Kisingizio gani uliweka kwa mwenza wako baada ya kujua umepiga shoo mbovu?

Kisingizio gani uliweka kwa mwenza wako baada ya kujua umepiga shoo mbovu?

baraka74

Member
Joined
Jun 2, 2020
Posts
17
Reaction score
20
Habari wadau, Mafarisayo, wapambanaji, watafutaji bila kusahau wachakataji. show yangu mbovu kuliko zote ni mwenda zake aligoma kusimama kabisa bustani ya eden nilivuta bangi na hisia zote lakini wapi wala hakutikisika.

basi binti alituma sana salamu BJ lakini wapi sijui mizimu ilitaka kuniumbua?. Nashukuru alikuja nielewa baadaye kwa moto na show niliyompa akazania labda nilienda kongo au niliweka lembaa kumbe ibilisi tu alitaka kujiinua.

LETENI VISA
 
Nli mwambia ulcers ina nisumbua wakat ni stress tu .aka elewa nika cheza faulo za mikono na romance mchezo ukaisha
 
Siku ya show mbovu unatakiwa uanze visa mapema useme yaani kichwa kinauma hatari au maleria inanipeleka hapo kwanza utapewa pole kiaina, utajikusanya maana hata babu juma kipara hasimami vyema hana mzuka hivo vyovyote iwavyo atajua kweli unaumwa kumbe stress zinataka kukuua
 
Nli mwambia ulcers ina nisumbua wakat ni stress tu .aka elewa nika cheza faulo za mikono na romance mchezo ukaisha
Nakemea masinema kwa mmea holy weed!. Mkuu hiyo avatar nimejikuta na get high
 
Back
Top Bottom