DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Bunge la Katiba halina mamlaka kisheria kubadili chochote kilicho ndani ya rasimu!Ukirejea katika sheria ya Mabadiliko ya Katiba Mpya iliyoridhiwa na Bunge la Jamhiri ya Muungano wa Tanzania na kusainiwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete na kuwa SHERIA rasmi,utaona yafuatayo:
1. Tafsiri ya kifungu cha 25 (2)cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba juu ya Majukumu ya Bunge la Katiba Mpya inasema hivi: "Bunge Maalumu la Katiba litakuwa na jukumu la kuijadili rasimu ya Katiba na kuipitisha tu"Sheria hii ya mabadiliko ya Katiba inalifunga Bunge Maalumu la Katiba kuishia katika kujadili na kupitisha rasimu hiyo bila kuondoa neno wala kuongeza neno litakalobadili maana ya neo hilo.
Vivyo hivyo Bunge la katiba litafanya kazi ya kuboresha masharti ya Katiba yaliyomo ndani ya rasimu ya Katiba pasipo kuweka masharti mapya ambayo kwa taathira yatabadili ama kufifisha masharti ya kikatiba yaliyomo kwenye Rasimu hii ya Katiba Mpya.
Sasa msimamo wa ccm kuwa wao wanataka serikali mbili unatoka wapi ilihali katika rasimu hakuna pendekezo la serikali mbili wala moja, bali ni serikali tatu tu iliyopendekezwa na Watanzania 64%?T
aarifa zinasema ccm imechomeka rasimu mbadala huko Bungeni na kutia hofu kuwa huenda rasimu ya Watanzania iliyoratibiwa na Mzee wetu Warioba imetiwa kapuni.
1. Tafsiri ya kifungu cha 25 (2)cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba juu ya Majukumu ya Bunge la Katiba Mpya inasema hivi: "Bunge Maalumu la Katiba litakuwa na jukumu la kuijadili rasimu ya Katiba na kuipitisha tu"Sheria hii ya mabadiliko ya Katiba inalifunga Bunge Maalumu la Katiba kuishia katika kujadili na kupitisha rasimu hiyo bila kuondoa neno wala kuongeza neno litakalobadili maana ya neo hilo.
Vivyo hivyo Bunge la katiba litafanya kazi ya kuboresha masharti ya Katiba yaliyomo ndani ya rasimu ya Katiba pasipo kuweka masharti mapya ambayo kwa taathira yatabadili ama kufifisha masharti ya kikatiba yaliyomo kwenye Rasimu hii ya Katiba Mpya.
Sasa msimamo wa ccm kuwa wao wanataka serikali mbili unatoka wapi ilihali katika rasimu hakuna pendekezo la serikali mbili wala moja, bali ni serikali tatu tu iliyopendekezwa na Watanzania 64%?T
aarifa zinasema ccm imechomeka rasimu mbadala huko Bungeni na kutia hofu kuwa huenda rasimu ya Watanzania iliyoratibiwa na Mzee wetu Warioba imetiwa kapuni.