marehem x
JF-Expert Member
- Dec 28, 2022
- 513
- 792
- Thread starter
- #21
Serikali isovu hili tatizo.
www.jamiiforums.com
Mshahara wa mwalimu unavyotafunwa CWT
Na Thadei Ole Mushi. Walimu wa nchi hii asilimia 90 uliwaambia kwa nn Viongozi wa CWT huwa wanapigana wenyewe kwa wenyewe hawawezi kukuambia na wala hawajui chochote. Nataka leo usijiulize tena kwa nini wanapigana na kupelekana mahakamani kila siku…. Twende sawa na ripoti hii ifuatayo:- 1...