Kisiasa Kikwete kazidiwa na Uhuru Kenyata

Kisiasa Kikwete kazidiwa na Uhuru Kenyata

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Wengi wetu huamini Kikwete ni master wa siasa uchwara jambo ambalo si kweli!

Kwanini;

Unamfahamu mwamba mmoja anaitwa Uhuru Kenyatta?

Uhuru mwaka huu ndiye atadhihirisha umwamba wake wa siasa za East Africa.

Rejea Lowasa na Kikwete na utakuwa upo nyuma ya wakati ukifikiri urafiki wa ghafla wa Uhuru na Raila ni wa kweli!

Ukweli ni kwamba Uhuru ali-fake urafiki wake na Raila ili uwepo utulivu ndani ya Utawala wake kwa kipindi cha mwisho na si vinginevyo.

Uhuru ni Ruto na wame fake ugomvi kumzubaisha Raila ili atulie na uchaguzi ukikaribia amini nawaambia mzee Raila huenda akadondoka na presha na hii ni kwa sababu kambi yote ya Uhuru itahamia kwa Ruto na ndivyo mpango ulivyopangwa from day 1 ya hand shake.

Hapo ndipo u mafia wa siasa utakuwa upande wa Uhuru na si Kikwete.
 
3FFFEED4-31B1-4C82-B85B-2B9EBD4CD731.jpeg

Siasa hujui mtoto wa jana weye ingia JamiiForums.com na sehemu zingine kasome siasa za kenya sio mbabaifu
 
Nikikumbuka maneno ya Uhuru akizungumzia kumuunga mkono Raila alisema yeye sio mwanasiasa kigeugeu, habadilishi maneno, akimaanisha anachosema leo hapa, ndicho atakachosema kesho pale.

Siamini binafsi kama Uhuru ataweza kubadilika, Ruto alimkera sana alipoacha kufanya majukumu yake kama makamu wa Rais akaanza kampeni mapema.

Japo kwa siku za karibuni naona kama kambi ya Ruto imeanza kupata nguvu baada ya kumpata Spika wa bunge la Kenya na baadhi wengine, huku vyama vidogo vilivyo upande wa Raila vimetishia kujitoa kama havitapewa uzito unaostahili.

Hapa naona kama kuna fumbo fulani, inawezekana mwisho wa siku kambi ya Ruto ikazidi kupata uungwaji mkono zaidi, lakini kama Uhuru bado ataendelea kusimama na Raila mpaka mwisho, bado nampa Raila nafasi kubwa ya kushinda.

Naamini muunganiko wa hayo makabila makubwa mawili utampa ushindi Raila kulingana na nature ya siasa za Kenya. Ila Kama kikitokea ulichoandika, nitaamini kweli Uhuru ni "masterminder" kulingana na hali iliyotokea mwanzo baina yake na Ruto.

Hapa kwetu hakuna "masterminder", wengi akiwemo Kinana hupachikwa majina hayo wasiyostahili kwasababu mwisho wa siku wote hutegemea wizi wa kura, u "masterminder" wao huishia pale wanapoingia kwenye vikao vya KK na majina mfukoni.
 
Nikikumbuka maneno ya Uhuru akizungumzia kumuunga mkono Raila alisema yeye sio mwanasiasa kigeugeu,, habadilishi maneno, anachosema leo hapa, ndicho atakachosema kesho pale.

Siamini binafsi kama Uhuru ataweza kubadilika, Ruto alimkera sana alipoacha kufanya majukumu yake kama makamu wa Rais akaanza kampeni mapema
Rejea timu Uhuru akiwemo Spika wa Seneti/Bunge tayari alishaunga mkono kwa Ruto-jiongeze!
 
Speculation tu hizo. Hao jamaa watatu hakuna anayemuamini mwenzake, wanageukana ndani ya sekunde

Uhuru hamuanini Raila, wala Ruto, Raila na hamuani Uhuru wala Ruto, Ruto na huamini hata mmoja
 
Wengi wetu huamini Kikwete ni master wa siasa uchwara jambo ambalo si kweli!

Kwanini;

Unamfahamu mwamba mmoja anaitwa Uhuru Kenyatta?

