Kisiasa huwezi ukampuuza Haji Manara na ukamkumbatia Ali Kamwe na ukafanikiwa

Kisiasa huwezi ukampuuza Haji Manara na ukamkumbatia Ali Kamwe na ukafanikiwa

Haji Manara ni binadamu mwenye connection na watu wengi wafanya siasa na wasio wafanya siasa. Kwalo, inatosha kukupa tija kwa lolote utakalo lifanikiwe.

Bahati mbaya yupo kijana kwa kujulikana ghafla na kupata vi nafasi fulani huko Duniani imempelekea kumwona gwiji wa propaganda Haji Manara ni kiumbe cha kawaida kwenye uga huo. Mbaya zaidi na kwa kiburi kisichotarajika akaamua kumtweza!

Ndugu kijana, tambua kwa kumpuuza mwana propaganda mzoefu kama Manara ni ngumu kwako kutoboa.

Manara ni rafiki mkubwa hata na wana-michezo kama;

Aziz Ki, Chama, Pacome, Diara na mastaa kibao kwenye timu kama Yanga na anao ushawishi kwao wa kuwafanya wakuonyeshe si lolote si chochote kwa rafiki yao Manara.

Uwanda mpana wa siasa za wana-siasa wa Vyama na michezo bado unamhitaji sana mfanya propaganda mkongwe kama Manara na si vijana kama kina Kamwe.
This is crap!!!
 
20241127_024700.jpg
 
Yanga viongozi wake wahuni tu, angalia walivyomkazia Feisal. Manara wakamdanganya kisha wamemkacha. Prince Dude amesajiriwa kisa ugomvi wa Yanga na Azam kwa Feisal.
Leo ndiyo mnakubali? Nifah alisema hapa jukwaani kuhusu hawa viongozi lakini akaonekana kama ana chuki tu, lakini leo tunaona kuwa aliona mbali.

Unafukuzaje kocha nguli halafu unaleta kocha anayekuja kujifunzia Yanga? Kwa sababu ni Mzungu? Ni uhuni na kudharau tu mashabiki.

Ova
 
Leo ndiyo mnakubali? Nifah alisema hapa jukwaani kuhusu hawa viongozi lakini akaonekana kama ana chuki tu, lakini leo tunaona kuwa aliona mbali.

Unafukuzaje kocha nguli halafu unaleta kocha anayekuja kujifunzia Yanga? Kwa sababu ni Mzungu? Ni uhuni na kudharau tu mashabiki.

Ova
Tena wamenitukana sana mchumba angu! Uzuri wa mpira ni mchezo wa wazi, kila mmoja ameona.
 
Tena wamenitukana sana mchumba angu! Uzuri wa mpira ni mchezo wa wazi, kila mmoja ameona.
Acha kujipa umuhimu wewe you lonely kibungo. Wewe hujui lolote kuhusu football katafute comment kwenye mambo mengine upate wateja hujui football kumfikia hata nusu hersi hujui leadership hata kiduchu kumfikia hersi.
 
Ndio shida hii 0 fact but matusi. When mtaweka hisia pembeni na kujibu kwa hoja?
Kwa bahati mbaya siku hizi kulielewa soka inahitaji akili kidogo, ndiyo maana kuna watu wanageuka kituko. Wakitaka kujua uzito wa kufungwa mechi tatu mfululizo, wajiulize mara ya mwisho ni lini ya kufungwa mechi tatu mfululizo.

Ova
 
Yanga viongozi wake wahuni tu, angalia walivyomkazia Feisal. Manara wakamdanganya kisha wamemkacha. Prince Dude amesajiriwa kisa ugomvi wa Yanga na Azam kwa Feisal.
Wewe kweli wa kusoma ndo mana kwenye L wewe huweka R
Chevishenko alitoka AC milani kuja Chelsea timu hizi mbili zilikuwa na ugonvi?
Tores kutoka Liverpool to Chelsea je?
Au unafuatilia ya lupaso tu???
 
Wewe kweli wa kusoma ndo mana kwenye L wewe huweka R
Chevishenko alitoka AC milani kuja Chelsea timu hizi mbili zilikuwa na ugonvi?
Tores kutoka Liverpool to Chelsea je?
Au unafuatilia ya lupaso tu???
Wewe hiyo ugonvi ni lugha Gani umetumia?
 
Haji Manara ni binadamu mwenye connection na watu wengi wafanya siasa na wasio wafanya siasa. Kwalo, inatosha kukupa tija kwa lolote utakalo lifanikiwe.

Bahati mbaya yupo kijana kwa kujulikana ghafla na kupata vi nafasi fulani huko Duniani imempelekea kumwona gwiji wa propaganda Haji Manara ni kiumbe cha kawaida kwenye uga huo. Mbaya zaidi na kwa kiburi kisichotarajika akaamua kumtweza!

Ndugu kijana, tambua kwa kumpuuza mwana propaganda mzoefu kama Manara ni ngumu kwako kutoboa.

Manara ni rafiki mkubwa hata na wana-michezo kama;

Aziz Ki, Chama, Pacome, Diara na mastaa kibao kwenye timu kama Yanga na anao ushawishi kwao wa kuwafanya wakuonyeshe si lolote si chochote kwa rafiki yao Manara.

Uwanda mpana wa siasa za wana-siasa wa Vyama na michezo bado unamhitaji sana mfanya propaganda mkongwe kama Manara na si vijana kama kina Kamwe.
Naona Manara umekuja kujipa uspecial
 
Back
Top Bottom