Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,605
- 1,085
Kuweni na akili nyie chadema, tozo gani imefutwa?Watanzania tujifunze kumbe tukiwakazia hawa wafujaji wa mali za taifa wanabanwa pumzi.
Fatilia hotuba ya Mwiguku acha kukurupuka.Kuweni na akili nyie chadema, tozo gani imefutwa?
HeheheheTozo zipi zimefutwa?
Ukitoa pesa zaidi ya 30,000 kwenye ATM makato Yako pale pale.
Msidanganywe kirahsi.
Kuna tozo zimefutwa au zimepunguzwa tu, Mtu wanamwambia hatatakaye toa fedha chini ya elfu 30,000/ndiye hatatozwa,alafu mazuzu wanashangilia eti Serikali imefuta tozo,kweli vijana wa Chadema aliyewaita manyumbu akukosea.Watanzania tujifunze kumbe tukiwakazia hawa wafujaji wa mali za taifa wanabanwa pumzi.
Mungu ibariki CHADEMAKama kawaida ya chama makini cha watu na watanzania kila kinapokohoa tu lazima asubuhi au usiku huo huo tushuhudie matamko ya serikali.
Ni juzi tu Mh Mbowe alikohoa kuhusu tozo basi baraza la mawaziri halikulala.
Juzi na jana Kamati kuu ya Chadema ikideal na maswala mtambuka ya Nchi ikiwemo unyanyasaji unaofanywa na serikali ya CCM.
Aisee sijui nani kawatonya kinachoendelea leo wameamka mbio mbio kuyakana yale waliyoamini.[emoji28][emoji28]
Ujinga hapo ufipa ni mkubwa
Mhuni anavyohamaki akisikia chama makini kimetoa tamko.Tozo gani imefutwa? Serikali haiwezi kuacha kutekeleza majukumu yake kisa eti mkutano wa wahuni
Well Noted MkuuWatanzania tujifunze kumbe tukiwakazia hawa wafujaji wa mali za taifa wanabanwa pumzi.
Wajinga mpo wengi badoUjinga hapo ufipa ni mkubwa
Case study hiiWell Noted Mkuu
Hahaha kataa wahuniMhuni anavyohamaki akisikia chama makini kimetoa tamko.
Ibarikiwe sana na watu wake woote.Mungu ibariki CHADEMA
Hahaa hii kaliView attachment 2362839
Chawa kindakindaki hana tofauti na mbuni kindakindaki!
Heheeee sasa Mwigulu ni mhuni?Tozo gani imefutwa? Serikali haiwezi kuacha kutekeleza majukumu yake kisa eti mkutano wa wahuni