal Profession ni moja ya taaluma tamu sana ukiielewa, Yanga imewasilisha demand letter kwa semaji letu wakidai bilioni 10 eti kwa madai alipokuwa kijiweni alimtaja Pacome anamaliza mkataba lakini Yanga ni wachawi.

Guys, msiwe mnakurupuka na kujadili mambo msiyoyajua, take trouble kuomba hata ushauri wa elimu kidogo kutoka wanasheria, kisheria hakuna mchezaji duniani anaeitwa Pacome, Pacome wako wengi duniani, kuna Pacome Zidane, Pacome Shilole, Pacome Zuchu, Pacome Kopa, Pacome Diamond na Pacome Zouazoua ambaye ni ni mchezaji wa YAnga.

Ahmed alipokuwa akitaja majina alikuwa very technical, alimtaja jina moja TU akijua madhara ya kutaja majina mawili, angetaja PAcome Zouazoua hapo angeingia matatani.Ni sawa sawa na wewe uwe na kitambulisho cha jina chenye jina la Pacome Zuzu halafu cheti chako cha form kina kina jina la Pacome Zuzu, hayo ni majina mawili tofauti.

Ahmed kisheria ataiambia mahakama kuwa hakumtaja Pacome Zouazu ila alikusudia Pacome Mzaramo and his evidence is quite admissible.

Jambo la pili duniani hakuna timu ama klabu inaitwa Yanga, nendeni kwa msajili wa vyama vya michezo mkaangalie vizuri, Ahmed kama alimtaja Yanga basi alikuwa sahihi, hakuna klabu duniani inaitwa Yanga, kuweni waelewa, Ahmed was very technical, IPO klabu duniani inaitwa Yanga African sports club.Kwahiyo YAnga na Yanga African Sports Club ya Injinia Hersi ni vitu viwili tofauti.

The court must prove beyond any reasonable doubt kwamba Ahmed aliiharibu Brand ya Yanga kama anavyoiita Ahmed wanatakiwa wathibitishe kama Ahmed aliikusudia klabu Yao.Ningeweza hapa kuweka Precedents kuonyesha kuwa walioipeleka demand notice kwa Ahmed ni matapeli TU wa kisheria wenye lengo la kumtisha semaji na kuwapa hope watu wa YAnga lakini kisheria ni rubbish

Kwahiyo ni uchafu uchafu uchafu uchafu, doggo Kamwe ndio ameyakanyaga.Enjoy
Kaa ukijua standard of proof ya civil liability ni on the balance of probabiliy siyo beyond reasonable doubt kama criminal kwahiyo kaa kwa kutulia
 
Zumbukuku mmoja ktk one and two. Yani umeandika kana kwamba unajua sana kumbe mweupe yaani peeeee! Maelezo yako yanajigonga sana. Labda uedit. "Ahmed ally hakumtaja pacome zouzoua mchezaji wa yanga" kisha "hakuna klabu ya yanga duniani" yaani unatetea hoja yako kisha unajichanganya. Rudi shule hiyo elimu yako ya UPE/MEMKWA haijakusaidia kitu
Hivi kumbe na wewe hujui kuna akina Pacome 30 hapa bongo?

Hujui pia kuna kuku wanaitwa Yanga?

Heheheee washitaki ni Dar Young Africans....

Semaji limewapiga chenga mkajaa, lilitaja Yanga (not Dar Young Africans)..

Likataja pia pacome (not pacome Zouzoua)...

Huyo mwanasheria wenu akienda mahakamani basi itakuwa alighushi vyeti ila sio mwanasheria.

Kati ya mtoa mada na wewe, aliye na elimu ya UPE ni wewe mwenyewe 🐸wahed.
 
