Kishindo Kamati Kuu Chadema, Serikali imefuta Tozo ghafla

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Kama kawaida ya chama makini cha watu na watanzania kila kinapokohoa tu lazima asubuhi au usiku huo huo tushuhudie matamko ya serikali.

Ni juzi tu Mh Mbowe alikohoa kuhusu tozo basi baraza la mawaziri halikulala.

Juzi na jana Kamati kuu ya Chadema ikideal na maswala mtambuka ya Nchi ikiwemo unyanyasaji unaofanywa na serikali ya CCM.

Aisee sijui nani kawatonya kinachoendelea leo wameamka mbio mbio kuyakana yale waliyoamini.😅😅
 
Kama chadema inahusika kwenye punguzo la tozo basi ni vizuri.

Ila ninavyojua ni kelele za wananchi wenyewe walizopaza kila mahali ikiwemo huku mitandaoni

Watu wa siasa walituacha wenyewe kwenye hili.

Sio jambo zuri kudandia gari lilowashwa na wengine nakujifanya umeliwasha wewe...utaonekana kituko
 
Champion akiwa ni Chadema.
Sisi chambo la wananchi ni letu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…