zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Gharama kubwa sana.Mimi ni achoshindwa kuelewa Kwa Nini mzalendo wa Dunia putini anashindwa kuzitumia hizo silaha za ICBM Kila siku ili kupata ushindi mapema kabisa?Maana katumia maramoja tu na imeleta kuliko ulaya nzima.