Kishindo kikubwa Houston Marekani

hawa watu ni psychopaths
wenyewe wakipiga ni sherehe kwao ni sawa na ni jambo LA kupongezwa ila Israel ikijibu wanaanza kulia

Hamas hawajifunzi kitu cha muhimu siku zote ukianzisha vita Israel uwe na uhakika wa kushinda tu maana ukishindwa Kuna kipande chako kinamegwa na kua part ya Israel
saiz tunaona Gaza kaskazini nini kinatokea
 
Hakuna nchi inapigana peke yake inapopigana na nchi nyingine. Sasa Israel Hamas tu inaomba msaada wa Marekani wakati nijeshi lakisasa na Bora duniani hicho ndio kinatushangaza wengi.
Baada ya kupewa kipondo cha mbwa mwizi Gaza🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sasa Israel Hamas tu inaomba msaada wa Marekani wakati nijeshi lakisasa na Bora duniani hicho ndio kinatushangaza wengi.
Hamas nao waombe kamikaze kutoka Iran, mbona ni majirani halafu ndugu kabisa.
 
Inawezekana makatili ya mujahidini yamehusika.
 
Sio Hauton ni Houston hivi huko shule ulienda kusomea ujinga? Alafu unaleta habar humu hata ww mwenyewe huelew nn kilichosababisha unataka tukueleweje?
 
Kishindo Houton, Marekani kinatuhusu nini ? Vishindo vya Nachingwea na wenyewe Marekani wanahadithiana ?

Beat the hell outta here with that irrelevant nonsense. Ulimbukeni mtupu.
 
Nataman sana waislam wafanye maangamizi ya kushtukiza kwenye hii nchi, mengi ya kutosha ikiwezekana yamfikie na yule mzee anayedindoka kwenye majukwaa kila siku
Wakiigusa hiyo na ikiwa ndio wamefanya hivyo amini na kuambia muhusika anaenda kuwa jivu yaani haina mjadala. Iwe kahusika yeyote kwenye hii dunia lazima akapigwe. Sio rahisi kama unavyo jidanganya😁😁😁
 
One of psychopath wa dini tulie nae humu Jf
 
Baada ya kupewa kipondo cha mbwa mwizi Gaza🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa msaada wa watu wa Marekani, ingepigana na nchi kama Ukrein ingetoboa kweli?. Propaganda nimbaya sana, inapigana na nchi ambayo Haina drone hata Moja, makombora hata ya masafa mafupi Haina. Kiukweli Israel nitoafuti nawengi tulivyoaminishwa na Media.
 
Hapo lazima
WananchI waelekezwe kukaa mbalI na Wavaa KOBAZ na Vipedo!!

Siyo jamii ya kuishi nayo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…