Kishindo cha Mhe. Rais baada ya kukwazwa na riport ya CAG kitaondoka na wengi

Kishindo cha Mhe. Rais baada ya kukwazwa na riport ya CAG kitaondoka na wengi

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Mhe. Rais ameweza kujenga Ofisi yake kwenye standard ambazo hakuna msaliti anayepata mwanya; hii imepelekea mambo yafuatayo kwenda kama Ofisi ya Mhe. Rais inavyopaswa kuwa
1. Ofisi yake Kwa sasa imeweza kuwa na Siri kubwa; hakuna Siri kuvuja kama ilivyokuwa awamu za nyuma. Hii imefanya akina kigogo kukosa news na hivyo hadhi ya Ofisi hii kuendelea kupanda.

2. Mfumo wake wa kutafakari mambo umeondoa kabisa MALALAMIKO kwenye jamii; hakuna chuki au kisasi katika kufanya teuzi au kutengua; hakuna adui WA kudumu kwake.

3. Mfumo wake wa utendaji umerejesha heshima Kwa viongozi WA umma; hakuna mwenye kiburi cha madaraka kiasi cha kudharau adharani wananchi kama walivyoweza kufanya akina Sabaya na Makonda

4. Hakuna kiongozi ambaye NI mtoto WA mama; wakati wowote rafiki anaweza kuwa adui na hivyo hata wale wasioguswa wanaweza kuguswa.

Kwa msingi huu wapo Mawaziri na makatibu wakuu wameanza kumzoea mama kimatendo; wapo watu wanataka kumwonyesha mama kwamba wao NI Bora kwake kuliko wengine. Naamini Kwa kilichotokea kwenye ripoti ya CAG na ukimya WA mama siku mbili tatu kishindo kikubwa kinakwenda kusikika

Jambo ambalo SINA uhakika nalo NI uwezo wa mama kumfikisha kiongozi mahakamani; mama amezaliwa na roho wakusamehe na kuona mateso siyo Haki ya binadamu....
 
Mhe. Rais ameweza kujenga Ofisi yake kwenye standard ambazo hakuna msaliti anayepata mwanya; hii imepelekea mambo yafuatayo kwenda kama Ofisi ya Mhe. Rais inavyopaswa kuwa
1. Ofisi yake Kwa sasa imeweza kuwa na Siri kubwa; hakuna Siri kuvuja kama ilivyokuwa awamu za nyuma. Hii imefanya akina kigogo kukosa news na hivyo hadhi ya Ofisi hii kuendelea kupanda.

2. Mfumo wake wa kutafakari mambo umeondoa kabisa MALALAMIKO kwenye jamii; hakuna chuki au kisasi katika kufanya teuzi au kutengua; hakuna adui WA kudumu kwake.

3. Mfumo wake wa utendaji umerejesha heshima Kwa viongozi WA umma; hakuna mwenye kiburi cha madaraka kiasi cha kudharau adharani wananchi kama walivyoweza kufanya akina Sabaya na Makonda

4. Hakuna kiongozi ambaye NI mtoto WA mama; wakati wowote rafiki anaweza kuwa adui na hivyo hata wale wasioguswa wanaweza kuguswa.

Kwa msingi huu wapo Mawaziri na makatibu wakuu wameanza kumzoea mama kimatendo; wapo watu wanataka kumwonyesha mama kwamba wao NI Bora kwake kuliko wengine. Naamini Kwa kilichotokea kwenye ripoti ya CAG na ukimya WA mama siku mbili tatu kishindo kikubwa kinakwenda kusikika

Jambo ambalo SINA uhakika nalo NI uwezo wa mama kumfikisha kiongozi mahakamani; mama amezaliwa na roho wakusamehe na kuona mateso siyo Haki ya binadamu....
Mpuuzi,
 
Watu mna hasira... ni hasira za haki.
 