Uhuru mwaka huu ndiye atadhihirisha umwamba wake wa siasa za East Africa.

Rejea Lowasa na Kikwete na utakuwa upo nyuma ya wakati ukifikiri urafiki wa ghafla wa Uhuru na Raila ni wa kweli!

Ukweli ni kwamba Uhuru ali-fake urafiki wake na Raila ili uwepo utulivu ndani ya Utawala wake kwa kipindi cha mwisho na si vinginevyo.

Uhuru ni Ruto na wame fake ugomvi kumzubaisha Raila ili atulie na uchaguzi ukikaribia amini nawaambia mzee Raila huenda akadondoka na presha na hii ni kwa sababu kambi yote ya Uhuru itahamia kwa Ruto na ndivyo mpango ulivyopangwa from day 1 ya hand shake.

Hapo ndipo u mafia wa siasa utakuwa upande wa Uhuru na si Kikwete.
Acha kumlinganisha jemedari Kikwete na mambo yenu ya kipuuzi. Kikwete kamuacha uyo Uhuru wako hapa na Kibaa. Kilichofanyika 2015 kati ya Kikwete na Lowasa lilikuwa changa la macho kwa watu wasioona mbali kama wewe. Kikwete na CCM yake waligundua bila shaka kuwa Lowasa angegombea uraisi kupitia CCM wasingepata hata robo ya kura, hii ni kutokana na shutuma kubwa alizokuwa nazo Lowasa kupitia upinzani. Kwahiyo kutokana na jinsi watanzania walikuwa washaaminishwa kuhusu Lowasa, Kikwete na ile iliyoitwa boys to men, ingekuwa ngumu sana kumnadi Lowasa kupitia CCM, so ukasukwa mpango huku Lowasa mwenyewe akioneshwa uhalisia wa jinsi atakavyoshindwa uchaguzi kupitia CCM, na kwa vile hata na yeye aliliona hilo basi hakuwa na option nyingine zaidi ya kukubaliana na mpango huo wa mwamba wa siasa za kitaifa na kimataifa. Jamaa akaanza kutengenezewa zogo la kutengeneza, na baada ya muda upinzani ukaingia mkenge kwa kutemeshwa big jii (dr Slaa) kwa sababu ya chapati ya kuazimwa (Lowasa) kama wasemavyo waswahili kuwa "nguo ya kuazima haisitiri ma...ko" baada ya kumaliza mission ya kuwakosesha ushindi upinzani. Jamaa akarudi kwa waliomtuma, kuendelea na maisha yake. Na kwa upande wa msoga, wale waliokuwa wanadai kuwa mtemi huyo wa siasa za kitaifa na kimataifa kuwa chama kitamfia mkononi, msemo huo ulikoma rasmi baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Kwa sasa anakula matunda ya nchi kwa roho baridi kabisa, huku mipango yake ikiwa imeacha janga kubwa kwa upande wa upinzani kama vile kukimbiwa na katibu mkuu makini, wabunge na madiwani kuunga mkono juhudi nk. Hali iliyopelekea upinzani kukosa support ya wananchi kama ilivyokuwa kabla ya 2015. Naweka picha ya mkutano wa dr Slaa 2010, Lowasa 2015 na Lisu 2020 uone athari alizoacha Kikwete kutokana na mipango yake. Dr Slaa 2010 👇

