Kishindo cha awamu ya 5 kinavyoinyanyasa Mombasa

Kishindo cha awamu ya 5 kinavyoinyanyasa Mombasa

Tangu ndege ikamatwe jamaa kaanzisha nyuzi kwa fujo, mara UDOM ndio best Africa, mara kishindo cha awamu ya tano....tatizo ni kwamba mkulima ameshikilia ndege na haachi hadi alipwe. Kule jukwa la siasa naona Watanzania wamewaka moto wanataka ndege yao, sasa sihani kama MaCCM hutumia akili wakati wanafikiria hizi hizi nyuzi zitapunguza kishindo.
Wanapenda kuja kujificha huku Jukwaa la Kenya..kule Jukwaa la Siasa hawaji hawa team sifia-sifia.
 


Ni maumivu ya kutosha ukiona namna the regional giant roaring across the continental battlefield

Nasikia Lamu 3 little berths imetunukiwa heshima ya kuwa the largest port in Africa 😂😂😂😂

Hio bandari yenu iko na gantry crane chache sana, inakaa kama marchant port zile enzi za waarabu wakitumia wooden ships
 


Ni maumivu ya kutosha ukiona namna the regional giant roaring across the continental battlefield

Nasikia Lamu 3 little berths imetunukiwa heshima ya kuwa the largest port in Africa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Cha ajabu Mombasa inapitisha tani nyingi zaidi ya Dar es Salaam,and thats a FACT!

Sasa sijui port yetu na Msigwa kuna kitu gani cha ajabu wamefanya humo kwa hizi siku 2 labda?

Video yenyewe siangalii sina muda na bando la kuwaongezea views akina Msigwa!

Thats for stupid people!
 
Deni la ATCL mtalipa lini? Hatujasahau bana redeemer Geza Ulole joto la jiwe eliakeem ichoboy01 hapa densi tu
images (11).jpeg
 
That's just a certain piece of the whole thing.
Show me the other part so we can see the whole picture cause what I saw in that video was not anything that would make me scared for Mombasa
 
Back
Top Bottom