Mhe. Rais ameweza kujenga Ofisi yake kwenye standard ambazo hakuna msaliti anayepata mwanya; hii imepelekea mambo yafuatayo kwenda kama Ofisi ya Mhe. Rais inavyopaswa kuwa
1. Ofisi yake Kwa sasa imeweza kuwa na Siri kubwa; hakuna Siri kuvuja kama ilivyokuwa awamu za nyuma. Hii imefanya akina kigogo kukosa news na hivyo hadhi ya Ofisi hii kuendelea kupanda.

2. Mfumo wake wa kutafakari mambo umeondoa kabisa MALALAMIKO kwenye jamii; hakuna chuki au kisasi katika kufanya teuzi au kutengua; hakuna adui WA kudumu kwake.

3. Mfumo wake wa utendaji umerejesha heshima Kwa viongozi WA umma; hakuna mwenye kiburi cha madaraka kiasi cha kudharau adharani wananchi kama walivyoweza kufanya akina Sabaya na Makonda

4. Hakuna kiongozi ambaye NI mtoto WA mama; wakati wowote rafiki anaweza kuwa adui na hivyo hata wale wasioguswa wanaweza kuguswa.

Kwa msingi huu wapo Mawaziri na makatibu wakuu wameanza kumzoea mama kimatendo; wapo watu wanataka kumwonyesha mama kwamba wao NI Bora kwake kuliko wengine. Naamini Kwa kilichotokea kwenye ripoti ya CAG na ukimya WA mama siku mbili tatu kishindo kikubwa kinakwenda kusikika

Jambo ambalo SINA uhakika nalo NI uwezo wa mama kumfikisha kiongozi mahakamani; mama amezaliwa na roho wakusamehe na kuona mateso siyo Haki ya binadamu....
Kishindo gan naww!
 
Mhe. Rais ameweza kujenga Ofisi yake kwenye standard ambazo hakuna msaliti anayepata mwanya; hii imepelekea mambo yafuatayo kwenda kama Ofisi ya Mhe. Rais inavyopaswa kuwa
1. Ofisi yake Kwa sasa imeweza kuwa na Siri kubwa; hakuna Siri kuvuja kama ilivyokuwa awamu za nyuma. Hii imefanya akina kigogo kukosa news na hivyo hadhi ya Ofisi hii kuendelea kupanda.

2. Mfumo wake wa kutafakari mambo umeondoa kabisa MALALAMIKO kwenye jamii; hakuna chuki au kisasi katika kufanya teuzi au kutengua; hakuna adui WA kudumu kwake.

3. Mfumo wake wa utendaji umerejesha heshima Kwa viongozi WA umma; hakuna mwenye kiburi cha madaraka kiasi cha kudharau adharani wananchi kama walivyoweza kufanya akina Sabaya na Makonda

4. Hakuna kiongozi ambaye NI mtoto WA mama; wakati wowote rafiki anaweza kuwa adui na hivyo hata wale wasioguswa wanaweza kuguswa.

Kwa msingi huu wapo Mawaziri na makatibu wakuu wameanza kumzoea mama kimatendo; wapo watu wanataka kumwonyesha mama kwamba wao NI Bora kwake kuliko wengine. Naamini Kwa kilichotokea kwenye ripoti ya CAG na ukimya WA mama siku mbili tatu kishindo kikubwa kinakwenda kusikika

Jambo ambalo SINA uhakika nalo NI uwezo wa mama kumfikisha kiongozi mahakamani; mama amezaliwa na roho wakusamehe na kuona mateso siyo Haki ya binadamu....
Fahamu wezi wa mali ya umma wanaua,wanatesa jamii,

Kujua hili nahitajika kuleta uzi maalumu wa madhara ya wezi wa mali ya umma ndio utajua hawastahili huruma hata kidogo
 
Mhe. Rais ameweza kujenga Ofisi yake kwenye standard ambazo hakuna msaliti anayepata mwanya; hii imepelekea mambo yafuatayo kwenda kama Ofisi ya Mhe. Rais inavyopaswa kuwa
1. Ofisi yake Kwa sasa imeweza kuwa na Siri kubwa; hakuna Siri kuvuja kama ilivyokuwa awamu za nyuma. Hii imefanya akina kigogo kukosa news na hivyo hadhi ya Ofisi hii kuendelea kupanda.