download (2).jpeg

Lowasa 2015👇
images (3).jpeg

Lisu 2020 👇
images (23) (1).jpeg


images (7).jpeg
 
Acha kumlinganisha jemedari Kikwete na mambo yenu ya kipuuzi. Kikwete kamuacha uyo Uhuru wako hapa na Kibaa. Kilichofanyika 2015 kati ya Kikwete na Lowasa lilikuwa changa la macho kwa watu wasioona mbali kama wewe. Kikwete na CCM yake waligundua bila shaka kuwa Lowasa angegombea uraisi kupitia CCM wasingepata hata robo ya kura, hii ni kutokana na shutuma kubwa alizokuwa nazo Lowasa kupitia upinzani. Kwahiyo kutokana na jinsi watanzania walikuwa washaaminishwa kuhusu Lowasa, Kikwete na ile iliyoitwa boys to men, ingekuwa ngumu sana kumnadi Lowasa kupitia CCM, so ukasikwa mpango huku Lowasa mwenye akioneshwa uhalisia wa jinsi atakavyoshindwa uchaguzi kupitia CCM, na kwa vile hata na yeye aliliona hilo basi hakuwa na option nyingine zaidi ya kukubaliana na mpango huo wa mwamba wa siasa za kitaifa na kimataifa. Jamaa akaanza kutengenezewa zogo la kutengeneza, na baada ya muda upinzani ukaingia mkenge kwa kutemeshwa big jii (dr Slaa) kwa sababu ya chapati ya kuazimwa (Lowasa) kama wasemavyo waswahili kuwa "nguo ya kuazima haisitiri ma...ko" baada ya kumaliza mission ya kuwakosesha ushindi upinzani. Jamaa akarudi kwa waliomtuma, kuendelea na maisha yake.
Umeandika ngonjera tupu.

Chaguo la Kikwete 2015 kila mtu alijua alikuwa ni Membe, Kikwete alimtengenezea mazingira lakini baadae hali ikageuka kwenye ukumbi wa mkutano baada ya Lowassa kukatwa.

Wajumbe walipoanza kuimba wana imani na Lowassa ndio Kikwete jasho likaanza kumtoka, na hao wajumbe waliongozwa na Sofia Simba ndio chanzo cha Magufuli kuja kumfukuza chamani kwenu.

Kama suala ni wapiga kura kama ulivyoandika, ukweli ni kwamba, CCM haijawahi kutegemea kushinda kwa nguvu za wapiga kura kwenye uchaguzi mkuu hata mara moja, mara zote huiba.
 
Umeandika ngonjera tupu.

Chaguo la Kikwete 2015 kila mtu alijua alikuwa ni Membe, Kikwete alimtengenezea mazingira lakini baadae hali ikageuka kwenye ukumbi wa mkutano baada ya Lowassa kukatwa.

Wajumbe walipoanza kuimba wana imani na Lowassa ndio Kikwete jasho likaanza kumtoka, na hao wajumbe waliongozwa na Sofia Simba ndio chanzo cha Magufuli kuja kumfukuza chamani kwenu.

Kama suala ni wapiga kura kama ulivyoandika, ukweli ni kwamba, CCM haijawahi kutegemea kushinda kwa nguvu za wapiga kura kwenye uchaguzi mkuu hata mara moja, mara zote huiba.
Nyinyi endeleeni kujidanganya wenyewe. Kwa wenye uelewa na mambo ya siasa tunasema kalaga baho. Ikirudi pancha.
 
Pole sana hujui kitu.
Wenye kujua ni hawa wanaocheza na akili zenu kwa namna wanayotaka wao. Hapo nimekuelewa mkuu. Kabla ya 2015 👇 Lowasa fisadi.

images (1).jpeg

Wakati wa kutengeneza mipango. Jemedari wa siasa za kitaifa na kimataifa akiwa na mzee wa mission July 2015 👇
images (62).jpeg

Upinzani ukiingia mkenge bila kujua kilichopo ndani ya moyo wa mzee wa mission 👇
download.jpeg
 
Maoni yako,nayaheshimu.

La mno usikariri mwaka wa kuzaliwa.Kwa taarifa yako hata Onyango beki wa Simba inasemekana kazaliwa 1995....
98CE2D9E-E149-42F7-8E3C-5B7F29484927.jpeg

Sikulaumu sababu uwezo wako ni finyu kwenyw siasa unaishi kwa habari za juu juu huumizi
Kichwa kusaka habari kwa mikataba waliosaini uhuru anatokaje? Gidion moi anatokaje? Na kwa taarifa yako dedline ya kuhama vyama kujiunga na hizo alliance zao imeshapita so now ni either u endelee kusupport ama uwe alone
 
Maoni yako,nayaheshimu.

La mno usikariri mwaka wa kuzaliwa.Kwa taarifa yako hata Onyango beki wa Simba inasemekana kazaliwa 1995....
Watz atupokei ushauri wa mwanamke siku hizi tumeshawajua kuwa nyinyi mna miliki akili za kuku kielelezo ni sa1000
 
Back
Top Bottom