Kalia hayo hayo wenzako wanachanja mbuga.Ujinga hapo ufipa ni mkubwa
Kamati kuu Chadema 2-3days back ilikuwa kazini.Kweli unazi ni shida sana
Kwani mbowe tu ndo alikemea kuhusu Tozo??
Hakuna kituWatanzania tujifunze kumbe tukiwakazia hawa wafujaji wa mali za taifa wanabanwa pumzi
Kweli kabisa hata idea ya Bima ya afya kwa kila mtanzania ni ubunifu wa Chama makini Chadema. Wao wanawaza tozo tu hawana ubinifu zaidi ya huoChadema ndio chama tawala cha Tanzania ccm ni wapora dola !
Thubutu bila kelele unadhani wangeifuta?Hakuna kitu
Washavuna vya kutosha kutoka kwwnye tozo
Afu hazijafutwa elewa hoja ya waziri Vizuri
Waliokaa kamati Kuu jana ni TADEA?Chadema ilishajifia
Sasa kuna walamba asari akina Lisu na Mbowe
Champion akiwa ni Chadema.Kama chadema inahusika kwenye punguzo la tozo basi ni vizuri.
Ila ninavyojua ni kelele za wananchi wenyewe walizopaza kila mahali ikiwemo huku mitandaoni
Watu wa siasa walituacha wenyewe kwenye hili.
Sio jambo zuri kudandia gari lilowashwa na wengine nakujifanya umeliwasha wewe...utaonekana kituko
Wale waliosifia Tozo ni muhimu na ziendelee sijui wataficha sura zao wapi.#WAPORADOLA#
Kasome maazimio yao ndiyo utajua chadema original ilishakufaWaliokaa kamati Kuu jana ni TADEA?
Hehee sawa endelea na vyama vya matozo huko. Achana na Chadema haikuhusuKaso
Kasome maazimio yao ndiyo utajua chadema original ilishakufa
Rejea hotuba ya MwiguluKwani imefutwa
Hii single yenu iliahakufa tangu 2020Chadema ilishajifia
Sasa kuna walamba asari akina Lisu na Mbowe