never Se me
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 702
- 1,009
Pia nikisha mchukuwa mama wa mtoto atatoa pesa kwajili ya mahitaji na huduma kwa mtoto kama hataki naweza kumpeleka ustawi wa jamii ???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama awezi atoi si ndio .mbona Mimi siwezi Ila napelekwa mperampera adi kwa makondaKisheria baada ya miaka 7 Tu kidume unaruhusiwa kubeba mtoto wako.
Mama anaweza kutoa Huduma kama ataweza.
hakuna sheria hiyo TanzaniaKisheria baada ya miaka 7 Tu kidume unaruhusiwa kubeba mtoto wako.
Mama anaweza kutoa Huduma kama ataweza.
Sina cha kukusaidia Bora nikuache hivyohivyo.hakuna sheria hiyo Tanzania
number of factors are considered before the custody is grantedPia nikisha mchukuwa mama wa mtoto atatoa pesa kwajili ya mahitaji na huduma kwa mtoto kama hataki naweza kumpeleka ustawi wa jamii ???
Achukuliwe kutoka wp kwenda wp, fafanua vizurPia nikisha mchukuwa mama wa mtoto atatoa pesa kwajili ya mahitaji na huduma kwa mtoto kama hataki naweza kumpeleka ustawi wa jamii ???
Peponi kwenda mbinguniAchukuliwe kutoka wp kwenda wp, fafanua vizur
Mkuu habari,Unaweza kumchukua mtoto kutoka kwa mama yake hata kama haja fikisha miaka 7, ikiwa utaidhibitishia mahakama kuwa matendo au tabia ya mama yake hastaili Ku endelea kubaki na mtoto.
mfano
Mama awe mlevi sana
Ana jiuza na kuchelewa kurudi nyumbani
Ana tatizo la akili
Na mambo kama hayo.
Kama maelezo yako yataishawishi mahakama itawezekanaMkuu habari,
na kama mama wa mtoto hamjali mtoto vizuri pale anapoumwa,mahakama inaweza kuamua mtoto aishi na baba?
Mbona unamchukia hivyo mwanamke anayeujua uchi wako?!?! Usikute kipindi cha mahaba Niue alikua anakunyonya mpaka gario!!!!Mkuu habari,
na kama mama wa mtoto hamjali mtoto vizuri pale anapoumwa,mahakama inaweza kuamua mtoto aishi na baba?
we kila kitu ni aise!!ama kweli waze mna shida![emoji39]