T Tardy JF-Expert Member Joined Oct 31, 2021 Posts 1,287 Reaction score 1,607 May 13, 2022 #1 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lina kamati mbalimbali huwa wanazunguka kila mkoa,Ila sijawahisikia wakikagua miradi ya Zanzibar. Hili ni Bunge la Tanganyika? Kichwa kinauma sana kufanya utafiti wakujua ni Bunge la Jamhuri au la Tanganyika. Nini kazi ya wabunge wanaotoka visiwani kujadili hoja za Jamhuri halafu kamati haziendi kukagua?
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lina kamati mbalimbali huwa wanazunguka kila mkoa,Ila sijawahisikia wakikagua miradi ya Zanzibar. Hili ni Bunge la Tanganyika? Kichwa kinauma sana kufanya utafiti wakujua ni Bunge la Jamhuri au la Tanganyika. Nini kazi ya wabunge wanaotoka visiwani kujadili hoja za Jamhuri halafu kamati haziendi kukagua?
Slowly JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 10,589 Reaction score 35,268 May 13, 2022 #2 Jiwe alikuwa anaenda kuuvunja muungano basi tu walishtukia mapema 😀
Midimay JF-Expert Member Joined Apr 12, 2015 Posts 3,036 Reaction score 5,039 May 13, 2022 #3 Wanaenda bana kwa miradi ya Muungano. Kule kuna TRA, TPF, JWTZ, NECTA, Matawi ya taasisi za elimu ya juu, BOT etc
Wanaenda bana kwa miradi ya Muungano. Kule kuna TRA, TPF, JWTZ, NECTA, Matawi ya taasisi za elimu ya juu, BOT etc
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 May 13, 2022 #4 Wanakuja kuchukua ujuzi...
Nsennah JF-Expert Member Joined Jan 9, 2021 Posts 1,947 Reaction score 1,554 May 13, 2022 #5 Midimay said: Wanaenda bana kwa miradi ya Muungano. Kule kuna TRA, TPF, JWTZ, NECTA, Matawi ya taasisi za elimu ya juu, BOT etc Click to expand... Hivi wazanzibar nao wanapiga necta kama ya huku bara?
Midimay said: Wanaenda bana kwa miradi ya Muungano. Kule kuna TRA, TPF, JWTZ, NECTA, Matawi ya taasisi za elimu ya juu, BOT etc Click to expand... Hivi wazanzibar nao wanapiga necta kama ya huku bara?
Midimay JF-Expert Member Joined Apr 12, 2015 Posts 3,036 Reaction score 5,039 May 14, 2022 #6 Nsennah said: Hivi wazanzibar nao wanapiga necta kama ya huku bara? Click to expand... Huonagi shule zao zikiwa za mwisho?
Nsennah said: Hivi wazanzibar nao wanapiga necta kama ya huku bara? Click to expand... Huonagi shule zao zikiwa za mwisho?