Kisheria likoje kuhusu Vehicle insurance

Kisheria likoje kuhusu Vehicle insurance

Atlantis Voyager

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2018
Posts
371
Reaction score
502
Nimenunua gari lakini mpaka linafika redio ilikuwa nzima na ghafla imeharibika. Ninahitaji kujua toka kwa wataalamu wa sheria nikiwa kama nimelilipia insurance comprehensive nahitaji Kampuni ya Bima inilipe maana wanachukua premium na mkataba wao na wangu unaishia wapi???
 
Gari aina gani na imeharibikaje ?
 
Nimenunua gari lakini mpaka linafika redio ilikuwa nzima na ghafla imeharibika. Ninahitaji kujua toka kwa wataalamu wa sheria nikiwa kama nimelilipia insurance comprehensive nahitaji Kampuni ya Bima inilipe maana wanachukua premium na mkataba wao na wangu unaishia wapi???
Ina maana kila kifaa utataka bima ikilipie kikiharibika!?.. Plug ikigoma choma moto utaifungulia jalada!?.. Hongera lakini kupata Bima Bomba!..
Wengine tunasubiri tukipata ajali ndio tukahangaike na hayo mafile.
 
Back
Top Bottom