Mi nikiambiwa neno Yanga najua ni ule unga wa Yanga tuliotumia kupikia ugali pale zamani nilipokuwa mzee.
Ulikuwa una rangi ya manjano.
Ninavyojua hapa nchini hakuna kampuni yoyote au taasisi inaitwa Yanga.
Ila nakumbuka Kuna mfanyabiashara mmoja alitaka kuanzisha timu na kuipa jina la "Yanga Yangu" ila hakutimiza malengo yake.
 
Hivi kumbe na wewe hujui kuna akina Pacome 30 hapa bongo?

Hujui pia kuna kuku wanaitwa Yanga?

Heheheee washitaki ni Dar Young Africans....

Semaji limewapiga chenga mkajaa, lilitaja Yanga (not Dar Young Africans)..

Likataja pia pacome (not pacome Zouzoua)...

Huyo mwanasheria wenu akienda mahakamani basi itakuwa alighushi vyeti ila sio mwanasheria.

Kati ya mtoa mada na wewe, aliye na elimu ya UPE ni wewe mwenyewe
 
Guys, msiwe mnakurupuka na kujadili mambo msiyoyajua, take trouble kuomba hata ushauri wa elimu kidogo kutoka wanasheria, kisheria hakuna mchezaji duniani anaeitwa Pacome, Pacome wako wengi duniani, kuna Pacome Zidane, Pacome Shilole, Pacome Zuchu, Pacome Kopa, Pacome Diamond na Pacome Zouazoua ambaye ni ni mchezaji wa YAnga.
Umesema hakuna mchezaji anaitwa Pacome halafu unakuja kutaja list ya wachezaji wanaoitwa Pacome. Hivi una akili kweli wewe?
Hapo lazima Ahmed Ally atatakiwa aseme maelezo yake yalikuwa yanamlenga mchezaji Pacome yupi. Mbona ishu ni ndogo tu hapo? Akisema Pacome Mbonde ataulizwa anachezea timu gani huyo Pacome mbonde, raia wa nchi gani, n.k.

Kuhusu Yanga ni mara ngapi Azam tv huandika Yanga kwenye mechi? Angalia hapo Azam tv wameiandikaje?
 

Attachments

  • IMG_20241203_141042.jpg
    IMG_20241203_141042.jpg
    366.9 KB · Views: 3
Yan jamaa unawajaza ujinga wenzako vibaya mno. Unachosema kina weza kuwa utetezi ila hauna mantiki yoyote. Nenda tena kasome sheria hizo unazozijua na upate experience.
 
Wala hatuna hofu kabisa...kama mwanasheria wao bado ni yule yule......
By the way hakuna kesi hapo..
Kuna club inaitwa "Young Africans Sports club"
Kbsaa mm ndo nilikuwa nahoji, wao club Yao ni Yanga au Young Africans!?.
Wanajiita Yanga lakn makaratasi ni Young Africans.
 
Umesema hakuna mchezaji anaitwa Pacome halafu unakuja kutaja list ya wachezaji wanaoitwa Pacome. Hivi una akili kweli wewe?
Hapo lazima Ahmed Ally atatakiwa aseme maelezo yake yalikuwa yanamlenga mchezaji Pacome yupi. Mbona ishu ni ndogo tu hapo? Akisema Pacome Mbonde ataulizwa anachezea timu gani huyo Pacome mbonde, raia wa nchi gani, n.k.

Kuhusu Yanga ni mara ngapi Azam tv huandika Yanga kwenye mechi? Angalia hapo Azam tv wameiandikaje?
Kuandika haiipi uhalali wa kuwa ndo jina Hilo, jina linaangaliwa katika usajili. Mlisajili Yanga au Young!?.
Mmesajili Young Africans hata kwenye page zenu hakuna neno Yanga Kuna young
 
Kuandika haiipi uhalali wa kuwa ndo jina Hilo, jina linaangaliwa katika usajili. Mlisajili Yanga au Young!?.
Mmesajili Young Africans hata kwenye page zenu hakuna neno Yanga Kuna young
Ndio atataja mchezaji pacome ni Pacome ubini upi na anachezea timu gani
 
Back
Top Bottom