Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,605
- 1,085
Nazani Jumba Kuu walituacha maji marefu. Hawakuwalinda Wazee wa vijijini tangu mwanzo.
[qQUOTE="Ngorunde, post: 43802854, member: 605"]
Kama chadema inahusika kwenye punguzo la tozo basi ni vizuri.
Ila ninavyojua ni kelele za wananchi wenyewe walizopaza kila mahali ikiwemo huku mitandaoni
Watu wa siasa walituacha wenyewe kwenye hili.
Sio jambo zuri kudandia gari lilowashwa na wengine nakujifanya umeliwasha wewe...utaonekana kituko
[/QUOTE]
[qQUOTE="Ngorunde, post: 43802854, member: 605"]
Kama chadema inahusika kwenye punguzo la tozo basi ni vizuri.
Ila ninavyojua ni kelele za wananchi wenyewe walizopaza kila mahali ikiwemo huku mitandaoni
Watu wa siasa walituacha wenyewe kwenye hili.
Sio jambo zuri kudandia gari lilowashwa na wengine nakujifanya umeliwasha wewe...utaonekana kituko
[/QUOTE]