2. Mfumo wake wa kutafakari mambo umeondoa kabisa MALALAMIKO kwenye jamii; hakuna chuki au kisasi katika kufanya teuzi au kutengua; hakuna adui WA kudumu kwake.

3. Mfumo wake wa utendaji umerejesha heshima Kwa viongozi WA umma; hakuna mwenye kiburi cha madaraka kiasi cha kudharau adharani wananchi kama walivyoweza kufanya akina Sabaya na Makonda

4. Hakuna kiongozi ambaye NI mtoto WA mama; wakati wowote rafiki anaweza kuwa adui na hivyo hata wale wasioguswa wanaweza kuguswa.

Kwa msingi huu wapo Mawaziri na makatibu wakuu wameanza kumzoea mama kimatendo; wapo watu wanataka kumwonyesha mama kwamba wao NI Bora kwake kuliko wengine. Naamini Kwa kilichotokea kwenye ripoti ya CAG na ukimya WA mama siku mbili tatu kishindo kikubwa kinakwenda kusikika

Jambo ambalo SINA uhakika nalo NI uwezo wa mama kumfikisha kiongozi mahakamani; mama amezaliwa na roho wakusamehe na kuona mateso siyo Haki ya binadamu....
Hakuna jipyw mzee...
 
Mhe. Rais ameweza kujenga Ofisi yake kwenye standard ambazo hakuna msaliti anayepata mwanya; hii imepelekea mambo yafuatayo kwenda kama Ofisi ya Mhe. Rais inavyopaswa kuwa
1. Ofisi yake Kwa sasa imeweza kuwa na Siri kubwa; hakuna Siri kuvuja kama ilivyokuwa awamu za nyuma. Hii imefanya akina kigogo kukosa news na hivyo hadhi ya Ofisi hii kuendelea kupanda.

2. Mfumo wake wa kutafakari mambo umeondoa kabisa MALALAMIKO kwenye jamii; hakuna chuki au kisasi katika kufanya teuzi au kutengua; hakuna adui WA kudumu kwake.

3. Mfumo wake wa utendaji umerejesha heshima Kwa viongozi WA umma; hakuna mwenye kiburi cha madaraka kiasi cha kudharau adharani wananchi kama walivyoweza kufanya akina Sabaya na Makonda

4. Hakuna kiongozi ambaye NI mtoto WA mama; wakati wowote rafiki anaweza kuwa adui na hivyo hata wale wasioguswa wanaweza kuguswa.

Kwa msingi huu wapo Mawaziri na makatibu wakuu wameanza kumzoea mama kimatendo; wapo watu wanataka kumwonyesha mama kwamba wao NI Bora kwake kuliko wengine. Naamini Kwa kilichotokea kwenye ripoti ya CAG na ukimya WA mama siku mbili tatu kishindo kikubwa kinakwenda kusikika

Jambo ambalo SINA uhakika nalo NI uwezo wa mama kumfikisha kiongozi mahakamani; mama amezaliwa na roho wakusamehe na kuona mateso siyo Haki ya binadamu....

Kwenye kipengele namba moja kabisa. Wakati wa mwendazake siri nyingi zilikua zinavujiswa na yeye kipindi hicho akiwa namba mbili kwa jiwe.
 
Amewaomba wabadhirifu waondoke ila wamemdindia na madeluu system amesema kuna sehemu mama nae amehusika
 
Kwanujibu wa maelezo ya mama wanahamishwa kutoka ofisi moja kwenda byingine. Hii pia inafanya hata ofisi zenye waadilifu kupelekewa wezi
Ila amewaambia nimastupid naona inatosha.
Kama bunge likiamua itakua kama linamshinikiza mama maana yeye ameshindwa kuthubutu
 
Back
Top Bottom