Kishindo cha Hypersonic Missile za Urusi: Ndani ya pazia NATO wameiogopa sana Urusi: Matokeo yake ukraine imenywea!

Kishindo cha Hypersonic Missile za Urusi: Ndani ya pazia NATO wameiogopa sana Urusi: Matokeo yake ukraine imenywea!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Ingawa kwa hadharani NATO bado wanajimwambafai lakini kiuhalisia wamenywea sana!!

Tangu hypersonic missile ya Urusi isambaratishe kiwanda cha kijeshi cha kutengenezea makombora/missiles, hautaisikia tena Ukraine ikiishambulia Urusi kwa kutumia makombora ya masafa marefu waliyoruhusiwa na marekani, uku na ufaransa wayatumie dhidi ya urusi!!

Waliruhusu hadharani lakini wamezuia kimya kimya kwa aibu!! Chezea Putin weye!!
 
Waliiruhusu ukraine kutumia makombora yao kuipiga urusi ndani kabisa kwa mbwebwe, lakini baada ya kishindo cha hypersonic missile, wameizuia kimya kimya ukraine isiyatumie!! Dunia itaona matokeo tu kuwa ukraine haiyatumii tena makombora hayo kupiga ndani ya urusi!! Hatimaye walichokuwa wanakitafuta wamekiona!! Hakuna aliyejua urusi ilitumia silaha gani hadi urusi yenyewe ilipowategulia kitendawili!! Hicho kiwanda cha silaha kilichoshambuliwa kilikuwa kinalin dwa na Patriot air defense za marekani lakini hazikuona ndani!! Zelensky alishtuka sana!!
 
Soko la silaha za USA linakwenda kushuka,maana Ulaya yote(NATO)waliaminishwa kulindwa na mifumo ya ulinzi na inapigika kweli kweli hadi ile ya Israel,baada ya vita wenye akili watanunua sana silaha za Urusi
 
Mimi ni achoshindwa kuelewa Kwa Nini mzalendo wa Dunia putini anashindwa kuzitumia hizo silaha za ICBM Kila siku ili kupata ushindi mapema kabisa?Maana katumia maramoja tu na imeleta kuliko ulaya nzima.
Nafikiri ni kwasababu hana roho mbaya alafu anatambua wao ni ndugu ila wamekengeuka kwasababu ya kusikiliza majirani wenye nia mbaya
 
Waliiruhusu ukraine kutumia makombora yao kuipiga urusi ndani kabisa kwa mbwebwe, lakini baada ya kishindo cha hypersonic missile, wameizuia kimya kimya ukraine isiyatumie!! Dunia itaona matokeo tu kuwa ukraine haiyatumii tena makombora hayo kupiga ndani ya urusi!! Hatimaye walichokuwa wanakitafuta wamekiona!! Hakuna aliyejua urusi ilitumia silaha gani hadi urusi yenyewe ilipowategulia kitendawili!! Hicho kiwanda cha silaha kilichoshambuliwa kilikuwa kinalin dwa na Patriot air defense za marekani lakini hazikuona ndani!! Zelensky alishtuka sana!!
Naomba picha za madhara
 
Ingawa kwa hadharani NATO bado wanajimwambafai lakini kiuhalisia wamenywea sana!!

Tangu hypersonic missile ya Urusi isambaratishe kiwanda cha kijeshi cha kutengenezea makombora/missiles, hautaisikia tena Ukraine ikiishambulia Urusi kwa kutumia makombora ya masafa marefu waliyoruhusiwa na marekani, uku na ufaransa wayatumie dhidi ya urusi!!

Waliruhusu hadharani lakini wamezuia kimya kimya kwa aibu!! Chezea Putin weye!!
Hizo ni ndoto, matamanio, ramli au ni hadithi umesimliwa? JF inataka ulete habasi, siyo udaku.

Tatizo lako umekosa maarifa na utafiti.

KWa upande wa Urusi, hata bila ya hayo makombora ya masafa marefu, mambo siyo mazuri. Juzi Putin amemfukuza kamanda wake kwa kuwadanganya warysi kuwa kuna mafanikio makubwa kwente uwanja wa mapambano kumbe ni kinyume chake:

Russia fires commander for false claims about progress of war in Ukraine, military bloggers say.​


Russia has removed a senior commander from his post for making false claims about the progress of the war in parts of eastern Ukraine, according to military bloggers and Russian media.

Colonel General Gennady Anashkin, the commander of the South Forces Group, was dismissed after providing misleading information about Russia’s progress near the Siversk settlement in the eastern region of Donetsk, according to the bloggers.
 
Waliiruhusu ukraine kutumia makombora yao kuipiga urusi ndani kabisa kwa mbwebwe, lakini baada ya kishindo cha hypersonic missile, wameizuia kimya kimya ukraine isiyatumie!! Dunia itaona matokeo tu kuwa ukraine haiyatumii tena makombora hayo kupiga ndani ya urusi!! Hatimaye walichokuwa wanakitafuta wamekiona!! Hakuna aliyejua urusi ilitumia silaha gani hadi urusi yenyewe ilipowategulia kitendawili!! Hicho kiwanda cha silaha kilichoshambuliwa kilikuwa kinalin dwa na Patriot air defense za marekani lakini hazikuona ndani!! Zelensky alishtuka sana!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom