Kishkwambi Cha mwalimu

Kishkwambi Cha mwalimu

marehem x

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2022
Posts
513
Reaction score
792
Nauliza khiki kidude (kishkwambi) kilichotolewa na serikali ni Kwa ajili ya nini.
Screenshot_20230108-104734.jpg

Matumi yake ni yepi.
Au ni mbadala wa kitabu??
Screenshot_20230108-104559.jpg

Kwani vinaingia line za Simu?
 
Walimu bhana hamjui hata matumizi yake na inaonekana hulali mda wote unawaza kukipata kishikwambi dah
Mkuu punguza kuwadhihaki walimu, Nadhani bila wao hata usingeweza kuandika huu utumbo wako.

Mimi sio mwalimu Ila the way unavyowazungumzia sio poa Mkuu, maana Nina ndugu na jamaa ambao ni walimu.

Naona mada zako nyingi unawaponda hawa watu. Unaweza kuwa na Nia nzuri ya kuwakosoa Ila namna unavyobehave sio poa Mkuu.

Mtu yeyote anayedharau taaluma ya mwenzie ujue hata taaluma yake haifahamu vizuri. Even a Gardener ana mengi ya kukufunza kuhusu Bustani. So heshimu taaluma za watu japo wenyewe Wana mapungufu Yao.

Hakuna taaluma iliyobora kuizidi nyingine huwa tunategemeana. Kuwa na heshima basi.
 
Iyo ni kama simu ya kawaida ila haitumiki kupiga simu (ipad).
Unaweza kupiga picha ku surf internet nk.
 
Mkuu punguza kuwadhihaki walimu, Nadhani bila wao hata usingeweza kuandika huu utumbo wako.

Mimi sio mwalimu Ila the way unavyowazungumzia sio poa Mkuu, maana Nina ndugu na jamaa ambao ni walimu.

Naona mada zako nyingi unawaponda hawa watu. Unaweza kuwa na Nia nzuri ya kuwakosoa Ila namna unavyobehave sio poa Mkuu.

Mtu yeyote anayedharau taaluma ya mwenzie ujue hata taaluma yake haifahamu vizuri. Even a Gardener ana mengi ya kukufunza kuhusu Bustani. So heshimu taaluma za watu japo wenyewe Wana mapungufu Yao.

Hakuna taaluma iliyobora kuizidi nyingine huwa tunategemeana. Kuwa na heshima basi.
Well said. Hakuna msomi anaedharau fani ya mwingine, otherwise ni mbabaishaji.
 
hii itakuwa ni hatua nzuri sana kwa walimu kama watajifunza kuzitumia vizuri. Pia wizara nayo iendeshe mambo yake kwa e-governance, maana wan report nyingi sana za kujaza kila mwezi, kila muhula , mwisho wa mwaka kuzipeleka panapohusika, hii sasa ifanyike online. lakini pia walimu wanazweza kujifunza mambo mengi ya kielimu kupitia mtandao kwa mfano kupitia Khan academy n.k
 
hii itakuwa ni hatua nzuri sana kwa walimu kama watajifunza kuzitumia vizuri. Pia wizara nayo iendeshe mambo yake kwa e-governance, maana wan report nyingi sana za kujaza kila mwezi, kila muhula , mwisho wa mwaka kuzipeleka panapohusika, hii sasa ifanyike online. lakini pia walimu wanazweza kujifunza mambo mengi ya kielimu kupitia mtandao kwa mfano kupitia Khan academy n.k
Sawa
 
hii itakuwa ni hatua nzuri sana kwa walimu kama watajifunza kuzitumia vizuri. Pia wizara nayo iendeshe mambo yake kwa e-governance, maana wan report nyingi sana za kujaza kila mwezi, kila muhula , mwisho wa mwaka kuzipeleka panapohusika, hii sasa ifanyike online. lakini pia walimu wanazweza kujifunza mambo mengi ya kielimu kupitia mtandao kwa mfano kupitia Khan academy n.k
Khan academy ni bando free?
 
Labda walenge ku digitalize kazi. Na je sensa nyingine watanunua vishkwamb vingine??
 
Back
Top Bottom