Ulijua Ndugu zako katika imani wamefanya mambo nini wakajilie bikra 72.Baadhi ya wakazi wa Houston alfajiri ya leo 9/11.2023 wametaharuki kwa kuamshwa na kishindo kikubwa kilichofatiwa na moshi mkubwa kilichotokea kwenye kiwanda kimoja cha makemikali. Kishindo na moshi kilisikika na kuonekana karibia Houston yote.
Haijajulikana kishindo hicho kimeababbishwa na nini. Jionee camera y ausalama ya mlangoni kwa mtu imerikodi hivi:
View attachment 2809235
Kwani hapo Darfur Sudan yanaendelea madogoChochote kinawezekana. Nini cha kushangaza?
Unagfikiri madogo yanayoendelea Mashariki ya kati sasa hivi?+
Wewe ushaelewa kilichosababisha huo mripuko?
Nataman sana waislam wafanye maangamizi ya kushtukiza kwenye hii nchi, mengi ya kutosha ikiwezekana yamfikie na yule mzee anayedindoka kwenye majukwaa kila sikuChochote kinawezekana. Nini cha kushangaza?
Unagfikiri madogo yanayoendelea Mashariki ya kati sasa hivi?+
Wewe ushaelewa kilichosababisha huo mripuko?
Mripuko!!! Kiswahili cha wapi hiki wewe ni mkurya?Chochote kinawezekana. Nini cha kushangaza?
Unagfikiri madogo yanayoendelea Mashariki ya kati sasa hivi?+
Wewe ushaelewa kilichosababisha huo mripuko?
Heading inasema 'Hauton' rekebisha hàpo ili anayesoma heading aelewe unamaanisha Hauston
Chochote kinawezekana. Nini cha kushangaza?
Unagfikiri madogo yanayoendelea Mashariki ya kati sasa hivi?+
Wewe ushaelewa kilichosababisha huo mripuko?
Hamna lolote.Wakitamani miripuko ya kishindo waende Gaza.Baadhi ya wakazi wa Houston alfajiri ya leo 9/11.2023 wametaharuki kwa kuamshwa na kishindo kikubwa kilichofatiwa na moshi mkubwa kilichotokea kwenye kiwanda kimoja cha makemikali. Kishindo na moshi kilisikika na kuonekana karibia Houston yote.
Haijajulikana kishindo hicho kimeababbishwa na nini. Jionee camera y ausalama ya mlangoni kwa mtu imerikodi hivi:
View attachment 2809235
Mashallah,,, na badoHeading inasema 'Hauton' rekebisha hàpo ili anayesoma heading aelewe unamaanisha Hauston
Hakuna nchi inapigana peke yake inapopigana na nchi nyingine. Sasa Israel Hamas tu inaomba msaada wa Marekani wakati nijeshi lakisasa na Bora duniani hicho ndio kinatushangaza wengi.Wavaa kobasi bana eti kinachoendelea mashariki ya kati [emoji2][emoji2][emoji2]
Waarabu wanauana wenyewe kwa wenyewe miaka yote ila hutasikia chochote wala Yemen wameuana sana hapo juzi kati ikiwemo wanawake na watoto,Pale Syria wamepigana muda sana Tangu arab spring 2011 mpk Assad katumia chemical weapon wamekufa maelfu kwa maelfu na population displacement kubwa sana watu kukimbilia Ulaya nk,Iraq huko usiongee na wale wahuni wa ISIS,Huko Iran maandamano juzi Wamekufa wanawake kibao na watoto ila hutaskia maandamano yakifanyika Berlin, London, Washington Paris au Melbourne kutoa kauli za ceasefire,wito wa Amani nk nk
Sasa njoo kwa Israel Vs Palestina yaani Oct 7 Hamas wamevamia wakaua,wakachoma vitoto kwenye mafuta,wakaua watu vitandani mwao wakachukua mateka 240+ ikiwemo watoto zaidi ya 30+ na wazee km 70+.
Nchi yeyote inapovamiwa hivi lazima ijitetee hata km ingekua ni Tanzania lazima ingejitetea.
Hakuna Nchi inayopigana vita yeyote peke yake hicho kitu hakipo lazima uwe na washirika wa kukusaidia silaha,fedha,wanajeshi au hata kauli tu za kukuunga mkono.
Sasa Israel imeanza kujibu vilio kila kona maandamano Kila Mahali [emoji2][emoji2][emoji2]kaa kwa kutulia Bibi.
Itakua HamasVideo clip nyingine yenye kuonesha moto ulioandamana na kishindo hicho. Imebidi shule za karibu ziondowe wanafunzi wote na watu wa jirani na hapo wamehamisha kwa sababu hicho ni kiwanda cha kemikali na haijajulikana kama kitakuwa na madhara au la:
View attachment 2809236
Acha ujuaji WA kipumbavu "Hauston" Ndio nini ?Heading inasema 'Hauton' rekebisha hàpo ili anayesoma heading aelewe unamaanisha Hauston