Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Wakuu, natambua moja ya mawasiliano ni hii mitandao ya kijamii ambayo imetengenezwa kuwasiliana mtu zaidi ya mmoja tena kwa muda huo huo.
'Whatsapp' ni mojawapo ya mitandao hiyo, ninachowaomba hapa nchini kisheria unapoanzisha kundi (group) lake imekaaje? Mfano:
1. Usajili
2. Ufunguaji wa 'bank account' ya kundi nk.
Sent using Jamii Forums mobile app
'Whatsapp' ni mojawapo ya mitandao hiyo, ninachowaomba hapa nchini kisheria unapoanzisha kundi (group) lake imekaaje? Mfano:
1. Usajili
2. Ufunguaji wa 'bank account' ya kundi nk.
Sent using Jamii Forums mobile app