Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Wakuu Mimi umri wangu ni miaka 44 mpaka nafikia umri huu sijabahatika kupata mtoto wa ndoa zaidi ya kubambikiwa watoto wa nje ya ndoa, Mimi ni mjasiriamali japo pia ni mtumishi serikali katika idara ya afya, nilichelewa kuowa kutokana Na ugumu wa maisha niliokuwa nao.
Mwaka jana mwezi wa nilibahatika kufunga ndoa Na binti mwenye miaka 23 , binti wa kiislamu, Huwa nasafiri mara nyingi sana hasa ninapoteuliwa kwenda kwenye semina za afya , mke wangu amekuwa ni mtu wa kulalamika kuwa ninaposafiri ninamuacha mpweke kwa muda mrefu.
Huwa nikisafiri natumia muda wa wiki tatu mpaka mwezi mzima, mke wangu kwa Sasa anadai amechoka hali hiyo kwani pia analalamika pia simridhishi kwenye tendo la ndoa...anadai taraka ili aondoke akaendelee Na maisha mengine..tumeishi kwa mwaka mmoja Na miezi miwili, Na hatukubahatika kupata mtoto,
Je nauliza ndani ya muda huu nilioishinae anaweza kudai chochote katika Mali zangu ili tugawane,..namiliki pikipiki 3 kama bodaboda, nyumba mbili Na maduka manne ya kuuza nataka,
Mwaka jana mwezi wa nilibahatika kufunga ndoa Na binti mwenye miaka 23 , binti wa kiislamu, Huwa nasafiri mara nyingi sana hasa ninapoteuliwa kwenda kwenye semina za afya , mke wangu amekuwa ni mtu wa kulalamika kuwa ninaposafiri ninamuacha mpweke kwa muda mrefu.
Huwa nikisafiri natumia muda wa wiki tatu mpaka mwezi mzima, mke wangu kwa Sasa anadai amechoka hali hiyo kwani pia analalamika pia simridhishi kwenye tendo la ndoa...anadai taraka ili aondoke akaendelee Na maisha mengine..tumeishi kwa mwaka mmoja Na miezi miwili, Na hatukubahatika kupata mtoto,
Je nauliza ndani ya muda huu nilioishinae anaweza kudai chochote katika Mali zangu ili tugawane,..namiliki pikipiki 3 kama bodaboda, nyumba mbili Na maduka manne ya kuuza nataka,